nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
- Thread starter
- #21
umri wa kesi ulikuwa miaka 15 ni kweli?
~na nimesikia kuwa alitoka kanisani na kufika nyumbani kwake akaanza kuchochea bastola risasi na hapo mke wake akamzuia asiende popote na kuficha funguo za magari yeye akaenda kukodi hiace akaingia huko na hao mabaunsa wake .
hiyo nimesikia kwani niko mwanza na maneno ni mengi kweli
True mkuu