Huu ndio uvaaji gani?

Huu ndio uvaaji gani?

Sema hiyo ya kulonga na mutu kwa Dole la kati izingatiwe pia

Hivi alikuwa anamchamba au.!?
 
Vaa wewe vizuri kumshinda yeye ili upendwe wewe,tumia hiyo fursa coz unaonekana huna kazi yakufanya hadi kufuatilia mavazi ya wanaume.
 
Matajiri wa Osterbay wanaTanzania yao..

Imagine . Kuwa Kila siku ya jmos kuanzia saa 12 asubuh had saa 4 asubuh. Njia ile kuanzia Agha khan hosp kupigia daraja la tanzanite, uje barabara ya coco hadi karibia na police officers mess.
Inafungwa kwa ajili ya wakimbiaji na wanaofanya mazoezi.

Hakuna boda. Bajaji wala gar inahoruhusiwa kupita.

Ndio maana unaona barabara nyeupe.
Narudia. Ni Kila jmosi . Muda huo.

Seran siku moja jumuika huku.
Happy walking,tukutane Darajani Jmosi
 
Matajiri wa Osterbay wanaTanzania yao..

Imagine . Kuwa Kila siku ya jmos kuanzia saa 12 asubuh had saa 4 asubuh. Njia ile kuanzia Agha khan hosp kupigia daraja la tanzanite, uje barabara ya coco hadi karibia na police officers mess.
Inafungwa kwa ajili ya wakimbiaji na wanaofanya mazoezi.

Hakuna boda. Bajaji wala gar inahoruhusiwa kupita.

Ndio maana unaona barabara nyeupe.
Narudia. Ni Kila jmosi . Muda huo.

Seran siku moja jumuika huku.
Sikuona hii shem, sio nifike nianze kuhema kama nguruwe! Nilivyo mvivu sasa🤦🏽‍♀️
 
Back
Top Bottom