Huu si uanaume, ni aibu

Huu si uanaume, ni aibu

Point namba mbili ukibana na pesa yangu umechukua, NAKUCHANA na NAKUANIKA, hamna namna hapo, huo ni WIZI mchana kweupe.

Point namba tano, mambo mengine tuachie sisi wanaume, kama haujawahi kuwa mwanaume, basi ongelea upande wako, yaani mambo ya kike ambayo kiasilia unaweza kuyakontrol wewe LABDA! Hii Ni wanaume wengi walivyo by nature, kama vipi chonga wa kwako kisha mfanyishe afanye upendayo!

ALAFU NIMETAMBUA KWA KUSOMA COMMENTS UZI HUU KUWA WANAUME WENGI HAWAJITAMBUI, sijui ni wa JF tu au ndo wanawakilisha taifa?? Wanalishwa maneno na wao wanaongea tena kwa KUJISHUSHA kutetea kitu ambacho sicho! Mfano, mwanaume kwa asilia tuna asili ya kujifagilia ktk mambo fulani kama kugegeda kwa wanawake, sasa mtu unalishwa maneno eti unakana UASILI WAKO.
 
Habarini wadau,

Kuna hizi tabia za kipumbavu ambazo unakuta mwanaume anazifanya halafu haipendezi aisee,tena ni tabia za kikekike na za kitoto. Wewe kama mwanaume na sio mvulana acha kufanya yafuatayo,tuwaachie warembo:-

1) Mwanaume kulalamika hovyo na kuzira wewe unalalamika halafu wa kike afanyaje? Ukipatwa na jambo si unagangamala mazee na sio kulialia? Mtoto mdg afanyaje? Acha hizo mambo.

2) Mwanaume kuhonga kisha kujutia/kulalamika. Sasa kama umeshamuhonga mwanamke kwa kuamua mwenyewe na aidha kakupa mzigo au hajakupa ukilalamika au kuhadithia masela inasaidia nini? Kuhonga ni kawaida na unapohonga basi fanyeni yenu na msichana wako kulalamika inasaidia nini mkuu?

3) Kutumia vijimaneno vya kike mfano:
-Haloo
-Mie
-Fyuu
-lol
-Badala ya "S" mwanaume anatumia "X"
-mara "Utantaka"
-Au kwenye Okay eti "K"

Msichana mwenzio anakutumia message mpaka unajiuliza aliyeandika ni yeye au mtoto wake au karibia anakuwa shosti?

Hapo hata ukitongoza mwanamke akakukataa ni haki kwasababu anakuona ni kavulana au wakike mwenzie.

4) Kuomba ushauri kwenye vitu vidogo na visivyo na umuhimu. Hii ni hapahapa jamvini kuna wanaume wanaomba ushauri kwenye mambo ambayo hata mtoto wa form two anaweza kutatua jambo hilo.

5) Kujisifia sanaa kwenye issue ambazo sio za msingi sana,mfano
-sura, umbo, kupendwa na mabinti, kugegeda n.k
Mimi nafikiri sifa tukufu kwa mwanaume ni kutafuta pesa na kumanage majukumu ya nyumbani.

Jistukie bana mkuu.

NAWASILISHA.


Kiukweli napata wakati mgumu kukuelewa ndugu mleta uzi?! Kwanza wewe ni jinsia gani?!

Kama ni jinsia ya ME,
>kwanza nashindwa kukutofautisha wewe na hao unaodai wanalialia, maana hata namna ulivyoileta mada yako nawe pia unalialia tu.

>pili unatakiwa ujue wanaume ni viumbe vinavyoadopt kutokana na mazingira, sasa kama mpenzi wake anaenjoy hivyo vionjo katika mahusiano yao kwanini asifanye, au asifanye kisa anakuogopa wewe?!

