Huu ni uchuro

Polisi wanapowasambaratisha raia wanaoandamana kuelekea kwenye mkutano wa hadhara/siasa na kuwaacha raia wanaofunga barabara kwa magogo wakidai matuta barabarani
 
Unapo Copy from the desktop afu ukasahau na kutaka kuPaste kwenye Laptop pembeni yako:violin:
 
unapomfukuza kichaa laiyechukua nguo zako ilhali hali weye upo uchi wa mnyama yeye kavaa nguo!
 
Anaposhuka kiongozi wa chadema air port na kukuta maandamano ya kumpokea kiongozi wa cuf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…