Mkuu Kuchaguliwa siyo Kufaulu..... hapo inategemeana walipiga mstari tu. Huko Mbele kwenye Oral Intervview na Practical ndiko tutakakohitaji ufaul.. PoleWakuu wanaJamiiForums,
Mambo ya ajabu kabisa yanatendeka katika taasisi hii nyeti ya Umma. Hawa mabwana waliitisha maombi ya Nafasi ya Kazi katika kitengo cha Food Science and Technology kada ya Quality Assurance Officer Daraja la Pili(II) baada ya kufanyika kwa usaili wa kuandika yaani Written Interview majibu yametoka lakini cha kushangaza mtu mwenye alama 53 za ufaulu amechaguliwa kwaajili ya hatua inayofuata huku wale ipanga wenye ufaulu wa 65,64,60,59 wakiachwa.
Ninyi maafisa wa TBS tunaomba kujua ni vigezo gani mnavitumia kuchambua wasailiwa?
Kimetokea nini tena mkuu maana huko ni balaa nako kwa kuchinjia watu baharini.
TBS Tanzania bureau of StandardsTBS Tanzania bureau of statistics
TBC Tanzania broadcasting corporation
Inawezekana aliewekwa hapo ni Ke sema wamesahau kubadili namba.Dah swali lako gumu sana aisee
TBS Tanzania bureau of statistics
TBC Tanzania broadcasting corporation
Huyo mwenye 53% yawezekana ni mtoto wa Kigogo mmojawapo, huwezi jua Mkuu.Wakuu wanaJamiiForums,
Mambo ya ajabu kabisa yanatendeka katika taasisi hii nyeti ya Umma. Hawa mabwana waliitisha maombi ya Nafasi ya Kazi katika kitengo cha Food Science and Technology kada ya Quality Assurance Officer Daraja la Pili(II) baada ya kufanyika kwa usaili wa kuandika yaani Written Interview majibu yametoka lakini cha kushangaza mtu mwenye alama 53 za ufaulu amechaguliwa kwaajili ya hatua inayofuata huku wale ipanga wenye ufaulu wa 65,64,60,59 wakiachwa.
Ninyi maafisa wa TBS tunaomba kujua ni vigezo gani mnavitumia kuchambua wasailiwa?
TBS 0047 ni namba ya siri ya mtahiniwa wewe umewezaje kujua ni nani? Wewe ni ndio msahihishaji?Mkuu punguza Povu.
Huyo Jamaa ni mlemavu na huwa wana added advantage kwenye interview.
Namjua vzr tu.
Sent From Ikulu-Magogoni street