Viongozi CHADEMA, zileteni familia zenu toka ughaibuni zishiriki maandamano!

voicer

JF-Expert Member
Jul 13, 2020
5,553
11,885
Uongozi huwa ni kuonyesha Njia uongozi huwa ni pamoja na kusimamia yale mnayowaaminisha mnaowaongoza kwa vitendo.

Sasa Chadema kupitia mwenyekiti wake Ndugu Aikael Freeman Mbowe Mmewatangazia watanzania kuwaomba wawaunge mkono katika maandamano yenu, kutaka mapendekezo yenu yaingizwe kwenye marekebisho ya katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.
Ni ukweli kwamba mnayo hoja ya msingi na mnapaswa kusikilizwa.

Ombi langu kwenu enyi viongozi waandamizi wa Chadema ni moja tu.

Kwamba muwalete na nyinyi watoto wenu wanaokula maisha huko ughaibuni pamoja na wake zenu.

Ili waje tushirikiane kwenye hayo maandamano,badala ya nyingi kutska kuwatumia watoto,wamama na wababa wa wenzenu.

Huku wa kwenu mmewaficha ulaya.
Mbowe- familia iko USA .
Lema-familia iko Canada . Lissu-familia iko Belgium .

Lakini pia niwaulize Chadema kwamba mlikuwa wapi kwenye kutetea ugumu wa maisha uliosababishwa na uongozi huu?
Ina maana leo ndio mnaisikia Tozo ya miamala,mfumko wa bei,kupanda nauli nchini pamoja na kutamalaki kwa ufisadi nchini?

Mlikuwa wapi kuitisha maandamano ya kupinga hayo?
Maana kiuhalisia hayo ndiyo madhila makuu ya wananchi.

Sasa nyingi mnataka wananchi wawatetee kutafuta katiba,ili na nyinyi iwape upenyo kuingia ikulu kufaidi.

Lakini mnasahau kwamba ni hivi majuzi tu mliwatenga kina Mwabukusi na Dk Slaa kwenye sakata la bandari ile DP-WORLD.
Na mkawazimia simu kabisa ilhali mlikwisha waahidi kutumia platform yenu!

Lakini pia no nyie mnaoo ngoza kwa kujitenga na vyama vinginevyo vya upinzani nchini mkiwakejeli kwamba ni vyama vidogo.
Iweje leo mnawaomba ushirikiano??
 
Uongozi huwa ni kuonyesha Njia uongozi huwa ni pamoja na kusimamia yale mnayowaaminisha mnaowaongoza kwa vitendo.

Sasa Chadema kupitia mwenyekiti wake Ndugu Aikael Freeman Mbowe Mmewatangazia watanzania kuwaomba wawaunge mkono katika maandamano yenu, kutaka mapendekezo yenu yaingizwe kwenye marekebisho ya katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.
Ni ukweli kwamba mnayo hoja ya msingi na mnapaswa kusikilizwa.

Ombi langu kwenu enyi viongozi waandamizi wa Chadema ni moja tu.

Kwamba muwalete na nyinyi watoto wenu wanaokula maisha huko ughaibuni pamoja na wake zenu.

Ili waje tushirikiane kwenye hayo maandamano,badala ya nyingi kutska kuwatumia watoto,wamama na wababa wa wenzenu.

Huku wa kwenu mmewaficha ulaya.
Mbowe- familia iko USA .
Lema-familia iko Canada . Lissu-familia iko Belgium .

Lakini pia niwaulize Chadema kwamba mlikuwa wapi kwenye kutetea ugumu wa maisha uliosababishwa na uongozi huu?
Ina maana leo ndio mnaisikia Tozo ya miamala,mfumko wa bei,kupanda nauli nchini pamoja na kutamalaki kwa ufisadi nchini?

Mlikuwa wapi kuitisha maandamano ya kupinga hayo?
Maana kiuhalisia hayo ndiyo madhila makuu ya wananchi.

Sasa nyingi mnataka wananchi wawatetee kutafuta katiba,ili na nyinyi iwape upenyo kuingia ikulu kufaidi.

Lakini mnasahau kwamba ni hivi majuzi tu mliwatenga kina Mwabukusi na Dk Slaa kwenye sakata la bandari ile DP-WORLD.
Na mkawazimia simu kabisa ilhali mlikwisha waahidi kutumia platform yenu!

Lakini pia no nyie mnaoo ngoza kwa kujitenga na vyama vinginevyo vya upinzani nchini mkiwakejeli kwamba ni vyama vidogo.
Iweje leo mnawaomba ushirikiano??
Na Rais Samia ili kuongoza TZ awarudishe watoto wake wanaoishi nje? Au kwasababu hajakutangazia basi umeshaamini kwamba hana watoto nje?

Endelea kuwa mjinga na kuamini vitu vya hovyo.
 
..Watoto na familia za vigogo ndio wanaopaswa kuwashughulikia wapinza ili kulinda ulaji wao na sio kutumia vyombo vya dola.
 
