Huu Muziki wa Kijeshi wa China siyo mchezo: China sasa hivi siyo ya kuchezewa wako fiti

Daah angalau kidogo mkuu wewe umejadili kwa hoja zenye mashiko yani umu ndani kuna watu wana maajabu mno yani wanapenda sana kuleta mambo ambayo hayapo yani unailinganisha USA na CHINA kijeshi daaaj maajabu haya yani CHINA na RUSSIA zikiunganisha budget zao za kijeshi bado haziifiikiii ata nusu ya budget ya jeshi la USA alafu leo hii mtu from no where yani anakuja tu anaanza kuongea ongea mambo ambayo hayaeleweki ipendeni CHINA lakini ongeeni ukweli halisi na jinsi uhalisia wa no ulivyo!!
Kwan wakuu munahisi kuwa na bajet kubwa ya kijeshi ndio kunakufanya ue imara kwa nyanja za kijeshi

Ndege ya gharama kubwa ya kijeshi ya US iliangushwa na mfumo wa ulinzi wa IRAN ambayo katika masuala yake ya kijeshi bajeti ya ulinzi 2 wa US wanaweza wakailisha IRAN hata miaka elf 1 ila wakaonesha ukomavu kwenye nyanja ile


US Anaweza akawa anatumia gharama kubwa mnooo kwamasuala ya kijeshi ila akawa anatengeneza zana zakawaida sanaa ukilinganisha Na CHINA Mnayo Idharau
 
Umelishwa propaganda za CNN na Fox news wewe.

Nashangaa mauaji ya kidhalimu ya kuiba resources za watu duniani unaita ni Nationalism. kwa hiyo wewe watu milioni moja waliouawa na Markani ili iibe wese kwako hao ni takataka tu?
Kuna watu wanakwamia wap cjui yaan kuua watu ndio utaifa


Utumwa ulisha isha ila sidhanii kama wa2mwa 2shaisha mkuu daah so sad
 
@zekokuyo,
kuna nchi tatu tu hapa dunia zenye missile early warning system,US,Russia,china,
-as for injini ya ndege china sikuhizi wanaunda wao wenyewe,
-mchina ana stealth plane na vilevile military chip anazo kiasi mpaka wamarekani hununua chip toka china kwa kuunda silaha zao
China hana high tech missile warning,ndio anasaidiwa na Russia kutengeneza. Hiyo mifumo kwa sasa ipo kwa nchi mbili tu Russia na USA.

https://www.google.com/amp/s/mobile.reuters.com/article/amp/idUSKBN1WI20E

Hizo J-20 zinatumia engine za Russia mpaka sasa China haijaweza kutengeneza engine zake
https://www.google.com/amp/s/amp.sc...tealth-fighter-engine-no-show-zhuhai-air-show

Mkuu chips gani hizo ambazo Marekani ananunua China?! Kwenye uundaji wa chips bora sidhani hata kama China imo!!!

Hivi kweli Marekani aweke chips za China kwenye silaha zake wakati simu za Huawei tu kazipiga marufuku kutumika kwenye kambi zake za jeshi
 
Msingi au backbone ya military power ya Marekani ni Navigation Satelittes.

Mchina ana tekinolojia ya kushusha satellite kwa makombora ya ardhini, amewahi kuishusha Satellite yake moja kwa mtindo huo mwaka 2007 marekani akang'aka kweli, akamaindi mno kuwa huyu jamaa kama ana uwezo wa kushusha sattelite kwa mtindo huo basi ipo siku anaweza akavuruga GPS system yake.

Kuhusu kuibiana tekinplojia, hilo ni jambo la kawaida, kwanza kuiba tekinolojia ya mwenzio nayo inahitaji utaalamu, siyo kazi rahisi
Hsta Marekani nayo alipata tekinolojia yake nyingi tu hususan maroketi kutoka kwa waNAZI wa ujerumani!
Hiyo Teknolojia ya kutungua satellite hata Israel tu anayo. India nae juzi alijaribu kombora lake la kutungua satellite,vilevile Russia na USA ndio magwiji kwenye hiyo tech.

Hivi kuna nchi kubwa ambayo haitegemei satellites kwenye jeshi lake?!
Marekani walishaliona hilo,unadhani kwanini wameanzisha kitengo kipya Cha jeshi Space force?!
 
Sasa kama anakopeshwa hela na mchina halafu anatumia hizo pesa kwenye jeshi nani mjanja hapo?.

