Huu ni mchuano baina ya Kanda ya Ziwa na Kaskazini si vinginevyo

Sijaona tofauti Kati ya kanda.
Watanzania almost the same
Sawa tuacheni tupambane lakin niwaambie hata wafanyeje hawaezi kutushinda hao washamba.
Sema tu kuna kuwaandama Wachaga kama wachaga lakin kama kikanda watu wa Maziwa baado sana.
Kulinganisha na Northen Arc (Klm, Tanga, Chuga & Manyara)
 
Awamu hii hata udini umetamalaki, umewahi sikia matamko ya maaskofu kupinga ukiukwaji wa demokrasia na ukiukwaji wa haki za binadamu? Lakini kipindi cha Jk maaskofu walikua wanatoa matamko kila kukicha, hii ni athari ya udini
 
Ukisema kila watu warudi mkoani kwao Nani ataumia?
Knjaro na Arusha jakuna kitu. Hata hao wachaga wamewekeza mikoani sio kwao.
Moshi kuna nyumba Tu ambazo hazina thamani kiuchumi.
Pia hakuna chakula kinachoweza kutoaheleza wakazi wote wa kaskazini.
 
Manawasemasema tu watu wa kanda ya ziwa ila wakija hapa wote mtakimbia. Ohoo!! Shauri yenu, akiibuka Sirro ama Mabeyo hapa wote mtalaza nyasi.
 
Kuna Katoro ya Bukoba pia . Mjitahidi kuelewa mambo na kuficha ujinga wenu
cutelove njoo unisaidie kumcheka huyu kadandia bullet train kwa mbele πŸ˜¨πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Na atueleze wakati wa JK Katoro ya Bukoba kulitokea nini kunakohusiana na huu uzi, Katoro ya Bukoba ni kijiji, Katoro ya Geita ni mji mdogo hata Geita yenyewe haigusi
 
cutelove,
Napata tabu sana kujua vigezo vinavyotumika kui label Serikali ya awamu ya pili na udini kisha kuiacha na kujitia upofu kuhusu udini kwa serikali ya awamu ya tano

Nimegundua kua kuna watu wa imani flani huwa wanadhani wana monopoly ya hii nchi. Udini ni pale watu wa imani tofauti wanapokua wanapewa fursa sawa na wao

Jambo linaloleta utulivu ni kwamba imani inayobaguliwa awamu hii tena waziwazi wapo kimya wanaangalia tu wanavyotengwa
 
Hao Watu Wa Kanda ya Ziwa Wanaopendelewa Na Jiwe Nadhani Hawapatikani Mara Na Kagera
 
Sawa tuacheni tupambane lakin niwaambie hata wafanyeje hawaezi kutushinda hao washamba.
Sema tu kuna kuwaandama Wachaga kama wachaga lakin kama kikanda watu wa Maziwa baado sana.
Kulinganisha na Northen Arc (Klm, Tanga, Chuga & Manyara)
This is extension of stupidity,

Mambo ya ukabila kwa kuangalia sijui nafasi za kiuchumi ama za kiuongozi ni ushamba wa hali ya juu!

Mimi huwa nikitaka ku refer ukabila naangalia yananihusu nini mie maendeleo ya ukanda fulani nitokapo alihali mimi ni CHOKA MBAYA? SINA PESA WALA NAFASI YOYOTE HUU SIO USHAMBA?

tufanyeni kazi ukabila haupo siku hizi na mie hata huwa nawashangaa watu unakuta jitu kubwa na mvi ati linasema sisi sijui ni matajiri wakati kila siku shati ni moja tu lishachora hadi ramani ya dunia!
 
Mambo ya makabila haya hata mungu alijua

Kuna makabila unakuta ni wazungumzaji wa lugha moja lakini they are not mutually intelligible, but the same language different dialects.

Hebu fikiria hao watu wangekuwa wanaelewana si ilikuwa balaa
 
Alafu watu kwa nini wanapenda kuchanganya kanda ya ziwa na wasukuma, mtu anashindwa kutaja kwamba mkuu anapendelea wasukuma wenzie anataja kanda ya ziwa.
Unapotaja kanda ya ziwa kumbuka unajumuisha mikoa ya Kagera na Mara pia, je na huko kuna nini Magu amekifanya mpaka muwajumuishe kwenye kupendelewa na Magu????
 
Kanda ya ziwa itowe kabisa kagera na wahaya.

Aliyoyafanya mkuu wakati wa tetemeko nyote mnayajua


Wahaya tumewaachia nchi Yenu kila mtu Yuko busy na Mambo yake
Inashangaza kuona watu hawajui kanda ya ziwa ni ipi, mtu anashindwa kutaja wasukuma anataja kanda ya ziwa sasa sijui huko Kagera na Mara wapendelewa na nini zaidi ya kutelekezwa
 
Wa kaskazini wapo vizuri kwenye wizi,bangi,usela mavi ,ujanja mavi &co

Sijui kama unajua ulichoandika. Pia, nchi hii ni yetu sote.
Popopte pale mtanzania anaweza kukaa. Hujakatazwa kuishi Araa au moshi.
Chuki zako za watu wa kaskazini ni bure wala hazikusaidii lolote.
 
Ukisema kila watu warudi mkoani kwao Nani ataumia?
Knjaro na Arusha jakuna kitu. Hata hao wachaga wamewekeza mikoani sio kwao.
Moshi kuna nyumba Tu ambazo hazina thamani kiuchumi.
Pia hakuna chakula kinachoweza kutoaheleza wakazi wote wa kaskazini.
Wewe hujielewi hata kidogo
 
Manawasemasema tu watu wa kanda ya ziwa ila wakija hapa wote mtakimbia. Ohoo!! Shauri yenu, akiibuka Sirro ama Mabeyo hapa wote mtalaza nyasi.
Siro juzi juzi alikuwa analalamikia askari wenzake wanaosema hatoshi katika nafasi ya IGP
 
Back
Top Bottom