barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
Point namba mbili ukibana na pesa yangu umechukua, NAKUCHANA na NAKUANIKA, hamna namna hapo, huo ni WIZI mchana kweupe.
Point namba tano, mambo mengine tuachie sisi wanaume, kama haujawahi kuwa mwanaume, basi ongelea upande wako, yaani mambo ya kike ambayo kiasilia unaweza kuyakontrol wewe LABDA! Hii Ni wanaume wengi walivyo by nature, kama vipi chonga wa kwako kisha mfanyishe afanye upendayo!
ALAFU NIMETAMBUA KWA KUSOMA COMMENTS UZI HUU KUWA WANAUME WENGI HAWAJITAMBUI, sijui ni wa JF tu au ndo wanawakilisha taifa?? Wanalishwa maneno na wao wanaongea tena kwa KUJISHUSHA kutetea kitu ambacho sicho! Mfano, mwanaume kwa asilia tuna asili ya kujifagilia ktk mambo fulani kama kugegeda kwa wanawake, sasa mtu unalishwa maneno eti unakana UASILI WAKO.
Point namba tano, mambo mengine tuachie sisi wanaume, kama haujawahi kuwa mwanaume, basi ongelea upande wako, yaani mambo ya kike ambayo kiasilia unaweza kuyakontrol wewe LABDA! Hii Ni wanaume wengi walivyo by nature, kama vipi chonga wa kwako kisha mfanyishe afanye upendayo!
ALAFU NIMETAMBUA KWA KUSOMA COMMENTS UZI HUU KUWA WANAUME WENGI HAWAJITAMBUI, sijui ni wa JF tu au ndo wanawakilisha taifa?? Wanalishwa maneno na wao wanaongea tena kwa KUJISHUSHA kutetea kitu ambacho sicho! Mfano, mwanaume kwa asilia tuna asili ya kujifagilia ktk mambo fulani kama kugegeda kwa wanawake, sasa mtu unalishwa maneno eti unakana UASILI WAKO.