masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,171
Mzee huyo katoka kwao Uingereza kwa shughuli nii ambayo pia ilihudhuriwa na balozi wa Uingereza nchini.
Cha kushangaza na kusikitisha ni jinsi mnara huu maarufu ulivyo mchafu huku picha za uchaguzi ikiwa kama zimebanduliwa masaa machache kabla yatukio.
Picha hii iliyopigwa itasambazwa dunia nzima kuonyesha uchafu wa watanzania.
Wahusika wa sanamu hiyo wachukuliwe hatua kwa kuidhalilisha nchi na kuionyesha kuwa ni nchi ya wachafu.
Kwa vyovyote vile kuna mtu hafanyi kazi yake hapa huku analipwa mshahara(sijui ni Idara ya Makumbusho au Halmashauri ya Jiji)
Lakini kwa vyovyote vile Idara inayohusika na Maadhimisho inaelekea hawakukagua eneo la tukio kabla.
Msingi wake ni kwamba watu hawafanyi kazi!!!
Hapa kazi tu iwaondoe mara moja.