Mkweche II
JF-Expert Member
- Aug 11, 2018
- 3,545
- 4,762
Mkuu nilikua natania tuIle skendo ya mgao wa pesa za iptl uliona kuna mchagga mule?
Mkuu nilikua natania tuIle skendo ya mgao wa pesa za iptl uliona kuna mchagga mule?
Kweli ushamba sana.This is extension of stupidity,
Mambo ya ukabila kwa kuangalia sijui nafasi za kiuchumi ama za kiuongozi ni ushamba wa hali ya juu!
Mimi huwa nikitaka ku refer ukabila naangalia yananihusu nini mie maendeleo ya ukanda fulani nitokapo alihali mimi ni CHOKA MBAYA? SINA PESA WALA NAFASI YOYOTE HUU SIO USHAMBA?
tufanyeni kazi ukabila haupo siku hizi na mie hata huwa nawashangaa watu unakuta jitu kubwa na mvi ati linasema sisi sijui ni matajiri wakati kila siku shati ni moja tu lishachora hadi ramani ya dunia!
Inaingilia vipi na nyie kulaza nyasi akiibuka hapa?!Siro juzi juzi alikuwa analalamikia askari wenzake wanaosema hatoshi katika nafasi ya IGP
Inaingilia vipi na nyie kulaza nyasi akiibuka hapa?!
Hahahahaha, kwamba "ufyolo" kabisaKaskazini hamna kitu kabisa labda Kilimanjaro kwa baadhi ya maeneo hasa ukiondoa upupu wa Mwanga na Same
Arusha hakuna Cha ajabu hasa ukimaliza Arusha mjini na hapa Meru DC kwingine n choka mbaya kabisa
Manyara n Hapo babati tu huko kwingine upupu mtupu
Tanga sitaki hata kugusia n ufyolo kabisa