Ibrahim K. Chiki
JF-Expert Member
- Apr 5, 2011
- 594
- 163
Hivi, tanzania tunaelekea wapi? tukiacha ushabiki wa vyama, chadema na ccm, kujaza watoto wenye umri kati ya miaka 10 na 15 kujadili muswada wa katiba tunajenga au tunabomoa? mbya zaidi watoto wenyewe wameishia kuchapa usingizi tu ukumbini, hii ni upumbavu tena nadhani inabidi tuanze kuweka utaifa mbele na si uchama, kwa sababu uchama hautasaidia. we should wake up, hicho chama kilichojaza watoto kiadhibiwe accordingly.