Huu ndiyo ukweli kuhusu Dr. Slaa

Status
Not open for further replies.
Huyo Jacton sidhani kama kuna kitu ataandika nije kukisoma haitatokea
 
Mleta mada wala usipatwe gadhabu. Wala mimi sina sababu ya kulumbana hapa. Nilichoposti juzi ndicho hicho hicho ninachoendelea kukisimamia. Hili ni suala la muda tu. Muhimu ni kuwa Dr. Slaa ameiacha Chadema, basi. Huo ndiyo ukweli hata kama kwako na wengine wa aina yako ni mchungu. Hapa hatuleti ushabiki, isipokuwa uhalisia wa mambo. Time will tell.
 
NENO litasimama,mambo yote yatapita LAKINI neo LITASIMAMA.
 
Ah huyu dokta kachoka aachie watu waendelee..naona yeye mwenyewe anapenda hii media frenzy.Kama anaunga mkono si afanye press conference hata ya dk5 kumaliza umbea.Na kama haungi mkono si aseme!Tatizo wanasiasa wanapenda kuwa vichwa vya habari.Eti mke wake anamjibia afu yy yupo kimya.Kweli huyu ndo alitaka awe raisi??ili mke alihutibie taifa au?
Sipo against CDM ila
Dr.Slaa ni so Old News!
 
leo hii ccm mnamtafuta dr.slaa mmekuwa wasemaji wa chadema leo hii ccm duuu haya tufanye tuamini kasepa km mnavyotaka atapunguza wapiga kura wangapi ukiweka na wapiga kura aliokuja nao lowasa la msingi ni kura za wananchi nani ana kura nyingi.ila dr.yupo na haondoki nyie endeleeni kutafuta nyeti za kuku na upepo ndio huu.
 
Mkuu huo kweli upo wapi naona unalalamika tu dhidi ya magazeti.

Kukata mzizi wa fitina tuambie rais wa mioyo yenu yupo wapi.

Kwa njia yeyote ile ulitakiwa kuonyesha Dr.Slaa na Mnyika wapo wapi ili watu wasiendelee kuhoji.

Ahasante.
Nenda makao makuu ya chama ili upate maelezo yatakayo kulidhisha.
 
kamanda Mbona lissu umemuondoa kwenye list? nakumbuka wakati enl anajiunga na cdm mliwauliza hao watatu wako wapi.
Kamanda, Lissu na Mwalimu ni askari watiifu kwa kamanda Mbowe.
 
uliosema ameondoka leta ushahidi hapa mwandishi gani unaandika madai za uchunguzi bila ushahidi thibitishia uma kwamba dr.slaa kaondoka chadema kama unavyosema.
 
maneno mengi huna hata ushashidi nyie kumaliza ubishi wekeni picha ya dr leo akipokea fomu ya lowasa mkishindwa sana tuwekeeni audio ya kukanusha huu uzushi mbona rahisi sana..
 

Wew jamaa ni mpumbavu namba moja, maelezo yote hayo hamna point hata moja ,umetumia mda mwingi kulalamika ,badala ya kuueleza ukweli wenyewe ,ni hivi karibu kulikuwa na malalamiko kuhusu ujio wa ED CDM mkanza kusema hizo ni propaganda za CCM lakini mwenye akili amejua wenye propaganda ni akina Nani hasa ,
 
Habari zenu wanajamii,chama cha mapinduzi CCM kinagawa rushwa ya Tsh 5,000/= kwa kila mwenye kadi ya chama hicho.Rushwa hizo zinzgawiwa na wagombea wa nafasi ya ubunge na udiwani.Mamlaka husika mpooo.
 
Mkuu huo kweli upo wapi naona unalalamika tu dhidi ya magazeti.

Kukata mzizi wa fitina tuambie rais wa mioyo yenu yupo wapi.

Kwa njia yeyote ile ulitakiwa kuonyesha Dr.Slaa na Mnyika wapo wapi ili watu wasiendelee kuhoji.

Ahasante.




Ilitakiwa Dr. Slaa mwenyewe ajitokeze adharani akanushe habari nzito kama hii, sio wewe umsee kwani yeye hajaiona au yupo nje ya nchi?!

Kukaa kimya kwake lazima tuendelee kuamini lipo tatizo sio bure! Mpaka pale yeye binafsi atakapo kuja kukanusha habari hizo!
 
Mkuu huo kweli upo wapi naona unalalamika tu dhidi ya magazeti.

Kukata mzizi wa fitina tuambie rais wa mioyo yenu yupo wapi.

Kwa njia yeyote ile ulitakiwa kuonyesha Dr.Slaa na Mnyika wapo wapi ili watu wasiendelee kuhoji.

Ahasante.

Mnamtafuta Dr Slaa hammpati ng'o.
Hata muaundike hizo za mara milion bado watz hawawezi kuwaamini, mnang'oka october tu.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…