Huu Muziki wa Kijeshi wa China siyo mchezo: China sasa hivi siyo ya kuchezewa wako fiti

Wa kawaida sana, ukilinganisha na wababe wenzake kama USA na RUSIA... ila kwetu huku huo ni mziki haswaaa ... ambao hatuwezi kuucheza



Huwa nawashangaa sana wabongo mnavyowadharau wachina, sio katika bidhaa au vifaa vya kijeshi!!! Marekani ana kitu gani anatengeneza ambacho mchina hatengenezi? Lakini kuna vitu mchina anamake marekani hatengenezi....Mchina yuko juu bwana! Nyie wabongo endeleeni kunywa kahawa na kashata! Haya mambo hamuyajui
 
Huwa nawashangaa sana wabongo mnavyowadharau wachina, sio katika bidhaa au vifaa vya kijeshi!!! Marekani ana kitu gani anatengeneza ambacho mchina hatengenezi? Lakini kuna vitu mchina anamake marekani hatengenezi....Mchina yuko juu bwana! Nyie wabongo endeleeni kunywa kahawa na kashata! Haya mambo hamuyajui
Mchina hatengezi engine za Ndege anacopy,Marekani anatengeza zake.

Mchina hatengenezi chips zinazotumika kwenye super computer,wanatumia za kutoka kampuni za Marekani,Intel nk.

Mchina hana missile warning systems, Marekani anazo za kwake na anatengeza mwenyewe.

Mchina hana stealth bombers, Marekani anazo.
 
Ilichukua marekani miaka 300 kuwa hivi ilivyo tena kwa kufanya udhalimu mkubwa kama vile biashara ya utumwa, kuua wahindi wwkundu mamilioni, kupiga nchi nyingine kuiba resources, lakini China haijafanya udhalimu kama huo,

imewachukua wachina miaka 70 tu (japo ni taifa kongwe duniani, hata misri nao ni taifa kongwe pia lakini hawana kitu)
Wape wachina miaka mingine 20 uone shughuli yake

Hao unaowaita wavimba macho wamekujengea reli ya TAZARA na walikusaidia mno kwenye vita ya Kagera


Si ajabu hata chupi, Pad na sidiria wanatumia za mchina alafu wanakuja kumpa promo marekani.
 
Ilichukua marekani miaka 300 kuwa hivi ilivyo tena kwa kufanya udhalimu mkubwa kama vile biashara ya utumwa, kuua wahindi wwkundu mamilioni, kupiga nchi nyingine kuiba resources, lakini China haijafanya udhalimu kama huo,

imewachukua wachina miaka 70 tu (japo ni taifa kongwe duniani, hata misri nao ni taifa kongwe pia lakini hawana kitu)
Wape wachina miaka mingine 20 uone shughuli yake

Hao unaowaita wavimba macho wamekujengea reli ya TAZARA na walikusaidia mno kwenye vita ya Kagera
Wachina wajanja wajanja tu ndo maana mpaka leo kule WTO hawataki kutambulika kama nchi iliyoendelea wanalia wanataka waendelee kutambulika kama nchi inayoendelea ili waendelee kuwanyonya wengine na kutajirika kupitia wengine.

Bora unyonyaji wa mzungu kuliko mchina,huyu mchina ukishindwa kulipa madeni anakwapua rasilimali zako muhimu, miundombinu muhimu kama vile bandari nk. Hapo bado ukimpa tenda anataka mpaka mchanga utoke China ndo maana katika vitu nlichomkubali Magufuli ni kutowapa ule mradi wa reli na kuwapa waturuki. Wale sio watu. Ndo maana sasa hivi nchi nyingi zimeshtuka kuhusiana na miradi yao ikiwemo Pakistan ambae ni mshirika wake, wanapitia upya miradi yao upya ya BRI. Hapo hatujaigusa Malaysia,nk

Wachina hawataki kufungua masoko yao kwa kampuni za kigeni lakini wakienda kwenye nchi za watu kama Marekani,Ulaya nk wanataka masoko yao. Wanafungia kampuni za kigeni kuogopa ushindani kama Google, Facebook, Netflix nk lakini wao Huawei kupigwa ban tu wanalalamika.
Kiufupi China ni tapeli,na sasa nchi zimeshaamka,wanataka mabadiliko yafanyike WTO ili China iachane na utapeli wake
 
ICBM zote zina hypersonic speed!