Hawa kenge buyu la asali limeisha akili ndio zimewarudi.

Waendelee kukaa kimya walivyokua , wasituletee unafiki wao .

piga hao wajinga wa chadema blalifool.
 
Uongozi huwa ni kuonyesha Njia uongozi huwa ni pamoja na kusimamia yale mnayowaaminisha mnaowaongoza kwa vitendo.

Sasa Chadema kupitia mwenyekiti wake Ndugu Aikael Freeman Mbowe Mmewatangazia watanzania kuwaomba wawaunge mkono katika maandamano yenu, kutaka mapendekezo yenu yaingizwe kwenye marekebisho ya katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.
Ni ukweli kwamba mnayo hoja ya msingi na mnapaswa kusikilizwa.

Ombi langu kwenu enyi viongozi waandamizi wa Chadema ni moja tu.

Kwamba muwalete na nyinyi watoto wenu wanaokula maisha huko ughaibuni pamoja na wake zenu.

Ili waje tushirikiane kwenye hayo maandamano,badala ya nyingi kutska kuwatumia watoto,wamama na wababa wa wenzenu.

Huku wa kwenu mmewaficha ulaya.
Mbowe- familia iko USA .
Lema-familia iko Canada . Lissu-familia iko Belgium .

Lakini pia niwaulize Chadema kwamba mlikuwa wapi kwenye kutetea ugumu wa maisha uliosababishwa na uongozi huu?
Ina maana leo ndio mnaisikia Tozo ya miamala,mfumko wa bei,kupanda nauli nchini pamoja na kutamalaki kwa ufisadi nchini?

Mlikuwa wapi kuitisha maandamano ya kupinga hayo?
Maana kiuhalisia hayo ndiyo madhila makuu ya wananchi.

Sasa nyingi mnataka wananchi wawatetee kutafuta katiba,ili na nyinyi iwape upenyo kuingia ikulu kufaidi.

Lakini mnasahau kwamba ni hivi majuzi tu mliwatenga kina Mwabukusi na Dk Slaa kwenye sakata la bandari ile DP-WORLD.
Na mkawazimia simu kabisa ilhali mlikwisha waahidi kutumia platform yenu!

Lakini pia no nyie mnaoo ngoza kwa kujitenga na vyama vinginevyo vya upinzani nchini mkiwakejeli kwamba ni vyama vidogo.
Iweje leo mnawaomba ushirikiano??
Ndugu yangu una fikra duni sana. Watoto wa Mbowe siyo watoto wa shule ya msingi. Ni watu wazima wenye uhuru wao wa kuamua waishi wapi, na kwa namna gani. Watoto hawa wameshuhudia Baba zao wakiteswa, wakipigwa risasi, wakiporwa mali zao kwaajili ya kuwapambania watanzania lakini Watanzania kama wewe mkiwa mmestarehe, huku wanafamilia hawa wakipitia magumu mengi.

Ebu tuambie, wakati mke na watoto wa Lisu wakihangaika baada ya Baba yao kupigwa risasi 16, wewe ulifanya nini?

Ebu tuambie, wakati Mbowe, Lisu, Msigwa, Heche, Sugu wakiwa jela kwa kesi za kupikwa, kwa sababu ya kupigania haki za Watanzania wote, watoto na wake zao walipokuwa wakihangaika usiku na mchana, wewe ulifanya nini?

Wakati mdogo wake Heche akiuawa kwa sababu tu kaka yake anapigania haki za watu wa Tarime, wewe ulifanya nini?

Wakati Mawazo akiuawa kwa mapanga, familia ikipitia magumu mengi na mateso, wewe umefabya nini?

Ukiwa hata na akili japo kidogo sana, utajua kuwa familia za hawa wapigania haki, zimekwishateseka sana, zimekwishatoa sadaka kubwa sana kwa Taifa hili na kwa Watanzania wote, hata wale wanafiki na wanaorudisha nyuma jitihada za kujikomboa kutoka kwenye utawala dhalimu w CCM usiotaka haki, utawala wa shetia wala demokrasia. Haya mambo ya kudai sijui wanafamilia wa hawa viongozi wa mapambano sijui wawe kwenye maandamano au sijui wafanye nini, ni kukosa maarifa.

Mtu asiposema hoja yako ni kipuuzi anakuwa tu amekustahi.
 
Uongozi huwa ni kuonyesha Njia uongozi huwa ni pamoja na kusimamia yale mnayowaaminisha mnaowaongoza kwa vitendo.

Sasa Chadema kupitia mwenyekiti wake Ndugu Aikael Freeman Mbowe Mmewatangazia watanzania kuwaomba wawaunge mkono katika maandamano yenu, kutaka mapendekezo yenu yaingizwe kwenye marekebisho ya katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.
Ni ukweli kwamba mnayo hoja ya msingi na mnapaswa kusikilizwa.

Ombi langu kwenu enyi viongozi waandamizi wa Chadema ni moja tu.

Kwamba muwalete na nyinyi watoto wenu wanaokula maisha huko ughaibuni pamoja na wake zenu.