Halafu kitu kingine ujue ni kwamba Mchina akiweka bajeti ya dola 10 basi mmarekani ataweka bajeti ya dola 50 kwa kitu kilekile, siyo kwa sababu cha mmarekani ni kizuri zaidi bali ni kwa sababu cost of production China ni cheap

Nyinyi hamuijui China vizuri, kuna vitu mchina anavyo Marekani hana mfano mmoja ni fast moving trains, yaani kama ile unayotoka beijing mpaka Shanghai kwa masaa matano tu.
Marekani hajakopa Ela China,Ila China ndo imenunua Deni la Marekani kwa njia ya bonds (sijui kiswahili chake) na wanaweza kuliuza vilevile. Na sio China tu hata Japan, Australia,Brazil,UK,Russia sema China ndo anamiliki sehemu kubwa akifatiwa na Japan.

Na China akiamua kudump hizo Treasury bonds kwa sasa yeye ndie atakaeumia zaidi japo na Marekani nayo itayumba.

Marekani wanatumia sana usafiri wa anga,sio treni.
 

Attachments

  • foreign-holders-of-us-debt-2c95.png
    foreign-holders-of-us-debt-2c95.png
    244 KB · Views: 15
Marekani hajakopa Ela China,Ila China ndo imenunua Deni la Marekani kwa njia ya bonds (sijui kiswahili chake) na wanaweza kuliuza vilevile. Na sio China tu hata Japan, Australia,Brazil,UK,Russia sema China ndo anamiliki sehemu kubwa akifatiwa na Japan.

Na China akiamua kudump hizo Treasury bonds kwa sasa yeye ndie atakaeumia zaidi japo na Marekani nayo itayumba.

Marekani wanatumia sana usafiri wa anga,sio treni.

Kwani wewe unavyoelewa huwa kuna njia ngapi za nchi kukopa?

China haijanunua deni la marekani, na wala haiwezi kufanya upuuzi huo, China inanunua Treasury bills ikiwa kama namna ya Marekani kukopa kwa China
 
Hivi mi hua nawashangaaa sana ninyi ayo madude mnavo yapa sifa na kuyapamba utazan Uyo USA hana?
Na uzuri ni kua USA ame anza kucheza nayo since 1950's uko iyo tec anayo tumia Uncle Sam mnaona ipo stagnant ama?
Kwa taarfa yako tu ni kwamba USA ndo baba lao na hakuna mbwa yeyto mwenye uwezo wa kuipiga usa izo takataka na michuma chuma yenu hakuna kitu mbele ya USA anzisheni vita muone mtavo geuzwa majivu majivu


Pumb@ffffffffff
Naona unavichukulia poa hivyo vyombo

Hapo kuna Dongfeng-17 hizo ni hypersonic missiles, inaweza kupiga Aircrfat carrier yoyote ya Marekani hata zilizoko huko Guam, Kwa sasa Marekani hana bado hiyo kitu

Pia hapo kuna Dengfeng 41- Hiyo inaweza kwenda umbali wa km 12000 hadi 15000 na inabeba warheads 10 na kila moja inaweza kupiga target tofauti. Hiyo ni strategic missile ya kubeba vichwa vya nyukilia na inaweza kupiga target yoyote ndani ya Marekani.

Vita vya ardhini kwa sasa Mmarekani hatii mguu, sasa hivi China ana 5 generation Stealth aircraft zinazoitwa J-20 na yupo anatengeneza Aircraft carrier zake mdogomdogo.

Mpe miaka 10 tu mtamulewa!
 
Hivi mi hua nawashangaaa sana ninyi ayo madude mnavo yapa sifa na kuyapamba utazan Uyo USA hana?
Na uzuri ni kua USA ame anza kucheza nayo since 1950's uko iyo tec anayo tumia Uncle Sam mnaona ipo stagnant ama?
Kwa taarfa yako tu ni kwamba USA ndo baba lao na hakuna mbwa yeyto mwenye uwezo wa kuipiga usa izo takataka na michuma chuma yenu hakuna kitu mbele ya USA anzisheni vita muone mtavo geuzwa majivu majivu


Pumb@ffffffffff

Huyo Marekani wako unayemhusudu ashakutana na Mchina huko Korea miaka ya 50s

Marekani alikuwa amebakiza kilometa Chache tu aikamate Pyongyang.

Mchina alipoingilia kati tena bila ya kuwa na misilaha mikubwakubwa alimsogeza huyo Marekani kutoka Pyongyang kuelekea eneo ambalo leo ipo hiyo inayoitwa Demilitarized Zone (DMZ), Tena kama Marekani asingeomba po kupitia UN, Mchina na mshirika wake yaani North Korea walikuwa wanaelekea Seol fasta sana!.

Marekani na madudedude yake keshachezea kichapo huko Vietnam, Nenda kagoogle kitu kinachoitwa Tet Offensive Au katafute information jinsi wanajeshi wa Marekani na washirika wa marekani walivyokuwa wakikimbizana kama kuku pale wanaume wa Vietcong walipokuwa wanasonga kuelekea Saigon.

Hao wamarekani wako bila kwenda na allies zenye nguvu kubwa kijeshi kama vile Muingereza huwa hawana uhakika wa kushinda vita.

