Huu ni zaidi ya

Huu ni zaidi ya

Ha ha ha ha.. Mahaba niue nimalize kama ebola lol..
 
mahaba niue hapo mkuu kabanga
Vile vyumba wanaviita master bed room vinaficha mengi mkuu kabanga kuna watu wanafanyiwa zaidi ya hayo bana
 
Last edited by a moderator:
Hii ni kama kushabikia CCM eti inaleta maendeleo Tanzania ikiwa na viongozi kama Komba, Nkamia, Mwigulu, Malima na yule mbunge wa Mtera
 
una experience ya kutosha kumbee?hiyo picha mbona kama ni wewe?

Mkuu mwekundu nina ndoa imara na yenye furaha muda wote na namshukuru Mungu kwa hilo haliendani na utumwa kama huu wa kulazimisha kupendwa
Na ukishaona mtu anafanywa mtumwa wa mapenzi jua hakuna furaha ila kuna kulazimisha mambo
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom