Hii ni kinyume kabisa na haki za viumbe wote duniani, be it dem, msela, simba, tembo, samaki, chura au chochote chenye surface kufanya jambo hilo!
kiongozi nasikia nawe pia bingwa....
Hii ni kinyume kabisa na haki za viumbe wote duniani, be it dem, msela, simba, tembo, samaki, chura au chochote chenye surface kufanya jambo hilo!
Kiuanaume huyu ni kupiga mawe mpaka arudishe number haiwezekani atuzalililishe wanaume wenzie hivyo!
yaani we acha tu mkuu hili lijamaaa sijui limepewa dawa za mahaba toka mkoa aua nchi gani khaaaaaaaaaaa!unamkumbuka shakila huyo au mwanahela....!