Hata huko Afghanistan, Huyo Marekani wako ameshindwa kuishinda Taleban, na Taleban wanashikilia eneo zaidi ya aslimia 70 ya nchi nzima, halafu unaleta habari za Marekani?
 
Umelishwa propaganda za CNN na Fox news wewe.

Nashangaa mauaji ya kidhalimu ya kuiba resources za watu duniani unaita ni Nationalism. kwa hiyo wewe watu milioni moja waliouawa na Markani ili iibe wese kwako hao ni takataka tu?

Mkuu

Naona umegeuka prophet na kuanza kupiga ramli eti naangalia Fox na CNN.

Good riddance!

Mkuu,nationalism is a danagerous concept kila mtu anajua hilo!

Ni kama wewe unaipenda Tanzania na serikali yake ya CCM mpaka mtu yeyote asie Mtanzania akiitukana mtataka kwenda kuivamia nchi yake!

Wewe kuitukana Kenya au kwenda kupiga vita na Uganda kutetea nchi yenu ni sawa ila USA ikienda kupiga nchi zingine kutetea maslahi na ustawi wake sio sawa!

Dunia nzima iache hii concept ya Nationalism tukitaka kutoa hili tatizo!

Ila kwako wewe nchi kubwa kuvamia nchi ndogo si sawa ila vinchi vyenu kuvamiana huko ni sawa!

USA ipo hapa duniani kwa ustawi wake kama ilivyo Tanzania hapa duniani kutetea ustawi wake!

USA wananchi wake ni first priority na wala sio wanadamu wengine!

Wanadamu wengine watauawa ili wanadamu wa USA wastawi,hicho ndicho inachofanya serikali ya USA!

Tanzania na China na ma-shithole yetu huku yanaua “raia” wake kabisa na wala sio raia wa nchi zingine!

Mnaua na kunyima hakia raia wenu wenyewe!

Nyie ndio tunawaita monkeys!
 
ICBM zote zina hypersonic speed!

Ili kuweza kuipiga carrier lazima upenye ulinzi wa meli vita nyingine zinazoisindikiza hyo carrier ambazo zina ulinzi dhidi ya makombora pia zina makombora ya kushambulia pia bila kusahau submarine ambazo pia hua zinaisindikiza hyo carrier.
Kumbuka mpaka sasa nchi zenye high tech missile warning systems ni USA & Russia mchina hana Teknolojia hiyo hvyo kombora linavyotoka China tu Marekani wana kua wanauezo wa kujibu haraka kuliko kombora litoke Marekani kwenda China,China watakuja kugundua likishatua ardhini.

Marekani ana makombora ya Trident ambayo ni SLBM yanabeba vichwa 8 vya nuclear,na ni vigumu kuyazuia sababu unakua hujui mahali ambapo nyambizi ilipo ukilinganisha na ballistic missiles za ardhini hao kina Dongfeng

Ndege za stealth mchina kacopy na kupaste toka F-22 na F-35 hata ukizitizama kwa macho tu ni ngumu sana kuona tofauti. Sio Ndege tu hata Reaper drone mchina kacopy katoa yake.
Hizo J-20 za mchina mpaka leo hazijaanza kazi pia hazina engine za fifth generation fighter zinatumia engine za warusi, ni target ya heat seeking missiles.

Mpaka sasa hakuna nchi ya kuishinda Marekani kwenye convectional warfare na kwenye nuclear hakuna nchi zinazifikia Russia & Marekani, labda tungoje miaka hiyo ijayo.

Umeongea kitalaan sana..
 
Mchina hayuko salama hata kidogo, vita ni mipango, Mchina ameshazungukwa kabla hata ya vita yenyewe haijaanza..

Hongkon na Taiwan tayari ni kaa la moto kwa Mchina..

Japan, South Korea, na eneo lote la bahari eneo hilo tayari USA ana vikosi vyake..

Kwa hali ilivyo tayari inaonyesha Mchina ameshapaki basi tayari..
 
ICBM zote zina hypersonic speed!

Ili kuweza kuipiga carrier lazima upenye ulinzi wa meli vita nyingine zinazoisindikiza hyo carrier ambazo zina ulinzi dhidi ya makombora pia zina makombora ya kushambulia pia bila kusahau submarine ambazo pia hua zinaisindikiza hyo carrier.
Kumbuka mpaka sasa nchi zenye high tech missile warning systems ni USA & Russia mchina hana Teknolojia hiyo hvyo kombora linavyotoka China tu Marekani wana kua wanauezo wa kujibu haraka kuliko kombora litoke Marekani kwenda China,China watakuja kugundua likishatua ardhini.

