OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,066
Aaah mataifa rafiki kwenda ni Japan,UK,France n.k n.k na haya mataifa hayana ubaguzi.Pamoja na ypte nayo China bado sio nchi rafiki kwa kuishi kule ...unaeza kura unakosa mtu wakuongea Naye ni Mara kumi ustay zako tu America kuliko China...
Marekani bado ni first priority kwa raia wengi kwenda kuishi kule, kwa nini wasiende uko china, ata wewe mtoa mada na uhakika una mzuka sana wa kwenda apo USA.
Wenye hela ni minority,mimi nazungumzia majority ambao milo mitatu ni kazi,roof is leaking,mshahara haufiki mwisho wa mwezi etc,etcWewe unataka ukashangae Magorofa?
Bongo kama una hela ni patamu kuliko New York.
Wewe unataka ukashangae Magorofa?
Bongo kama una hela ni patamu kuliko New York.
Aaahgh Barca mwenzangu unaniaibishaa..Kweli kabisa, Bongo ukiwa na hela patam sana, hutamani kwenda popote pale...
Labda China aise ..USA Kila mwaka wanatoa nafasi zaid ya 50k kwa kupitia loterry green card kwa raia yeyote kwenda kuishi na kufanya kazi uko ..hii huduma hupati popote ni USA tu..Aaah mataifa rafiki kwenda ni Japan,UK,France n.k n.k na haya mataifa hayana ubaguzi.
China haina utofauti na USA kote usipokuwa bepari ama mtu mwenye fedha utataabika na segragation zote.
Wenye hela ni minority,mimi nazungumzia majority ambao milo mitatu ni kazi,roof is leaking,mshahara haufiki mwisho wa mwezi etc,etc
WEWE bana,sasa majuu mlinzi wa nini? housegirl wa nini?,dereva wa nini? Hayo mambo yalikuwa yanafanyika miaka 100 iliyopita-Bongo maendeleo yakija hayo mambo tutaachana nayoBongo ukiwa na hela za kawaida tu
unaweza kuajiri mlinzi(mmasai) , Housigeli, dereva wa kukuendesha, shamba boy.
Hivyo vitu ukiwa Marekani labda uwe na pesa ndefu ndefu mno ndo unaweza kuwa navyo
Aaahgh Barca mwenzangu unaniaibishaa..
WEWE bana,sasa majuu mlinzi wa nini? housegirl wa nini?,dereva wa nini? Hayo mambo yalikuwa yanafanyika miaka 100 iliyopita-Bongo maendeleo yakija hayo mambo tutaachana nayo
Hata huko walinzi wanao, kama vile bodyguards, chaffeur (driver), maidens ( wafanyakazi wa ndani), Lakini wenye kuwa nao hao ni watu wenye hela ndefu sana, huwezi kuwa na hela yako ya kubeba boksi ukaweza kuafford kuwa nao hao
Mmmmh bro hii ni kamba.WEWE bana,sasa majuu mlinzi wa nini? housegirl wa nini?,dereva wa nini? Hayo mambo yalikuwa yanafanyika miaka 100 iliyopita-Bongo maendeleo yakija hayo mambo tutaachana nayo
MuongoMimi Passport ya bongo inantosha mkuu ukiwa bongo unaweza kumiliki ardhi maheka na maheka ukapiga kilimo, ufugaji, ukajenga kijumba chako cha gorofa kadhaa.
SASA HEBU KAJARIBU KUWA NAVYO HIVYO VITU UKIWA CHINA AU MAREKANI UONE KAMA UTAWEZA
WANAKUELEWA ila sema movie za kina Sylvesta Stallone,Anold Shwarznnneager na Jean Claude Van Damme zimewaingia sana mioyoni mwao.Huyo Marekani wako unayemhusudu ashakutana na Mchina huko Korea miaka ya 50s
Marekani alikuwa amebakiza kilometa Chache tu aikamate Pyongyang.
Mchina alipoingilia kati tena bila ya kuwa na misilaha mikubwakubwa alimsogeza huyo Marekani kutoka Pyongyang kuelekea eneo ambalo leo ipo hiyo inayoitwa Demilitarized Zone (DMZ), Tena kama Marekani asingeomba po kupitia UN, Mchina na mshirika wake yaani North Korea walikuwa wanaelekea Seol fasta sana!.
Marekani na madudedude yake keshachezea kichapo huko Vietnam, Nenda kagoogle kitu kinachoitwa Tet Offensive Au katafute information jinsi wanajeshi wa Marekani na washirika wa marekani walivyokuwa wakikimbizana kama kuku pale wanaume wa Vietcong walipokuwa wanasonga kuelekea Saigon.
Hao wamarekani wako bila kwenda na allies zenye nguvu kubwa kijeshi kama vile Muingereza huwa hawana uhakika wa kushinda vita.
Hata huko Afghanistan, Huyo Marekani wako ameshindwa kuishinda Taleban, na Taleban wanashikilia eneo zaidi ya aslimia 70 ya nchi nzima, halafu unaleta habari za Marekani?
Hehehehehe ww bwege sana umeongea ukweli kinyamaaaaaWANAKUELEWA ila sema movie za kina Sylvesta Stallone,Anold Shwarznnneager na Jean Claude Van Damme zimewaingia sana mioyoni mwao.
Una uhakika gani hawana??Mchina hatengezi engine za Ndege anacopy,Marekani anatengeza zake.
Mchina hatengenezi chips zinazotumika kwenye super computer,wanatumia za kutoka kampuni za Marekani,Intel nk.
Mchina hana missile warning systems, Marekani anazo za kwake na anatengeza mwenyewe.
Mchina hana stealth bombers, Marekani anazo.
Nisamehe mkuu, huu mtazamo wa kuua watu wasio wa taifa lako kwa manufaa ya watu wako, ni wa kishenzi. Pili, Marekani ni taifa ambalo raia wake wanauawa sana na bado mfumo wao wa haki ni mbovu sana. Marekani karibu kila siku watu 100 wanakufa kwa kupigwa Risasi, na still they walk free. Lile ni taifa la kibepari. Mnyonge kule, nobody cares for you.Mzee every govt is inherently evil!
On this planet,only nation anyone can go and become anything ni only United States of America!
Halafu elewa,America ina uphold misingi yote ya haki na kila kitu kwa Wamarekani tu,sio wanadamu wa mataifa mengine!
Hivyo wanavyoenda kuua mataifa mengine huko,kwa concept ya American Nationalism ni sawa!
Atleast USA ina treat raia wake kwa haki zote!
Kuhusu Weusi kubaguliwa na kuuawa na askari polisi sababu unazijua na chanzo chake unakijua,serikali kama serikali haihusiki wala haina sera za ubaguzi kama system ya oppression!
Wananchi binafsi kubaguana ipo na serikali haihusiki!
USA ndio the only country anyone from anywhere can be anything!