Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Hakika inasikitisha sana kuona Serikali inayojinasibu kuwa ni serikali inayowajali wananchi waje wakati wapo wastaafu wana miaka 4 hawajalipwa mafao yao
Kuna mzee wangu alistaafu julai 2018 lakini mpaka leo mfuko wa PSSSF umeshindwa kumlipa mafao yake mwaka 2020 mzee aliambiwa mafao yake yamekwama kwa sababu ya kukosekana majalada binafsi.
Mzee alipeleka nyaraka zote walizozihitaji yakiwemo na majalada binafsi ya sehemu alizofanya kazi na kuambiwa cag anayahitaji.
Toka amekabidhi huu ni mwezi wa 7 bado anasubiri mafao yake hakika wastaafu wanateseka sana nchi hii
Tunaiomba Serikali ifike mahali iwalipe hawa wazee wastaafu kwani hawana kipato chochote zaidi ya mafao yao.
Kuna mzee wangu alistaafu julai 2018 lakini mpaka leo mfuko wa PSSSF umeshindwa kumlipa mafao yake mwaka 2020 mzee aliambiwa mafao yake yamekwama kwa sababu ya kukosekana majalada binafsi.
Mzee alipeleka nyaraka zote walizozihitaji yakiwemo na majalada binafsi ya sehemu alizofanya kazi na kuambiwa cag anayahitaji.
Toka amekabidhi huu ni mwezi wa 7 bado anasubiri mafao yake hakika wastaafu wanateseka sana nchi hii
Tunaiomba Serikali ifike mahali iwalipe hawa wazee wastaafu kwani hawana kipato chochote zaidi ya mafao yao.