mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Hakika kuna Mzee kanisimulia na kunionyesha Nyaraka zake jinsi anavyohangaika na kulipwa Mafao yake baada ya Kustaafu July 2018.
Mzee huyo anadai Mafao yake Mfuko wa PSSSF Kitengo cha Wastaafu waliokuwa Serikali Kuu.Mzee huyo ameenda Dodoma mara 2 bila mafanikio .
Nakuomba Mkurugenzi wa PSSSF hebu Wasaidie Wazee hawa Wanasumbuliwa na Watendaji wako kuambiwa tunashughulikia njoo kesho.
Mzee huyo anadai Mafao yake Mfuko wa PSSSF Kitengo cha Wastaafu waliokuwa Serikali Kuu.Mzee huyo ameenda Dodoma mara 2 bila mafanikio .
Nakuomba Mkurugenzi wa PSSSF hebu Wasaidie Wazee hawa Wanasumbuliwa na Watendaji wako kuambiwa tunashughulikia njoo kesho.