Huu ndio msimu wa i phone 17 kuzinduliwa

Huu ndio msimu wa i phone 17 kuzinduliwa

Hivi mpaka matoleo yote ya iPhone yaishe kiwandani, dada zetu watakuwa na hali gani huko nyuma?

Kila toleo linapotoka linaacha vijambio vikiwa wazi bin taaban. Full mifumuko.

Mpaka matoleo yote yaishe tujiandae kununua maboza ya kubeba mavi mitaani.

Cc: Shyshka Reinhardt
 
Haahahahah, yaani nimecheka hapa balaa, sasa Simu na mafuta ya nazi wapi na wwapi tena?
 
Back
Top Bottom