Ugaidi ni kitu kikubwa na hatari Sana. Tatizo polisi wetu wanatumia Kama kigezo cha kisiasa. Wakati mwingine ujambazi, vibaka au hata uarifu wa kawaida tu utasikia ugaidi. Madhara yake wananchi wanaandaliwa kisaikorojia kwa aina ya ugaidi ambao sio halisi/fake. Siku ugaidi ukitokea Kama huku tunaouona knya wengi watakufa kwa stress na heart attacks. Na hofu itakuwa sio ya kawaida.
Hali alisi ni hofu juu ya mbwa mwitu ambao hawakuwa hata na panga lkn jiji zima lilisimama kwa siku mzima.
Tunatakiwa kuwa serias. Police lzm waachane na siasa wafanye kazi zao.
Najua TZ sisi ni bora Sana kwa ulinzi lkn siasa zisituaribu.