Ili kuweza kuipiga carrier lazima upenye ulinzi wa meli vita nyingine zinazoisindikiza hyo carrier ambazo zina ulinzi dhidi ya makombora pia zina makombora ya kushambulia pia bila kusahau submarine ambazo pia hua zinaisindikiza hyo carrier.
Kumbuka mpaka sasa nchi zenye high tech missile warning systems ni USA & Russia mchina hana Teknolojia hiyo hvyo kombora linavyotoka China tu Marekani wana kua wanauezo wa kujibu haraka kuliko kombora litoke Marekani kwenda China,China watakuja kugundua likishatua ardhini.

Marekani ana makombora ya Trident ambayo ni SLBM yanabeba vichwa 8 vya nuclear,na ni vigumu kuyazuia sababu unakua hujui mahali ambapo nyambizi ilipo ukilinganisha na ballistic missiles za ardhini hao kina Dongfeng

Ndege za stealth mchina kacopy na kupaste toka F-22 na F-35 hata ukizitizama kwa macho tu ni ngumu sana kuona tofauti. Sio Ndege tu hata Reaper drone mchina kacopy katoa yake.
Hizo J-20 za mchina mpaka leo hazijaanza kazi pia hazina engine za fifth generation fighter zinatumia engine za warusi, ni target ya heat seeking missiles.

Mpaka sasa hakuna nchi ya kuishinda Marekani kwenye convectional warfare na kwenye nuclear hakuna nchi zinazifikia Russia & Marekani, labda tungoje miaka hiyo ijayo.
Umeandika vzr lkn kimahaba kwa marekani.
 
@zekokuyo,
kuna nchi tatu tu hapa dunia zenye missile early warning system,US,Russia,china,
-as for injini ya ndege china sikuhizi wanaunda wao wenyewe,
-mchina ana stealth plane na vilevile military chip anazo kiasi mpaka wamarekani hununua chip toka china kwa kuunda silaha zao
 
ICBM zote zina hypersonic speed!

Ili kuweza kuipiga carrier lazima upenye ulinzi wa meli vita nyingine zinazoisindikiza hyo carrier ambazo zina ulinzi dhidi ya makombora pia zina makombora ya kushambulia pia bila kusahau submarine ambazo pia hua zinaisindikiza hyo carrier.
Kumbuka mpaka sasa nchi zenye high tech missile warning systems ni USA & Russia mchina hana Teknolojia hiyo hvyo kombora linavyotoka China tu Marekani wana kua wanauezo wa kujibu haraka kuliko kombora litoke Marekani kwenda China,China watakuja kugundua likishatua ardhini.

Marekani ana makombora ya Trident ambayo ni SLBM yanabeba vichwa 8 vya nuclear,na ni vigumu kuyazuia sababu unakua hujui mahali ambapo nyambizi ilipo ukilinganisha na ballistic missiles za ardhini hao kina Dongfeng

Ndege za stealth mchina kacopy na kupaste toka F-22 na F-35 hata ukizitizama kwa macho tu ni ngumu sana kuona tofauti. Sio Ndege tu hata Reaper drone mchina kacopy katoa yake.
Hizo J-20 za mchina mpaka leo hazijaanza kazi pia hazina engine za fifth generation fighter zinatumia engine za warusi, ni target ya heat seeking missiles.

Mpaka sasa hakuna nchi ya kuishinda Marekani kwenye convectional warfare na kwenye nuclear hakuna nchi zinazifikia Russia & Marekani, labda tungoje miaka hiyo ijayo.

Msingi au backbone ya military power ya Marekani ni Navigation Satelittes.

Mchina ana tekinolojia ya kushusha satellite kwa makombora ya ardhini, amewahi kuishusha Satellite yake moja kwa mtindo huo mwaka 2007 marekani akang'aka kweli, akamaindi mno kuwa huyu jamaa kama ana uwezo wa kushusha sattelite kwa mtindo huo basi ipo siku anaweza akavuruga GPS system yake.

Kuhusu kuibiana tekinplojia, hilo ni jambo la kawaida, kwanza kuiba tekinolojia ya mwenzio nayo inahitaji utaalamu, siyo kazi rahisi
Hsta Marekani nayo alipata tekinolojia yake nyingi tu hususan maroketi kutoka kwa waNAZI wa ujerumani!
 
