OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,106
- 24,042
Pamoja na ypte nayo China bado sio nchi rafiki kwa kuishi kule ...unaeza kura unakosa mtu wakuongea Naye ni Mara kumi ustay zako tu America kuliko China...
Marekani bado ni first priority kwa raia wengi kwenda kuishi kule, kwa nini wasiende uko china, ata wewe mtoa mada na uhakika una mzuka sana wa kwenda apo USA.
Marekani bado ni first priority kwa raia wengi kwenda kuishi kule, kwa nini wasiende uko china, ata wewe mtoa mada na uhakika una mzuka sana wa kwenda apo USA.