>tatu swala la mtu kuhonga na kutafuta pesa hilo muachie yeye, au katika hao wanaume unaojaribu kuwafikishia ujumbe kuna hata mmoja ambaye anakujaga kukuomba pesa?! Na kama walihongana wawili na kunyanganyana wewe tatizo lako liko wapi?! Maana binafsi nadhani kufuatilia yasiyo kuhusu ndio tabia kuu ya kike ambayo kama wewe ni mwanaume basi unayo.

>nne, kama wewe ni mwanaume kweli, kamwe kuside na wanawake katika mambo haya ya mahusiano ni disgrace!!! USIMUAMINI MWANAMKE, historia toka Adam na Eva inaonyesha. Soma soma kidogo utaelewa nini namaanisha.
Ila napata instinct kuwa uko kwenye mawindo humu JF, na utafanikiwa tu, maana wanawake wote watakuina alshabab kweli kweli na unaweza ukazawadiwa cookies😉

Kama ni jinsia KE.
Nna maneno machache, wewe uneachika, na vile visweet words ulivyokuwa unapewa mwanzo umevimiss afu unataka kuchafua hali ya hewa tu, nna feeling mwamba amekuacha na kakunyanganya vitu alivyokupa, wich is quite okay, pengine na wewe ulianza ka ushenzi ka kugawa tunda lake nje. Kuhusu swala la kutafuta pesa, la ngoswe muachie ngoswe😡😡
Kwa kifupi YOU ARE DISTURBED. Kitulize hapo mpaka atakapokuja mkombozi sio unachafua hali ya hewa tu.

Natoka!!"
 
Point namba mbili ukibana na pesa yangu umechukua, NAKUCHANA na NAKUANIKA, hamna namna hapo, huo ni WIZI mchana kweupe.

Point namba tano, mambo mengine tuachie sisi wanaume, kama haujawahi kuwa mwanaume, basi ongelea upande wako, yaani mambo ya kike ambayo kiasilia unaweza kuyakontrol wewe LABDA! Hii Ni wanaume wengi walivyo by nature, kama vipi chonga wa kwako kisha mfanyishe afanye upendayo!

ALAFU NIMETAMBUA KWA KUSOMA COMMENTS UZI HUU KUWA WANAUME WENGI HAWAJITAMBUI, sijui ni wa JF tu au ndo wanawakilisha taifa?? Wanalishwa maneno na wao wanaongea tena kwa KUJISHUSHA kutetea kitu ambacho sicho! Mfano, mwanaume kwa asilia tuna asili ya kujifagilia ktk mambo fulani kama kugegeda kwa wanawake, sasa mtu unalishwa maneno eti unakana UASILI WAKO.

Baba heko!!! Wanaume wa JF wanaleta upimbi, hata kama kutaka kuonekana magentlemen sio kutetea ufala😡😡
 
kuna aloniambiaga ,,,aisee una dudu zuri,,hahahaaa nkakimbilia nje
 
Mleta mada ni mpuuzi flani ambaye anasapotiwa na single women who are 40+ afu wanaendekeza ngono ngono tu😡😡
 
Mleta mada ni mpuuzi flani ambaye anasapotiwa na single women who are 40+ afu wanaendekeza ngono ngono tu😡😡
Hahaha...naona mipovu imekutoooka kwasababu mada imekugusa,acha hiyo tabia lasivyo utavishwa shanga na posa utolewe. Naona unavyofura. Teh Teh Teh....
 
A person can be a male but not a Man, takes much for a male being a Man
 
Hahaha...naona mipovu imekutoooka kwasababu mada imekugusa,acha hiyo tabia lasivyo utavishwa shanga na posa utolewe. Naona unavyofura. Teh Teh Teh....

Ufikiri wako ni mdogo kama umeme wa LUKU, i never waste my time arguing with walking corpse!!! *** off looser
 
Show me sense katika ulichokileta humu jukwaani looser.
U see how big looser are u? U hv commented uaself that u won't argue cause apparently u never found a single meningful point upstairs there to place in here. Champ😉
U threw away ua common stand and u really don have it,that's why am saying u are lost.

Am very sure my topic hv a lot of sense words bt u never watch it.
 
