mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Hakika inasikitisha sana mahangaiko wanayopitia wazee wetu wastaafu kudai Mafao yao. Kuna Mzee alistaafu Julai 2018 lakini mpaka leo anahangaishwa na Mfuko wa PSSSF kulipwa Mafao yake ya Serikali kuu.
Mzee huyu aliamua kwenda Dodoma; kufuatili Mafao yake Septemba 2019 akaahidiwa mwezi Novemba lakini mpaka hivi leo hajalipwa na ifikapo Julai 2020 atakuwa katimiza Miaka 2 ya kudai Mafao.
Hebu tujiulize; anaishije na familia yake?
Mzee huyu aliamua kwenda Dodoma; kufuatili Mafao yake Septemba 2019 akaahidiwa mwezi Novemba lakini mpaka hivi leo hajalipwa na ifikapo Julai 2020 atakuwa katimiza Miaka 2 ya kudai Mafao.
Hebu tujiulize; anaishije na familia yake?