Ralphryder JF-Expert Member Nov 16, 2011 4,934 1,294 Mar 9, 2012 #21 Unapopiga konzi kinyago cha mpingo cha kimakonde!
TaiJike JF-Expert Member Dec 14, 2011 1,483 667 Mar 9, 2012 #22 unaposhabikia Magamba wakati we ni kijana.
Erickb52 JF-Expert Member Oct 31, 2010 18,539 11,442 Mar 9, 2012 #24 Ralphryder said: Unapomuua kunguni kisha kumnusa! Click to expand... Hahahahaaa hii ya ukweli sana
Papa D JF-Expert Member Nov 1, 2010 753 182 Mar 9, 2012 #25 Polisi wanapowasambaratisha raia wanaoandamana kuelekea kwenye mkutano wa hadhara/siasa na kuwaacha raia wanaofunga barabara kwa magogo wakidai matuta barabarani
Polisi wanapowasambaratisha raia wanaoandamana kuelekea kwenye mkutano wa hadhara/siasa na kuwaacha raia wanaofunga barabara kwa magogo wakidai matuta barabarani
M Masudya New Member Mar 10, 2012 4 1 Mar 11, 2012 #26 Unapomcheka jamaa mwenye kigugumizi akati we ni bubu!
THK DJAYZZ JF-Expert Member Sep 14, 2011 2,167 175 Mar 11, 2012 #28 Unapojiona msomi huku elimu yako haijakukomboa...
ummu kulthum JF-Expert Member Feb 6, 2012 2,785 1,317 Mar 12, 2012 #29 unapomkubali waziri wa afya na kumfukuza katibu mkuu na naibu wake
T Temba Innocent Jvr Member Feb 1, 2012 34 4 Mar 12, 2012 #30 Ralphryder said: Unapopiga konzi kinyago cha mpingo cha kimakonde! Click to expand... hahah umenikumbusha kinyago cha mpapure!
Ralphryder said: Unapopiga konzi kinyago cha mpingo cha kimakonde! Click to expand... hahah umenikumbusha kinyago cha mpapure!
Mtanzanika JF-Expert Member Feb 27, 2012 2,389 1,131 Mar 12, 2012 #31 Unapo Copy from the desktop afu ukasahau na kutaka kuPaste kwenye Laptop pembeni yako:violin:
Salathiel m. Senior Member Mar 12, 2011 185 41 Mar 12, 2012 #32 Sistadu anapojamba akidhan yupo pekeake alafu mtu anatokea!
Papa D JF-Expert Member Nov 1, 2010 753 182 Mar 12, 2012 #33 unapomfukuza kichaa laiyechukua nguo zako ilhali hali weye upo uchi wa mnyama yeye kavaa nguo!
Red Giant JF-Expert Member Mar 9, 2012 15,658 20,890 Mar 12, 2012 #34 unapoenda chooni na maji kwenye kikombe
kalukamise JF-Expert Member May 4, 2011 683 189 Mar 12, 2012 #35 Unapojifuta mikono kwenye soksi baada ya kunawa
MBKiria Member Mar 12, 2011 5 0 Mar 12, 2012 #36 Anaposhuka kiongozi wa chadema air port na kukuta maandamano ya kumpokea kiongozi wa cuf
Pancras Suday JF-Expert Member Jun 24, 2011 8,143 3,830 Mar 12, 2012 #37 Ulimakafu said: mie simo. Click to expand... Huu nao ni uchuro, unakuwepo halafu unakana hupo
L LATTICE BOND JF-Expert Member May 30, 2011 219 48 Mar 29, 2012 Thread starter #38 Unapogombea cheo cha baba yako aliyefariki Dunia!
L LATTICE BOND JF-Expert Member May 30, 2011 219 48 Mar 29, 2012 Thread starter #39 Unapojikinga mvua kwa kutumia jaketi la kuzuia baridi!
Kiraka Kikuu JF-Expert Member Oct 3, 2011 5,904 1,976 Mar 29, 2012 #40 Mods wanapo futa uzi bila kutoa sababu yoyote!