Naona umetoa povu lote mkuuMishahara ya mashirika ya umma inapangwa na Bodi.
Kima cha chini cha mshahara wa serikali ni Tsh 300,000 mpaka sasa.
Na kima cha chini cha mshahara sekta binafsi ni Tsh 150,000 mpaka sasa.
- In short wao kama MeTL hawana kosa kisheria, kama wakikulipa zaidi basi ni BONUS tu.
- Imagine SUMA JKT Security guard ( An economic wing of JKT ) analipwa Tsh 170K/mo na Magu haoni tatizo kabisa isipokuwa ndio anafurahia kwamba ukiajiri walinzi wa SUMA JKT ni cheap.
Ndio tukome kuacha vichwa panzi watuamlie HATIMA yetu kwa kuwapa MADARAKA makubwaa hususani wanaojifanya wanajua kila kitu.
Hii kampuni ni MELT na sio METL unaona utofauti hapoLini kabachori akampenda mtu mweusi?
Wahindi wanekuja afrikA kuchuma mali huwa nawashangaa watangabyika wanavyojikombA
Hapa vipi wakuu?View attachment 1089575
hahahahahahaahahahaha dah ndiheka wita lunofu deeh!
Yee be manyihahahahahahaahahahaha dah ndiheka wita lunofu deeh!
Serikali ikiwabana mnasema inanyanyasa wawekezaji , wawekezaji wanakimbiaHiyo ni Gross.
Hapo hawajakata NSSF ( 10% ) ambayo kuipata mpaka ufikishe miaka 55!!
na Kodi, PAYE ( 9% ).
- Makampuni mengi huku sekta binafsi hata mikataba hawatoi ili kuepuka kulipa VAT( Maana ukiwa na permanent employees) kuanzia wanne unatakiwa kulipa VAT, kodi inaongezeka.
- Au hata ukipewa mkataba unakuwa ni mkataba-kibarua. Kupata pesa ni mpaka uwepo kazini.
Mkuu..NdgNimeliona hili tangazo la kazi kwenye kampuni ya Mohammed enterprises limited company, limenifikirisha Sana, hebu angalia sifa zinazotakiwa na malipo yake ya mwezi
Mishahara ya mashirika ya umma inapangwa na Bodi.
Kima cha chini cha mshahara wa serikali ni Tsh 300,000 mpaka sasa.
Na kima cha chini cha mshahara sekta binafsi ni Tsh 150,000 mpaka sasa.
- In short wao kama MeTL hawana kosa kisheria, kama wakikulipa zaidi basi ni BONUS tu.
- Imagine SUMA JKT Security guard ( An economic wing of JKT ) analipwa Tsh 170K/mo na Magu haoni tatizo kabisa isipokuwa ndio anafurahia kwamba ukiajiri walinzi wa SUMA JKT ni cheap.
Ndio tukome kuacha vichwa panzi watuamlie HATIMA yetu kwa kuwapa MADARAKA makubwaa hususani wanaojifanya wanajua kila kitu.
Tata hiki unachokisema kwa sekta Binafsi ni kweli?
Hakika 100%.
Ndio maana mishahara mingi sekta binafsi haizidi Tsh 170K/mo na serikali kuna wanaopata Tsh 344K/mo.
Hata kama hivi ni kweli hujui METL anavyolipa mishahara mkuu au jeuri tu! Jaribu kutafuta Matangazo yake uone 300k kama gross wanalipwa sana tu.MKUU REKEBISHA UZI WAKO HAO NI MELT NA SIO METL ACHA KUCHAFUA BRAND ZA WATU
Wameweka gross that's means kabla ya makatoHHiyo ni baada ya Kodi au kabla?
UKWELI MTUPU KIONGOZI TULIOAJIRIWA TUNAYAONAKuwa namawanzo ya kuajiliwa ni sydrome mbaya (ugojwa).....lini unafikili muajili wako akupe mshahara mkubwa atapata je faida?......formular ya ubepari iko hivi fanya kazi kwa masaa mengi zalisha kingi na cha ziada nakulipa tu subsistance(chakula unguo pango na nauli) ili urudi kesho surplus production yote ni faida yake.....kwa hiyo msilalamike huo ndo mfumo wa capitalism njia peke ya kuukuepa ni kujiajili ili uajili wengine ili uwanyonye upate faida kwa kutowalipa nguvu kazi yao ya ziada.
Nimeliona hili tangazo la kazi kwenye kampuni ya Mohammed enterprises limited company, limenifikirisha Sana, hebu angalia sifa zinazotakiwa na malipo yake ya mwezi
Kampuni zote za Wahindi zipo hivyo mkuu, na huko utapiga kazi kama mtumwa ila mhindi mwenzao mwenye same qualifications hulipwa vizuri yaani full kubebana. Watanzania, tunatakiwa kutoka nje ya BOX.Nimeliona hili tangazo la kazi kwenye kampuni ya Mohammed enterprises limited company, limenifikirisha Sana, hebu angalia sifa zinazotakiwa na malipo yake ya mwezi