Hivi watu kama hao uwa hawajui wazazi wanajisacrifice kwa kiasi gani ili wao wasome.......huyo dada ni kichaa na akumbuke hapa duniani hawezi kufanikiwa labda amuombe msamaha mama akeNa wakati mama anasafisha vyoo vya mzungu kwaajili yake
Not always true,watu walishapelekwa hadi maofisini kwa watu,harusini, kwa marafiki nk...kama ipo ipo tuuu na kama haipo haipo tuuUkiona mwanaume hataki kukupeleka home/ghetto au hataki kukutambulisha kwa close friends and relatives, ujuwe kuwa he's using you (most of the time).
Mtu akiwa serious na wewe lazima atatamani ujuwe anapoishi, ndugu zake walau uwaone au apige simu uwasalimie, otherwise jiulize.
Soma tena, (most of the time)Not always true,watu walishapelekwa hadi maofisini kwa watu,harusini, kwa marafiki nk...kama ipo ipo tuuu na kama haipo haipo tuu
Kesho nna safari ya kwenda tandale sokoni ntapita hapo nikitokea Kwa mama zakariaMimi ninajikubali wewe ninaishi Kwamtogole
Karibu kwangu Sky Eclat.Mimi ninajikubali wewe ninaishi Kwamtogole
DisposableSijakuelewa ila acha nicomment kwa nilichoambulia,sio kila msichana ni wakupeleka home wengine tunapiga tu,na nikumegee siri kuna wasichana wengine ni wakukutana nao usiku au gest hata barabarani hatuongozani nao kwa sababu hawana mvuto,tunaondolea hamu tu.
Mtu kueleza ukweli ni tatizo, hujui kuna young generation humu inajifunza, fikiria mara mbili kabla hujajibu swali ili kufurahisha watu tuKama haujapenda stori ya mtu unapita. Kejeli za nini sasa .
MarhabaaaKhe niseme habari za viatu mkuu?
Mimi na wewe nani anafurahisha watu.Mtu kueleza ukweli ni tatizo, hujui kuna young generation humu inajifunza, fikiria mara mbili kabla hujajibu swali ili kufurahisha watu tu
Katikati isikufanye usahau chanzo kiufupi hakuna anayefaidika na hichi it's better tukatoa jamvi uwandani maisha yaendeleeMimi na wewe nani anafurahisha watu.
Kama ulijua kakosea ungetumia lugha ya staha ili hiyo young generation ifaidike kwa busara zako
Hio sio kukosa confidence ya maisha, sio utoto na wala sio utaahira....hio tunaita DILEMMAUmepata mapenzi kwa kuwa umejiwekea ka status mjini unaona aibu kumpeleka kwenu kutokana na hali halisi . Hii ni kukosa confidence ya maisha, utoto au ni utaahira?