Huwa nawashangaa sana wabongo mnavyowadharau wachina, sio katika bidhaa au vifaa vya kijeshi!!! Marekani ana kitu gani anatengeneza ambacho mchina hatengenezi? Lakini kuna vitu mchina anamake marekani hatengenezi....Mchina yuko juu bwana! Nyie wabongo endeleeni kunywa kahawa na kashata! Haya mambo hamuyajui

Umesoma post yangu huku unakunya nini 😳😳😳.... nimeweka wazi kabisa hapo kwa kumjumuisha CHINA , USA na RUSIA kuwa ni wababe ( wapo kwenye ligue moja hao ).. ila nikasema mchina na sie huku hatuwezi mziko wake hata kidogo... ni wapi hapo ambapo nime mmbeza mchina ? Kwa ufupi ikitokea vita ya USA na CHINA ... vita itakuwa kali na yenye maumivu pande zote ila mchina atachezea kichapo, maana marekani ana ushawishi mkubwa zaidi, ndio maana yeye anapiga watu vikwazo, ila huwezi sikia nchi zingine zina muwekea marekani vikwazo.. upo hapoooo....
 
USA budget yao ya jeshi ni 600s billion $

China wapo na 250B $

Wachina wako vzr ila bado wana distance ndefu kumfikia mmarekani

Sasa kama anakopeshwa hela na mchina halafu anatumia hizo pesa kwenye jeshi nani mjanja hapo?.

Halafu kitu kingine ujue ni kwamba Mchina akiweka bajeti ya dola 10 basi mmarekani ataweka bajeti ya dola 50 kwa kitu kilekile, siyo kwa sababu cha mmarekani ni kizuri zaidi bali ni kwa sababu cost of production China ni cheap

Nyinyi hamuijui China vizuri, kuna vitu mchina anavyo Marekani hana mfano mmoja ni fast moving trains, yaani kama ile unayotoka beijing mpaka Shanghai kwa masaa matano tu.
 
ICBM zote zina hypersonic speed!

Ili kuweza kuipiga carrier lazima upenye ulinzi wa meli vita nyingine zinazoisindikiza hyo carrier ambazo zina ulinzi dhidi ya makombora pia zina makombora ya kushambulia pia bila kusahau submarine ambazo pia hua zinaisindikiza hyo carrier.
Kumbuka mpaka sasa nchi zenye high tech missile warning systems ni USA & Russia mchina hana Teknolojia hiyo hvyo kombora linavyotoka China tu Marekani wana kua wanauezo wa kujibu haraka kuliko kombora litoke Marekani kwenda China,China watakuja kugundua likishatua ardhini.

Marekani ana makombora ya Trident ambayo ni SLBM yanabeba vichwa 8 vya nuclear,na ni vigumu kuyazuia sababu unakua hujui mahali ambapo nyambizi ilipo ukilinganisha na ballistic missiles za ardhini hao kina Dongfeng

Ndege za stealth mchina kacopy na kupaste toka F-22 na F-35 hata ukizitizama kwa macho tu ni ngumu sana kuona tofauti. Sio Ndege tu hata Reaper drone mchina kacopy katoa yake.
Hizo J-20 za mchina mpaka leo hazijaanza kazi pia hazina engine za fifth generation fighter zinatumia engine za warusi, ni target ya heat seeking missiles.

Mpaka sasa hakuna nchi ya kuishinda Marekani kwenye convectional warfare na kwenye nuclear hakuna nchi zinazifikia Russia & Marekani, labda tungoje miaka hiyo ijayo.
Daah angalau kidogo mkuu wewe umejadili kwa hoja zenye mashiko yani umu ndani kuna watu wana maajabu mno yani wanapenda sana kuleta mambo ambayo hayapo yani unailinganisha USA na CHINA kijeshi daaaj maajabu haya yani CHINA na RUSSIA zikiunganisha budget zao za kijeshi bado haziifiikiii ata nusu ya budget ya jeshi la USA alafu leo hii mtu from no where yani anakuja tu anaanza kuongea ongea mambo ambayo hayaeleweki ipendeni CHINA lakini ongeeni ukweli halisi na jinsi uhalisia wa no ulivyo!!
 
@zekokuyo,
kuna nchi tatu tu hapa dunia zenye missile early warning system,US,Russia,china,
-as for injini ya ndege china sikuhizi wanaunda wao wenyewe,
-mchina ana stealth plane na vilevile military chip anazo kiasi mpaka wamarekani hununua chip toka china kwa kuunda silaha zao
ushahidi with vivid ya kwamba China anazo missile early warning system pls usisahau kutupia na link
 
US ni baba wa haki za binadamu kwa watu wake!

Wana uphold the rule of law na human rights!

Usifananishe USA na uchafu wewe!

