Huu si ni uzembe na uhujumu?

Huu si ni uzembe na uhujumu?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
18,135
Reaction score
29,792
Gazeti la Guardian leo tarh 24/1/2018, front page.
20180124_074457.jpg
20180124_074047.jpg
Jamani mali ya umma haina mwenyewe.
Mabosi mikono kiunoni, gari ikifa, wao ni kuandika ripoti tu kujitoa lawama.

Huu si uzembe na uhujumu?
Waswahili husema , "meno yasiyo ya kwako ,hata wali ukiwa na mchanga, huna hasara"
 
Ni lazima ya umma.
Gari yako, tena mkonga mpya ya bei mbaya, ukiwa na akili nzuri utaiingiza mtoni?
inawezekana huko upande wa pili atapata haya ma3 so haimsumbui huoni wenyewe walivyotuna wanalingoja ha ha ha na likizama wanaita chopa iwabebe unacheza na mafisadi wa Tanzania eeeh
 
Hiyo gari imetengenezwa kwa ajili ya kupita maeneo kama hayo. kama imekwama ni bahati mbaya
 
Hivi gari za makachero zina namba zipi?
Changanya na za kwako!
Basi wewe ndo uko mbali sana, gari za makachero zote namba zake huwa ni za kiraia ila hazichorwi kwa muonekano kama namba za magari mengine....hii inafanywa makusudi ili wao kwa wao kutambuana, kana kwamba hata kama kuna mpelelezi kaja mkoa fulani kikazi akiangalia hyo namba anatambua bila ya kuuliza.....

Hyo picha uloweka ni gari ya kiraia kabisaaa
 
Basi wewe ndo uko mbali sana, gari za makachero zote namba zake huwa ni za kiraia ila hazichorwi kwa muonekano kama namba za magari mengine....hii inafanywa makusudi ili wao kwa wao kutambuana, kana kwamba hata kama kuna mpelelezi kaja mkoa fulani kikazi akiangalia hyo namba anatambua bila ya kuuliza.....

Hyo picha uloweka ni gari ya kiraia kabisaaa
Wala sikubishii katika hilo.
Ila ni ukwelibusiopingika kuwa gari hilo si la mwenye nalo.
Maofisa mikono kiunoni wakati gari ina zama.

Mwisho wa siku ni kutoa taarifa tu" mzee ile gari imezama, dereva kajitahidi sana"

Ndo mwish wa gari la umma.
 
Ya umma halafu ina namba private????
Ok labda tuseme mwenye gari hakuwepo eneo la tukio lakini hiyo sio mali ya umma kwa sababu hizo namba sio za umma
Inaonesha ujui mambo mengi kijana
 
Haha watanzania kwa kukariri bana eti '' mabosi wameshikilia viuno tu'' au kwavile umemuona huuu jamaa ni bonge na mnene ndio bass??? Hahaha boss anaweza kuwa huyo wa pemben mkuu boss sio lazma awe na kitambi
98f61fd15ad786648000b17c8c1b21f2.jpg
 
Una uhakika gani kwamba hilo gari ni mali ya umma/mali ya serikali?
Magari ya umma yenye namba za kiraia ukiangalia huwa hazina bima au zina bima fake. Enzi zile za road licence pia ilikuwa inakosekana
 
Magari ya umma yenye namba za kiraia ukiangalia huwa hazina bima au zina bima fake. Enzi zile za road licence pia ilikuwa inakosekana
Kwa hyo wewe hapo hujaiona sticker ya bima? Au ya bima fake
 
Back
Top Bottom