matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 9,514
- 23,511
hahaha jamaa anajifanya geography inapanda.Matumizi mabaya ya chakula, chakula ni ibada
Ameen.![]()
Chakula ni ibada kamili
Chakula ni ibada kamili, kisichezewe, kisitupwe, kisiharibiwe. Chakula ni mojawapo ya mambo ambayo huileta familia pamoja na kujumuika wote, ni sehemu ambapo hufanyika sala na dua ya shukrani huku wakikumbukwa wale wote ambao hawakujaaliwa kupata mlo aidha kwa ugonjwa au kwa kukosa pesa nk...www.jamiiforums.com
[emoji23][emoji23][emoji23]hahaha jamaa anajifanya geography inapanda.
matumizi mabaya ya elimu haya[emoji16][emoji16][emoji16]
imetulia hii.![]()
Chakula ni ibada kamili
Chakula ni ibada kamili, kisichezewe, kisitupwe, kisiharibiwe. Chakula ni mojawapo ya mambo ambayo huileta familia pamoja na kujumuika wote, ni sehemu ambapo hufanyika sala na dua ya shukrani huku wakikumbukwa wale wote ambao hawakujaaliwa kupata mlo aidha kwa ugonjwa au kwa kukosa pesa nk...www.jamiiforums.com
[emoji108][emoji123]imetulia hii.
food decoration, kuchezea chakula sio huku hiyo ni sanaa na ni muhimu sana ktk cateringMatumizi mabaya ya chakula, chakula ni ibada
Ni Kweli Mkuu. Inatia huruma wewe unakula na kusaza wakati huo mtu mwingine anateseka kwa njaa.Watu wengine bwana, mimi binafsi hata migahawa ya wazi huwa sipendi kula, kwa sababu watu wengine utakuta wameshinda njaa, au wamelala njaa, sasa wewe unakula mtu anakutazama anasononeka. Huwa naona si busara.
food decoration, kuchezea chakula sio huku hiyo ni sanaa na ni muhimu sana ktk catering
Sitakaa nikubaliane nawe katika hili... Labda useme kwa upande wa giza sawafood decoration, kuchezea chakula sio huku hiyo ni sanaa na ni muhimu sana ktk catering
Na kuvaa vizuri sidhani kama unavaa kwani kuna ambao hawana uwezo wa kununua nguo nzuri hivyo wakikuona wanasononeka. Na gari pia hutakaa ununue kwani wanaobanana kwenye dala dala wakikuona watasononeka.Watu wengine bwana, mimi binafsi hata migahawa ya wazi huwa sipendi kula, kwa sababu watu wengine utakuta wameshinda njaa, au wamelala njaa, sasa wewe unakula mtu anakutazama anasononeka. Huwa naona si busara.