Ndio maana wanadamu wote wanapenda kuhamia America to pursue their American dream maana ni trully American values!

Sio hizi uchafu zetu huku!

hakuna ubaguzi dhidi ya blacks huko?
Hakuna whites priviledge huko?
 
In the last 50 years Marekani kaua watu wengi zaidi duniani kuliko mchina
Kaua watu milion Iraki
Kaua watu zaidi ya Milioni Vietnam kwa vita bogus
Kaua watu kibao wasio na hatia Afghanistan
Huko Marekani Black people bado wanabaguliwa kimya kimya, rejea mashambulizi ya mapolisi dhidi yao!

Hiyo USA unayoihusudu ni biggest violator wa haki za kuishi za watu duniani

Mzee every govt is inherently evil!

On this planet,only nation anyone can go and become anything ni only United States of America!

Halafu elewa,America ina uphold misingi yote ya haki na kila kitu kwa Wamarekani tu,sio wanadamu wa mataifa mengine!

Hivyo wanavyoenda kuua mataifa mengine huko,kwa concept ya American Nationalism ni sawa!

Atleast USA ina treat raia wake kwa haki zote!

Kuhusu Weusi kubaguliwa na kuuawa na askari polisi sababu unazijua na chanzo chake unakijua,serikali kama serikali haihusiki wala haina sera za ubaguzi kama system ya oppression!

Wananchi binafsi kubaguana ipo na serikali haihusiki!

USA ndio the only country anyone from anywhere can be anything!
 
Mzee every govt is inherently evil!

On this planet,only nation anyone can go and become anything ni only United States of America!

Halafu elewa,America ina uphold misingi yote ya haki na kila kitu kwa Wamarekani tu,sio wanadamu wa mataifa mengine!

Hivyo wanavyoenda kuua mataifa mengine huko,kwa concept ya American Nationalism ni sawa!

Atleast USA ina treat raia wake kwa haki zote!

Kuhusu Weusi kubaguliwa na kuuawa na askari polisi sababu unazijua na chanzo chake unakijua,serikali kama serikali haihusiki wala haina sera za ubaguzi kama system ya oppression!

Wananchi binafsi kubaguana ipo na serikali haihusiki!

USA ndio the only country anyone from anywhere can be anything!

Umelishwa propaganda za CNN na Fox news wewe.

Nashangaa mauaji ya kidhalimu ya kuiba resources za watu duniani unaita ni Nationalism. kwa hiyo wewe watu milioni moja waliouawa na Markani ili iibe wese kwako hao ni takataka tu?
 
Kwaiyo kipindi mchina anapiga Marekani atakuwa amelala ? China bado hajafikia uwezo wa Marekani bado.. isipokuwa USA na CHINA vita ikitokea hao watapigana, ila mchina atapigwa, nae Marekani atashinda ila hali yake kiuchumi itakuwa mbaya..... hizo 5 generation kwani anazo peke yake ? Even USA anayo madude ya kupiga bara to bara
Mmarekani anazo hadi zile zinazo angushwa na muajemi au jamaa hajui nn
 
Sema chief una mahaba kweli yani alafu pia una chuki na kwa mantiki hiu ni ngumu wewe kujadili hoja rationally sababu mara zote maneno yako yanaakisi chuki uliyonayo dhidi ya USA na mahaba uliyonayo kwa wachina, mfano umesema wachina wapewe miaka mingine 20 watakuwa wamempita USA swali ni je USA yeye atakuwa amesimama au yeye ataacha harakati zake za kuendelea kujijenga? Jibu ni hapana kama china anavyojijenga uku akiota na kutamabi kuwa kama USA, basi na USA mwenyewe halali wala hapumzik,i anapambana ili siku zote aendelee kuwa wa kwanza, ivyo izo unazosema wewe ni ndoto ambazo haziakisi uhalisia wa mambo ulivyo.
Jamaa wala hajasema kwa chuki kwa US kasema ukweli m2pu

Kwan miaka hamsini nyuma china haikuepo na US haikuepo na hazikua zinafanya harakati zao zakimaendeleo kama kawaida ?!

Katika miaka hio tajwa hapo juu CHINA Kapiga hatua kiasi chakua Nyuma Ya US kwa hatua Moja Maana Baada ya US Anafuatia CHINA Interm Of ECONOMY Ss chuki za jamaa ziko wapi ?!

Unaweza ukawa unakimbia ila ukapitwa sababu anaekukimbiza anambio zaidi yako
 
Back
Top Bottom