FarLeftist
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 363
- 20
Kutokana na PCCB kuonyesha dhahiri wanamfanyia nani kazi na kwa njia zipi baada ya Waingereza kuweka mambo peupe, ni wakati muafaka wajitokeze tena na kuwaomba watanzania msamaha, baada ya hapo ipanguliwe upya..natoa hoja