U see how big looser are u? U hv commented uaself that u won't argue cause apparently u never found a single meningful point upstairs there to place in here. Champ😉
U threw away ua common stand and u really don have it,that's why am saying u are lost.

Am very sure my topic hv a lot of sense words bt u never watch it.

Wait kwanza!! We ni Me au Ke😱😱
 
Kiukweli napata wakati mgumu kukuelewa ndugu mleta uzi?! Kwanza wewe ni jinsia gani?!

Kama ni jinsia ya ME,
>kwanza nashindwa kukutofautisha wewe na hao unaodai wanalialia, maana hata namna ulivyoileta mada yako nawe pia unalialia tu.

>pili unatakiwa ujue wanaume ni viumbe vinavyoadopt kutokana na mazingira, sasa kama mpenzi wake anaenjoy hivyo vionjo katika mahusiano yao kwanini asifanye, au asifanye kisa anakuogopa wewe?!

>tatu swala la mtu kuhonga na kutafuta pesa hilo muachie yeye, au katika hao wanaume unaojaribu kuwafikishia ujumbe kuna hata mmoja ambaye anakujaga kukuomba pesa?! Na kama walihongana wawili na kunyanganyana wewe tatizo lako liko wapi?! Maana binafsi nadhani kufuatilia yasiyo kuhusu ndio tabia kuu ya kike ambayo kama wewe ni mwanaume basi unayo.

>nne, kama wewe ni mwanaume kweli, kamwe kuside na wanawake katika mambo haya ya mahusiano ni disgrace!!! USIMUAMINI MWANAMKE, historia toka Adam na Eva inaonyesha. Soma soma kidogo utaelewa nini namaanisha.
Ila napata instinct kuwa uko kwenye mawindo humu JF, na utafanikiwa tu, maana wanawake wote watakuina alshabab kweli kweli na unaweza ukazawadiwa cookies😉

Kama ni jinsia KE.
Nna maneno machache, wewe uneachika, na vile visweet words ulivyokuwa unapewa mwanzo umevimiss afu unataka kuchafua hali ya hewa tu, nna feeling mwamba amekuacha na kakunyanganya vitu alivyokupa, wich is quite okay, pengine na wewe ulianza ka ushenzi ka kugawa tunda lake nje. Kuhusu swala la kutafuta pesa, la ngoswe muachie ngoswe😡😡
Kwa kifupi YOU ARE DISTURBED. Kitulize hapo mpaka atakapokuja mkombozi sio unachafua hali ya hewa tu.

Natoka!!"
Wich= Which
Watakuina = Watakuona
Uneachika = Umeachika

Dude...kajifunze kwanza kuandika.
 
Habarini wadau,

Kuna hizi tabia za kipumbavu ambazo unakuta mwanaume anazifanya halafu haipendezi aisee,tena ni tabia za kikekike na za kitoto. Wewe kama mwanaume na sio mvulana acha kufanya yafuatayo,tuwaachie warembo:-

1) Mwanaume kulalamika hovyo na kuzira wewe unalalamika halafu wa kike afanyaje? Ukipatwa na jambo si unagangamala mazee na sio kulialia? Mtoto mdg afanyaje? Acha hizo mambo.

2) Mwanaume kuhonga kisha kujutia/kulalamika. Sasa kama umeshamuhonga mwanamke kwa kuamua mwenyewe na aidha kakupa mzigo au hajakupa ukilalamika au kuhadithia masela inasaidia nini? Kuhonga ni kawaida na unapohonga basi fanyeni yenu na msichana wako kulalamika inasaidia nini mkuu?

3) Kutumia vijimaneno vya kike mfano:
-Haloo
-Mie
-Fyuu
-lol
-Badala ya "S" mwanaume anatumia "X"
-mara "Utantaka"
-Au kwenye Okay eti "K"

Msichana mwenzio anakutumia message mpaka unajiuliza aliyeandika ni yeye au mtoto wake au karibia anakuwa shosti?

