Huu mwaka niajiriwe, nimechoka

Huu mwaka niajiriwe, nimechoka

Madibira 1

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2023
Posts
381
Reaction score
866
Salamu ndugu viongozi,
Wachama na WA serikali,
Wakulima Kwa wafugaji,
Wasomi Kwa wasiosoma,
Matajiri Kwaasikini,
Wema Kwa wabaya,
Wakusali na wasio Sali
Nawasalimu Kwa jina la Bwana Mungu jina lipitalo majina yote.

Jamani Kama kusota kitaa nimesota Sana. Kama kazi za shamba nimefanya Sana. Biashara na kazi nje ya nilichokisomea nimefanya Sana. Kujitolea Ili kuongeza uzoefu wa kufundisha nimefanya na naendelea. Kubet nimebet Sana mpaka virtual. Kazi za serikali kupitia ajira portal nimeomba na kuhudhuria saili nyingi Sana mpaka nyingine nimeishia oral!

Sasa imefika wakati wangu wa kuajiriwa. Huu mwaka mama naomba aupige mwingi niajiriwe hata shule za msingi kikubwa niajiriwe. Yaani Kuna watu wanaajira na wanateuliwa wanachagua tu kwakwenda wakati Mimi hata kesho tangu siioni nimemuonea donge mteuliwa. Mama miaka 8 au 6 bila ajira sio kitu mchezo, tafadhari fanya kitu.

Jamani mwaka huu nitaajiriwa iwe Kwa connection, rushwa, ushirikina, maombi,matambiko, ndondokela etc nitaajiriwa tu. Nimechoka kuwa kitukanio Cha watoto wanaopenda shule. Yaani mtaani mtoto anaependa shule anaambiwa "shule utakuwa wewe Fulani na kusoma kote Hana lolote!" Yaani serikali niwaombe ajira.

Kijiweni siruhusiwi kuchangia mjadala hata wa Simba na yanga maana ukichangia tu utasikia "yaani wewe na usomi wote unashabikia timu...., Au Yaani wewe elimu haijakusaidia kabisa! Yaani maisha haya nimechoka!. Serikali niajirini la sivyo nitaenda kuwa kichaa. Lakini najipanga labda msitangaze ajira za ualimu yaani hata laki tano natoa Kwa mwenye connection nimechoka mimi.
 
Kulima umelima
Biashara umefanya
Kubet umebet
Hadi kujitolea na bado hamna kilichokufaa.
Ndugu, umeshindikana. Tafuta mwanamke akulee au kama kuna uwezekano wa kukaa tu ndani kaa mzee. Utaharibu kazi za watu.
Mipango wewe bado sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Ukihama Kwa shemeji Yako utajua kuwa maisha ni vita.
 
Hakuna kitu ninachukia Kama hiko kutulia kitaa mazungumzo kidogo tu "Wewe Msomi hivi" "Wewe Msomi vile"
"Wewe na usomi wako wote hivi" "Msomi.......". Waaiosoma wanaupuuzi Sana

Mimi introvert ila kwa ujinga huu umefanya niwe full-time introvert na sichangamani wa wajinga wanjinga kabisa nikitoka job tulia geto na-practice skills zangu nikiwa free Movies naoeruzi nalala nikiwa lonely namcheki Manzi yangu tunapoa Weekend yote natulia Geto natengeneza Content au kujifunza skills nikiwa free Movies kutoka usiku kumeet na Manzi.
 
Hakuna kitu ninachukia Kama hiko kutulia kitaa mazungumzo kidogo tu "Wewe Msomi hivi" "Wewe Msomi vile"
"Wewe na usomi wako wote hivi" "Msomi.......". Waaiosoma wanaupuuzi Sana

Mimi introvert ila kwa ujinga huu umefanya niwe full-time introvert na sichangamani wa wajinga wanjinga kabisa nikitoka job tulia geto na-practice skills zangu nikiwa free Movies naoeruzi nalala nikiwa lonely namcheki Manzi yangu tunapoa Weekend yote natulia Geto natengeneza Content au kujifunza skills nikiwa free Movies kutoka usiku kumeet na Manzi.
Yaani jamaa Hilo la kuhusisha masuala ya elimu kwenye stori za kawaida tu huwa linanitafuna Sana. Nikiajiriwa nitajifungia Kama unavyofanya ila kwasasa nikichili home nitaua watoto.
 
Salamu ndugu viongozi,
Wachama na WA serikali,
Wakulima Kwa wafugaji,
Wasomi Kwa wasiosoma,
Matajiri Kwaasikini,
Wema Kwa wabaya,
Wakusali na wasio Sali
Nawasalimu Kwa jina la Bwana Mungu jina lipitalo majina yote.

Jamani Kama kusota kitaa nimesota Sana. Kama kazi za shamba nimefanya Sana. Biashara na kazi nje ya nilichokisomea nimefanya Sana. Kujitolea Ili kuongeza uzoefu wa kufundisha nimefanya na naendelea. Kubet nimebet Sana mpaka virtual. Kazi za serikali kupitia ajira portal nimeomba na kuhudhuria saili nyingi Sana mpaka nyingine nimeishia oral!

Sasa imefika wakati wangu wa kuajiriwa. Huu mwaka mama naomba aupige mwingi niajiriwe hata shule za msingi kikubwa niajiriwe. Yaani Kuna watu wanaajira na wanateuliwa wanachagua tu kwakwenda wakati Mimi hata kesho tangu siioni nimemuonea donge mteuliwa. Mama miaka 8 au 6 bila ajira sio kitu mchezo, tafadhari fanya kitu.

Jamani mwaka huu nitaajiriwa iwe Kwa connection, rushwa, ushirikina, maombi,matambiko, ndondokela etc nitaajiriwa tu. Nimechoka kuwa kitukanio Cha watoto wanaopenda shule. Yaani mtaani mtoto anaependa shule anaambiwa "shule utakuwa wewe Fulani na kusoma kote Hana lolote!" Yaani serikali niwaombe ajira.

Kijiweni siruhusiwi kuchangia mjadala hata wa Simba na yanga maana ukichangia tu utasikia "yaani wewe na usomi wote unashabikia timu...., Au Yaani wewe elimu haijakusaidia kabisa! Yaani maisha haya nimechoka!. Serikali niajirini la sivyo nitaenda kuwa kichaa. Lakini najipanga labda msitangaze ajira za ualimu yaani hata laki tano natoa Kwa mwenye connection nimechoka mimi.
Na mkishaajiriwa kazi ni kupiga vyombo na darasani hamtii mguu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Na mkishaajiriwa kazi ni kupiga vyombo na darasani hamtii mguu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Jamaa sijawahi kutumia kilevi chochote hata ulanzi TU. Huwa sivuti sigara, bange n.k, sinywi Pombe yoyote. Niombee class nitafundisha mpaka USiku Kama Kuna prepal hiyo shule
 
Yaani jamaa Hilo la kuhusisha masuala ya elimu kwenye stori za kawaida tu huwa linanitafuna Sana. Nikiajiriwa nitajifungia Kama unavyofanya ila kwasasa nikichili home nitaua watoto.
Wacha kukaa na darasa la saba kabisa unless hio sehemu iwe inakufaidisha kiuchumi Kama just for stori Set Your Standard hao jamaa wana MOCK Sana Graduate wanafurahi sana msomi kufeli kaa geto chora ramani toka nje zi-apply
 
Back
Top Bottom