Msekwa alishawahi sema watu waache wivu wa kike.... ALIOMBA MSAMAHA BAADA YA KUKALIWA KOONI.Msimamo nimeshauonesha kwenye mada kuwa ni tabia za kikekike na za kitoto,soma mada uielewe.
Na wewe umekubaliana naye huku ukijua wazi kwamba amewadhalilisha wanawake..??Asavali mwenzao umeongea, Ila wanaume wanapungua kwa kasi sana.
Mjiandae kisaikolojia kukubali mitala na ikibidi kianzishwe chuo kikuu cha kupunguza wivu kama sio kuondoa kabisa maana tutakuwa wachache sana.Miaka 5 ijayo kizazi cha wanaume kitakuwa kimepotea kabisa kabisa.
Hasa Dar wamejaa wengi wa hivyo.Asante mkuu,hasa namba 5 wanaboa kinoma na wapo wengi
Ni hatari sanaHabarini wadau,
Kuna hizi tabia za kipumbavu ambazo unakuta mwanaume anazifanya halafu haipendezi aisee,tena ni tabia za kikekike na za kitoto. Wewe kama mwanaume na sio mvulana acha kufanya yafuatayo,tuwaachie warembo:-
1) Mwanaume kulalamika hovyo na kuzira wewe unalalamika halafu wa kike afanyaje? Ukipatwa na jambo si unagangamala mazee na sio kulialia? Mtoto mdg afanyaje? Acha hizo mambo.
2) Mwanaume kuhonga kisha kujutia/kulalamika. Sasa kama umeshamuhonga mwanamke kwa kuamua mwenyewe na aidha kakupa mzigo au hajakupa ukilalamika au kuhadithia masela inasaidia nini? Kuhonga ni kawaida na unapohonga basi fanyeni yenu na msichana wako kulalamika inasaidia nini mkuu?
3) Kutumia vijimaneno vya kike mfano:
-Haloo
-Mie
-Fyuu
-lol
-Badala ya "S" mwanaume anatumia "X"
-mara "Utantaka"
-Au kwenye Okay eti "K"
Msichana mwenzio anakutumia message mpaka unajiuliza aliyeandika ni yeye au mtoto wake au karibia anakuwa shosti?
Hapo hata ukitongoza mwanamke akakukataa ni haki kwasababu anakuona ni kavulana au wakike mwenzie.
4) Kuomba ushauri kwenye vitu vidogo na visivyo na umuhimu. Hii ni hapahapa jamvini kuna wanaume wanaomba ushauri kwenye mambo ambayo hata mtoto wa form two anaweza kutatua jambo hilo.
5) Kujisifia sanaa kwenye issue ambazo sio za msingi sana,mfano
-sura, umbo, kupendwa na mabinti, kugegeda n.k
Mimi nafikiri sifa tukufu kwa mwanaume ni kutafuta pesa na kumanage majukumu ya nyumbani.
Jistukie bana mkuu.
NAWASILISHA.
Habarini wadau,
Kuna hizi tabia za kipumbavu ambazo unakuta mwanaume anazifanya halafu haipendezi aisee,tena ni tabia za kikekike na za kitoto. Wewe kama mwanaume na sio mvulana acha kufanya yafuatayo,tuwaachie warembo:-
1) Mwanaume kulalamika hovyo na kuzira wewe unalalamika halafu wa kike afanyaje? Ukipatwa na jambo si unagangamala mazee na sio kulialia? Mtoto mdg afanyaje? Acha hizo mambo.
2) Mwanaume kuhonga kisha kujutia/kulalamika. Sasa kama umeshamuhonga mwanamke kwa kuamua mwenyewe na aidha kakupa mzigo au hajakupa ukilalamika au kuhadithia masela inasaidia nini? Kuhonga ni kawaida na unapohonga basi fanyeni yenu na msichana wako kulalamika inasaidia nini mkuu?
3) Kutumia vijimaneno vya kike mfano:
-Haloo
-Mie
-Fyuu
-lol
-Badala ya "S" mwanaume anatumia "X"
-mara "Utantaka"
-Au kwenye Okay eti "K"
Msichana mwenzio anakutumia message mpaka unajiuliza aliyeandika ni yeye au mtoto wake au karibia anakuwa shosti?
Hapo hata ukitongoza mwanamke akakukataa ni haki kwasababu anakuona ni kavulana au wakike mwenzie.
4) Kuomba ushauri kwenye vitu vidogo na visivyo na umuhimu. Hii ni hapahapa jamvini kuna wanaume wanaomba ushauri kwenye mambo ambayo hata mtoto wa form two anaweza kutatua jambo hilo.
5) Kujisifia sanaa kwenye issue ambazo sio za msingi sana,mfano
-sura, umbo, kupendwa na mabinti, kugegeda n.k
Mimi nafikiri sifa tukufu kwa mwanaume ni kutafuta pesa na kumanage majukumu ya nyumbani.
Jistukie bana mkuu.
NAWASILISHA.
aaah wapi ni wavulana... watakuwaMiaka 5 ijayo kizazi cha wanaume kitakuwa kimepotea kabisa kabisa.
Mkuu tatizo la watu siku hizi akiona kitu yeye hakipendi basi atataka kukifanya kuwa ni kitu kibaya kwa watu wote.Hapo kwenye red hapo, je kuandika bana badara ya bwana nao ni uanaume or uanamke?!😱