Hapo hata ukitongoza mwanamke akakukataa ni haki kwasababu anakuona ni kavulana au wakike mwenzie.

4) Kuomba ushauri kwenye vitu vidogo na visivyo na umuhimu. Hii ni hapahapa jamvini kuna wanaume wanaomba ushauri kwenye mambo ambayo hata mtoto wa form two anaweza kutatua jambo hilo.

5) Kujisifia sanaa kwenye issue ambazo sio za msingi sana,mfano
-sura, umbo, kupendwa na mabinti, kugegeda n.k
Mimi nafikiri sifa tukufu kwa mwanaume ni kutafuta pesa na kumanage majukumu ya nyumbani.

Jistukie bana mkuu.

NAWASILISHA.
Nikukoso kidogo wewe mtu sijajua we ni wa kike au kiume ....ATTN:......neno Lol sio la kike wala la kitoto...huenda hata hujui lina maanisha nini na sio hilo tu siku hizi kuna maneno mengi sana ya natumika in abbreviated forms.....na Kwa styl hyo sio ajabu hata zile emoj ukasema ni za kike .....neno lol linaeza tumiwa na mtu yeyote ..,neno lol ni ufupisho wa neno Laughing out loud !kuna mengine kama lmao yaani laughing my ass off !maneno kama roflo yaani rolling on the floor laughing ..,,.ni hayo tu asee so vitu kama hivi vina hitaji exposure ....mtu asie na exposure au experience na watu tofauti tofauti akiona haya anaeza ona kama tabia za kike .niwasilishe
 
Habarini wadau,

Kuna hizi tabia za kipumbavu ambazo unakuta mwanaume anazifanya halafu haipendezi aisee,tena ni tabia za kikekike na za kitoto. Wewe kama mwanaume na sio mvulana acha kufanya yafuatayo,tuwaachie warembo:-

1) Mwanaume kulalamika hovyo na kuzira wewe unalalamika halafu wa kike afanyaje? Ukipatwa na jambo si unagangamala mazee na sio kulialia? Mtoto mdg afanyaje? Acha hizo mambo.

2) Mwanaume kuhonga kisha kujutia/kulalamika. Sasa kama umeshamuhonga mwanamke kwa kuamua mwenyewe na aidha kakupa mzigo au hajakupa ukilalamika au kuhadithia masela inasaidia nini? Kuhonga ni kawaida na unapohonga basi fanyeni yenu na msichana wako kulalamika inasaidia nini mkuu?

3) Kutumia vijimaneno vya kike mfano:
-Haloo
-Mie
-Fyuu
-lol
-Badala ya "S" mwanaume anatumia "X"
-mara "Utantaka"
-Au kwenye Okay eti "K"

Msichana mwenzio anakutumia message mpaka unajiuliza aliyeandika ni yeye au mtoto wake au karibia anakuwa shosti?

Hapo hata ukitongoza mwanamke akakukataa ni haki kwasababu anakuona ni kavulana au wakike mwenzie.

4) Kuomba ushauri kwenye vitu vidogo na visivyo na umuhimu. Hii ni hapahapa jamvini kuna wanaume wanaomba ushauri kwenye mambo ambayo hata mtoto wa form two anaweza kutatua jambo hilo.

5) Kujisifia sanaa kwenye issue ambazo sio za msingi sana,mfano
-sura, umbo, kupendwa na mabinti, kugegeda n.k
Mimi nafikiri sifa tukufu kwa mwanaume ni kutafuta pesa na kumanage majukumu ya nyumbani.

Jistukie bana mkuu.

NAWASILISHA.
Hao unaowazungumia wewe watakua watoto siyo wanaume.
 
Wich= Which
Watakuina = Watakuona
Uneachika = Umeachika

Dude...kajifunze kwanza kuandika.

Nimeshajifunza njoo tubattle kwa hoja hapa acha ushosti.

Nijibu yote niliyokuuliza kwenye hiyo post uliyoniquote
 
Back
Top Bottom