Huu mpira wa bongo bana

Ukikubali kwamba aligusana na beki za Simba akiwa ametoka kwenye offside position na kufanya obstruction kwa Rushine ndio kuingilia mpira huko hivyo goli alilofunga sio halali.
Obstruction alifanya refa kumzuia Doumbia kufunga goli la pili akipuliza filimbi filimbi bila sababu yoyote ili Simba isiendelee kupokea kipigo kizito.
Obstruction zingine zilifanyikaga kule Tanga katika fainali ya Ngao ya Jamii kwa refa kumruhusu Ally Salim kuwa Anatoka kwenye line na kudaka penalty za Yanga uku aki ibuka shujaa na tulipo hojii tukaambiwa malalamiko yetu tuyapeleke Tff.
 
soma sheria za offside acha kukurupuka pecome alikuwa offside
Picha inatakiwa ionekana ikiwa mpiga mpira ndio ana release mpira kutoka kwenye mguu wake. Kuweka picha ambayo mpira ambao upo halfway unatukosea sana.
 
VAR sio sheria ya mpira ni watu tu kama wewe wanaongalia replay, Pacome alimu interfere nani? Wakati mpira ulipopigwa na Mzize maxi alikuwa onside position. Pacome alisimama pale pale mabeki na maxi walimpita akiwa amesimama pale ulitaka akimbilie wapii? Alipocheza mpira goli kipa tayari ile offside ya Pacome ikafa. Kwahiyo goli halali
 

View: https://www.instagram.com/reel/DOq_oR0DWPY/?igsh=enFrNTFjdm5ramJj
 
Endeleeni hivyo hivyo na ujinga wenu
 
pacome amemblock de rouk kwenye njia ambapo alikuwa anaenda kumkaba max so apo inatafsiliwa pacome amenufaika na ile offside aliokuwepo
 
Reactions: Tui
pacome amemblock de rouk kwenye njia ambapo alikuwa anaenda kumkaba max so apo inatafsiliwa pacome amenufaika na ile offside aliokuwepo
First touch ya Maxi inaua nafasi ya awali aliyopo Pacome. Mbona mnakuwa wagumu kuelewa mambo mepesi hivyo? Angalia hili goli la Messi utaelewa.
 

Attachments

  • XumMnSpmfnsmV_Dg.mp4
    475.4 KB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…