Ili waje tushirikiane kwenye hayo maandamano,badala ya nyingi kutska kuwatumia watoto,wamama na wababa wa wenzenu.

Huku wa kwenu mmewaficha ulaya.
Mbowe- familia iko USA .
Lema-familia iko Canada . Lissu-familia iko Belgium .

Lakini pia niwaulize Chadema kwamba mlikuwa wapi kwenye kutetea ugumu wa maisha uliosababishwa na uongozi huu?
Ina maana leo ndio mnaisikia Tozo ya miamala,mfumko wa bei,kupanda nauli nchini pamoja na kutamalaki kwa ufisadi nchini?

Mlikuwa wapi kuitisha maandamano ya kupinga hayo?
Maana kiuhalisia hayo ndiyo madhila makuu ya wananchi.

Sasa nyingi mnataka wananchi wawatetee kutafuta katiba,ili na nyinyi iwape upenyo kuingia ikulu kufaidi.

Lakini mnasahau kwamba ni hivi majuzi tu mliwatenga kina Mwabukusi na Dk Slaa kwenye sakata la bandari ile DP-WORLD.
Na mkawazimia simu kabisa ilhali mlikwisha waahidi kutumia platform yenu!

Lakini pia no nyie mnaoo ngoza kwa kujitenga na vyama vinginevyo vya upinzani nchini mkiwakejeli kwamba ni vyama vidogo.
Iweje leo mnawaomba ushirikiano??
Kwani kuandamana kuna tatizo gani? Katiba ya Nchi inaruhusu jua hilo we Chawa
 
Kwani kuandamana kuna tatizo gani? Katiba ya Nchi inaruhusu jua hilo we Chawa

..wenza na watoto wa vigogo wa Ccm ndio wakashughulike na waandamanaji wa Chadema na sio kutegemea Polisi na Jwtz.
 
Ila kuna wa tz wana akili za kubembeleza hasa huyu mleta mada. Na yeye eti atakuja kuwa na familia na kuitwa baba
 
Uongozi huwa ni kuonyesha Njia uongozi huwa ni pamoja na kusimamia yale mnayowaaminisha mnaowaongoza kwa vitendo.

Sasa Chadema kupitia mwenyekiti wake Ndugu Aikael Freeman Mbowe Mmewatangazia watanzania kuwaomba wawaunge mkono katika maandamano yenu, kutaka mapendekezo yenu yaingizwe kwenye marekebisho ya katiba mpya kabla ya uchaguzi wa 2025.
Ni ukweli kwamba mnayo hoja ya msingi na mnapaswa kusikilizwa.

Ombi langu kwenu enyi viongozi waandamizi wa Chadema ni moja tu.

Kwamba muwalete na nyinyi watoto wenu wanaokula maisha huko ughaibuni pamoja na wake zenu.

Ili waje tushirikiane kwenye hayo maandamano,badala ya nyingi kutska kuwatumia watoto,wamama na wababa wa wenzenu.

Huku wa kwenu mmewaficha ulaya.
Mbowe- familia iko USA .
Lema-familia iko Canada . Lissu-familia iko Belgium .

Lakini pia niwaulize Chadema kwamba mlikuwa wapi kwenye kutetea ugumu wa maisha uliosababishwa na uongozi huu?
Ina maana leo ndio mnaisikia Tozo ya miamala,mfumko wa bei,kupanda nauli nchini pamoja na kutamalaki kwa ufisadi nchini?

Mlikuwa wapi kuitisha maandamano ya kupinga hayo?
Maana kiuhalisia hayo ndiyo madhila makuu ya wananchi.

Sasa nyingi mnataka wananchi wawatetee kutafuta katiba,ili na nyinyi iwape upenyo kuingia ikulu kufaidi.

Lakini mnasahau kwamba ni hivi majuzi tu mliwatenga kina Mwabukusi na Dk Slaa kwenye sakata la bandari ile DP-WORLD.
Na mkawazimia simu kabisa ilhali mlikwisha waahidi kutumia platform yenu!

Lakini pia no nyie mnaoo ngoza kwa kujitenga na vyama vinginevyo vya upinzani nchini mkiwakejeli kwamba ni vyama vidogo.
Iweje leo mnawaomba ushirikiano??
Ondoka bwana na porojo zenu uchwara, watoto wa viongonzi ndo wanaouziwa sukari kilo 4500, au ni watanzania wate na wewe ukiwemo, mnaongea porojo nyepesi kisa mko kwenye mstari wa mweupe wa maokoto ya rushwa na wizi wa fedha za umma sio

Tukutane tarhe 24, pamoja na bango, mfagio, ndoo ya maji, dekio na sabuni yaunga ,popote pale patafanyiwa usafi, mbwai mbwai
 
Maandamano ni porojo za chadema tu. Watu wazima na akili zetu hatuwezi kuacha shughuli zetu za maana kwenda kuandamana. Ni nyumbu peke yake watakaokubali huo ujinga.
 
Back
Top Bottom