Marekani ana makombora ya Trident ambayo ni SLBM yanabeba vichwa 8 vya nuclear,na ni vigumu kuyazuia sababu unakua hujui mahali ambapo nyambizi ilipo ukilinganisha na ballistic missiles za ardhini hao kina Dongfeng

Ndege za stealth mchina kacopy na kupaste toka F-22 na F-35 hata ukizitizama kwa macho tu ni ngumu sana kuona tofauti. Sio Ndege tu hata Reaper drone mchina kacopy katoa yake.
Hizo J-20 za mchina mpaka leo hazijaanza kazi pia hazina engine za fifth generation fighter zinatumia engine za warusi, ni target ya heat seeking missiles.

Mpaka sasa hakuna nchi ya kuishinda Marekani kwenye convectional warfare na kwenye nuclear hakuna nchi zinazifikia Russia & Marekani, labda tungoje miaka hiyo ijayo.
Hizo J 20 Mchina anazodai ni stealth fighter, Wahindi walisha prove kua walikua wanaziona na kuzi track kwenye radar za fighter zao ambazo ni SU 30 ya Russia. Kuna wakat io J 20 ilikua inafanya majaribio karibu na mpaka wa India, fighter pilot wa Jeshi la India aliweza kuiona na ku track kwenye Radar, yan kama ni vitan angeweza kuitungua coz SU 30 ina electronic warfare system ya kisasa sana.
 
Hizo J 20 Mchina anazodai ni stealth fighter, Wahindi walisha prove kua walikua wanaziona na kuzi track kwenye radar za fighter zao ambazo ni SU 30 ya Russia. Kuna wakat io J 20 ilikua inafanya majaribio karibu na mpaka wa India, fighter pilot wa Jeshi la India aliweza kuiona na ku track kwenye Radar, yan kama ni vitan angeweza kuitungua coz SU 30 ina electronic warfare system ya kisasa sana.

Wahindi ni mahasimu wa wachina, na wamewahi kupigana vita fupi na wachina kugombea mpaka, wahindi walichakazwa vibaya sana. Kwa hiyo mhindi kumponda mchina siyo ajabu.

Pili hizo unazoita ni Stealth Jet za mmarekani moja imewahi hudunguliwa kiulaini tu huko Yugoslavia, Wajanja wakapeleka mabaki Kwenye ubalozi wa China ili china ikaifanyie reverse engineering, Marekani akajifanya kupiga ubalozi wa China huko Yugoslavia. Kwa hiyo siyo kweli kuwa Stealth Jet za Marekani ni invinsible
 
Wahindi ni mahasimu wa wachina, na wamewahi kupigana vita fupi na wachina kugombea mpaka, wahindi walichakazwa vibaya sana. Kwa hiyo mhindi kumponda mchina siyo ajabu.

Pili hizo unazoita ni Stealth Jet za mmarekani moja imewahi hudunguliwa kiulaini tu huko Yugoslavia, Wajanja wakapeleka mabaki Kwenye ubalozi wa China ili china ikaifanyie reverse engineering, Marekani akajifanya kupiga ubalozi wa China huko Yugoslavia. Kwa hiyo siyo kweli kuwa Stealth Jet za Marekani ni invinsible
Iliyotunguliwa ni F 117 Night Hawk ambayo stealth yako cyo kubwa. Pili wakt inatunguliwa yule fighter pilot aliyetungua anasema alikua anafanya patrol akaion coz ilipita karb na yeye kwaio akaamua kuifukuzia aka itungua
 
Hiyo miaka kumi marekani atakuwa wap.
Naona unavichukulia poa hivyo vyombo

Hapo kuna Dongfeng-17 hizo ni hypersonic missiles, inaweza kupiga Aircrfat carrier yoyote ya Marekani hata zilizoko huko Guam, Kwa sasa Marekani hana bado hiyo kitu

Pia hapo kuna Dengfeng 41- Hiyo inaweza kwenda umbali wa km 12000 hadi 15000 na inabeba warheads 10 na kila moja inaweza kupiga target tofauti. Hiyo ni strategic missile ya kubeba vichwa vya nyukilia na inaweza kupiga target yoyote ndani ya Marekani.

Vita vya ardhini kwa sasa Mmarekani hatii mguu, sasa hivi China ana 5 generation Stealth aircraft zinazoitwa J-20 na yupo anatengeneza Aircraft carrier zake mdogomdogo.

Mpe miaka 10 tu mtamulewa!
 
Iliyotunguliwa ni F 117 Night Hawk ambayo stealth yako cyo kubwa. Pili wakt inatunguliwa yule fighter pilot aliyetungua anasema alikua anafanya patrol akaion coz ilipita karb na yeye kwaio akaamua kuifukuzia aka itungua
Du! wabongo uwa awakosi majibu.iyo stealth ilitunguliwa na mfumo wa kujilinda sasa habari ya pilot kumfukuzia imetoka wapi?

Sent from my itel S33 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom