momentoftruth
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 2,041
- 2,140
Asante mwarimu wa luga
"Uhongo" badala ya "uongo", Hacha badala ya Acha, Uraaniwe balada ya Ulaaniwe,
Wengine hata uwachape bakora hawawezi kuacha kwa sababu ni lafudhi ya kikwao, eg wakurya hawana L wana R
Halafu neno halisi ni 'urongo' from the word 'wrong'
Tusiwalaumu sana bali tuendelee kuwasaidia kuwauonesha kosa kila linapotokea, kwa "experience" yangu humu jamvini nimekuwa kila nnapoliona kosa la R na L huwa najaribu kulionesha, na wengi sana wanajirekebisha. Mmoja wao ni Yericko Nyerere, anajaribu sana siku hizi kuweka sawa.
Tukumbuke kuwa wengi ya Watanzania lugha yao ya kwanza (mama) si Kiswahili na Kiswahili wanachokumbana nacho walipo toka wakiwa wadogo ndio hicho kisichokuwa na nidhamu ya matamshi.
Tuendelee kueleimishina tusikate tamaa hakuna aliye kamilika.
Kingine kinachokera ni ile yakuongea "ga" kwenye maneno, mfano, "tunakwendaga", "hakunaga", "wanasemaga"
hizo "ga" hazina maana yoyote kwenye Kiswahili na hazipaswi kuwepo, lakini ndio hivyo tena.
Tukienzi na tukilinde Kiswahili chetu, ni lugha tamu sana ikiwa itatunzwa lafdhi yake.
Watanzania wengi sasa wameamua kuharibu kiswahili Lugha yetu ya taifa. SEHEMU ya 'L' wanaweka 'r na kinyume chake. Mimi hukasirishwa sana kuona lugha inakosewa na watu wazima. Mfano
1. Naomba ladhi
2. Naomba nikurishe chakula
3. Raini yako ya simu iko wapi.
4. Weka porepole jaman n.k. HUKU NI KUKOSA ADABU./ NAOMBA NAWE UONGEZE MANENO ULIOWAH KUSIKIA YANAKOSEWA ILI WAJIREKEBISHE/
Acha utani mkuu. Wahehe hatuna r na v.Watanzania wengi sasa wameamua kuharibu kiswahili Lugha yetu ya taifa. SEHEMU ya 'L' wanaweka 'r na kinyume chake. Mimi hukasirishwa sana kuona lugha inakosewa na watu wazima. Mfano
1. Naomba ladhi
2. Naomba nikurishe chakula
3. Raini yako ya simu iko wapi.
4. Weka porepole jaman n.k. HUKU NI KUKOSA ADABU./ NAOMBA NAWE UONGEZE MANENO ULIOWAH KUSIKIA YANAKOSEWA ILI WAJIREKEBISHE/