nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
-Eneo la kilima cha Kanyama lilikuwa na mgogoro wa muda mrefu baina ya wakazi wa kitongoji hicho na mheshimiwa diwani wao juu ya umiliki na kupelekea kufunguliwa shauri mahakamani.
-Wakati mahakama haijatoa hukumu juu ya nani mmliki halali kati ya diwani na wananchi, wananchi waliendelea kuchimba mawe na kuponda kokoto kwa ajili ya kupata pesa waweze kujikimu, na hili ndilo lilokuwa linamkera Mabina.
-Ili wananchi wasiendelee kuponda mawe hayo kama ilivyokuwa imeamuliwa na mahakama mpaka pale itakapotoa hukumu kamili,Mabina alikuwa akifanya jitihada za kwenda kuweke vibao vya "marufuku kuingia" zoezi ambalo lilikuwa likikwamishwa na nguvu ya wananchi kwani mara zote walisimama kidete kumzuia
-Siku ya tukio lilopelekea kuuawa kwa Mheshimiwa Mabina,alikuwa amedhamiria vile vibao lazima aviweke kwa kanuni ya liwalo na liwe.
-Alifika kilimani akiwa na mabaunsa 6 ndani ya gari lake,2 miongoni mwao wakiwa na shotgun 2,ilhali yeye akiwa na bastola .
-Alimukuta kijana 1 maeneo yale na kumteka kwa nguvu kama kinga dhidi yake endapo wananchi watakuja kukwamisha tena zoezi lake na kuwaamuru mabaunsa wake waanze kuweka vile vibao.
-Haikuchukua muda baadhi ya wananchi walifika na kukuta zoezi la kuweka vibao likiendelea huku Mheshimiwa Mabina akizunguka na kijana aliyemteka huku amemwelekezea bastola kichwani,hali iliyozusha sintofahamu nakuanza kupiga yowe wakihamasishana kubeba kila ina ya silaha kwenda eneo la tukio.
-Mabaunsa kuona vile wakatimuka na kumwacha Mabina akiwa na yulemateka akiawaambia wananchi wa step back na wasimudhuru yeye ili nayeye pia asimudhuru kijana
-Kwa mnao wafahamu wasukuma mbinu aliyoitumia Mabina ilikuwa ngumu kueleweka,yaani warudishe majeshi nyuma wakati kijana wao kawekewa bastola kichwani?!...ikawa ....nduhuuuuu....nekelage tamuuuu....twalemagaaaa,Mabina akaendelea kukaidi hatimaye wasuma wakatamuka neon....chuuuuuuuu..neno hili ni sawa na LIWALO NA LIWE..ambalo msukuma hulitumia akifika kiwango cha mwisho kabisa cha uvumilivu,wakaanza mashambulizi dhidi ya Mabina...naye akajibu mapigo tena ...chuuuuuuuuu...akamtwanga risasi ya kichwa yule mateka wake.Hapo ndo wananzengo hawa wakacharuka na kummaliza.
-Mengine yote ni uzushi ukweli ndo huu anayebisha aende Kanyama,Kisesa
Source:Afande mzalendo
-Wakati mahakama haijatoa hukumu juu ya nani mmliki halali kati ya diwani na wananchi, wananchi waliendelea kuchimba mawe na kuponda kokoto kwa ajili ya kupata pesa waweze kujikimu, na hili ndilo lilokuwa linamkera Mabina.
-Ili wananchi wasiendelee kuponda mawe hayo kama ilivyokuwa imeamuliwa na mahakama mpaka pale itakapotoa hukumu kamili,Mabina alikuwa akifanya jitihada za kwenda kuweke vibao vya "marufuku kuingia" zoezi ambalo lilikuwa likikwamishwa na nguvu ya wananchi kwani mara zote walisimama kidete kumzuia
-Siku ya tukio lilopelekea kuuawa kwa Mheshimiwa Mabina,alikuwa amedhamiria vile vibao lazima aviweke kwa kanuni ya liwalo na liwe.
-Alifika kilimani akiwa na mabaunsa 6 ndani ya gari lake,2 miongoni mwao wakiwa na shotgun 2,ilhali yeye akiwa na bastola .
-Alimukuta kijana 1 maeneo yale na kumteka kwa nguvu kama kinga dhidi yake endapo wananchi watakuja kukwamisha tena zoezi lake na kuwaamuru mabaunsa wake waanze kuweka vile vibao.
-Haikuchukua muda baadhi ya wananchi walifika na kukuta zoezi la kuweka vibao likiendelea huku Mheshimiwa Mabina akizunguka na kijana aliyemteka huku amemwelekezea bastola kichwani,hali iliyozusha sintofahamu nakuanza kupiga yowe wakihamasishana kubeba kila ina ya silaha kwenda eneo la tukio.
-Mabaunsa kuona vile wakatimuka na kumwacha Mabina akiwa na yulemateka akiawaambia wananchi wa step back na wasimudhuru yeye ili nayeye pia asimudhuru kijana
-Kwa mnao wafahamu wasukuma mbinu aliyoitumia Mabina ilikuwa ngumu kueleweka,yaani warudishe majeshi nyuma wakati kijana wao kawekewa bastola kichwani?!...ikawa ....nduhuuuuu....nekelage tamuuuu....twalemagaaaa,Mabina akaendelea kukaidi hatimaye wasuma wakatamuka neon....chuuuuuuuu..neno hili ni sawa na LIWALO NA LIWE..ambalo msukuma hulitumia akifika kiwango cha mwisho kabisa cha uvumilivu,wakaanza mashambulizi dhidi ya Mabina...naye akajibu mapigo tena ...chuuuuuuuuu...akamtwanga risasi ya kichwa yule mateka wake.Hapo ndo wananzengo hawa wakacharuka na kummaliza.
-Mengine yote ni uzushi ukweli ndo huu anayebisha aende Kanyama,Kisesa
Source:Afande mzalendo