Huu ni ugonjwa gani??

5e97e9b043bd5e67165ee2540329ddd7.jpg



f8ff04e7fdb446346f206a473c13bfbb.jpg



8b1d8295f8adc146c154c646a8abad9e.jpg
Wachome cndano ile yaminyoo napia tafta dawa ile yakuogeshea + lishe nzur
 

Mkuu hebu leta ushauri tuyanusuru maisha ya wanyama hawa
Mbwa wangu alipata huu ugonjwa akalazwa pale clinic ya Ali Hassan Mwinyi Road Kinondoni kabla ya Airtel HQ mpaka alipofariki. Walisema Fungus lakini walijaribu kumtibu ikashindikana. That was 2001.
 
Mbwa wangu alipata huu ugonjwa akalazwa pale clinic ya Ali Hassan Mwinyi Road Kinondoni kabla ya Airtel HQ mpaka alipofariki. Walisema Fungus lakini walijaribu kumtibu ikashindikana. That was 2001.
Aisee,, pole mkuu
 
So sad kuona mbwa/human friend akiteseka namna hiyo. kama mdau hapo juu alivyosema, Lishe duni inahusika PLUS infections. Boss, mbwa ni kama binadam..atleast ale milo 2 per day. Mbwa anatakiwa ale ashibe na apewe maji safi ya kunywa. unatakiwa umusimamie mbwa wako wakati anakula chakula in order to watch her behaviour. ukiamua kufuga dog hesabu kuwa umeongeza familia, so you got to be responsible. Zaidi kamwone daktari wa mifugo atakushauri kitaalam ikiwa ni pamoja na kumchoma sindano ya kumzuia na magonjwa...@SNAP J
 
So sad kuona mbwa/human friend akiteseka namna hiyo. kama mdau hapo juu alivyosema, Lishe duni inahusika PLUS infections. Boss, mbwa ni kama binadam..atleast ale milo 2 per day. Mbwa anatakiwa ale ashibe na apewe maji safi ya kunywa. unatakiwa umusimamie mbwa wako wakati anakula chakula in order to watch her behaviour. ukiamua kufuga dog hesabu kuwa umeongeza familia, so you got to be responsible. Zaidi kamwone daktari wa mifugo atakushauri kitaalam ikiwa ni pamoja na kumchoma sindano ya kumzuia na magonjwa...@SNAP J
Asante Prof kwa ushauri wako. Nitaufanyia kazi.
 
Back
Top Bottom