Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Jamani NMB bank hivi hizi ATM zao kutoa noti za elfu 10 tu tatizo ni teknologia yao au ni uhuni tu,halafu sijawahi
kusikia wakitolea maelezo swala.
Mara nyingi miamala yangu inanitaka nitoe na elfu 5 nashindwa na nimechunguza ni ATM zao zote zilizoko
posta,Magomeni,Temeke,ninaishia kutoa pesa ambayo sijapanga kuitumia.
Jamani na kwingine mnafanyiwa huu uhuni?....
kusikia wakitolea maelezo swala.
Mara nyingi miamala yangu inanitaka nitoe na elfu 5 nashindwa na nimechunguza ni ATM zao zote zilizoko
posta,Magomeni,Temeke,ninaishia kutoa pesa ambayo sijapanga kuitumia.
Jamani na kwingine mnafanyiwa huu uhuni?....