Huu mjadala wa CV za viongozi hauna tija kwa sasa kwa sababu viongozi wa upinzani ndio wenye CV mbovu sana

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,978
141,995
Ghafla pameibuka mijadala ya CV za Viongozi na namna walivyopata Vyeti vyao vya Elimu mfano Joshua Nassary n.k

Niseme tu huu Mjadala hauna Tija yoyote kwa sababu Viongozi wote wa Upinzani CV zao ni za kuungaunga lakini bado Wanafanya vizuri kwenye ustawishaji wa Taifa hili.

Angalia kwa mfano Tundu Lisu na Zitto Kabwe hawa Serikali iliwasomesha Vipaji maalumu lakini bado wanatangatanga tu hawana PhD ila Mchango wao kwenye Ujenzi wa Taifa kisiasa ni mkubwa tu.

Waangalie Mbowe au Augustine Mrema rip walisoma shule za kawaida sana na waliishia kwenye Diploma tu lakini Mchango wao kwenye Ujenzi wa Taifa ni mkubwa MNO.

Tuachane na haya maCV bhana, hasa wewe Boniyai 😂

Mungu wa Mbinguni awabariki
 
Una tija mkuu kuepusha viongozi wenye CV za ujanja ujanja. Kma una kadiploma we sema tu nina diploma. Ukidanganya elimu unadanganya mengi.

Matendo maovu madogo madogo ndio yanayosababisha maovu makubwa.

Mtoto huanza kwa kudokoa mboga mboga na mia mia home kabla ya kuwa kibaka wa kuiba boda boda.
 
Ghafla pameibuka mijadala ya CV za Viongozi na namna walivyopata Vyeti vyao vya Elimu mfano Joshua Nassary nk

Niseme tu huu Mjadala hauna Tija yoyote kwa sababu Viongozi wote wa Upinzani CV zao ni za kuungaunga lakini bado Wanafanya vizuri kwenye ustawishaji wa Taifa hili

Angalia kwa mfano Tundu Lisu na Zitto Kabwe hawa Serikali iliwasomesha Vipaji maalumu lakini bado wanatangatanga tu hawana PhD ila Mchango wao kwenye Ujenzi wa Taifa kisiasa ni mkubwa tu

Waangalie Mbowe au Augustine Mrema rip walisoma shule za kawaida sana na waliishia kwenye Diploma tu lakini Mchango wao kwenye Ujenzi wa Taifa ni mkubwa MNO

Tuachane na haya maCV bhana, hasa wewe Boniyai 😂

Mungu wa Mbinguni awabariki
Ndiyo sababu nchi hii ujambazi na utapeli wa kiasiasa hautakoma kama CCM wataendekeza vilaza kuwaongoza!
 
Kwa hiyo unataka kusema kwamba kwa kuwa wapinzani nao Wana CV mbovu, basi watu wasijadili CV za Viongozi wa Serikali waliopo madarakani???
Au unamaanisha nini???
Dunia ya sasa Elimu iko Kiganjani, Watu Wana maarifa ya kutosha

Dunia imegundua haya maCV yanafanya Watu wawe wabishi badala ya kutekeleza namna Cheti alichokaririshwa kinavyotaka

Ndio sasa akina Elon musk wanakuja na ubongo wa bandia
 
Una tija mkuu kuepusha viongozi wenye CV za ujanja ujanja. Kma una kadiploma we sema tu nina diploma. Ukidanganya elimu unadanganya mengi.

Matendo maovu madogo madogo ndio yanayosababisha maovu makubwa.

Mtoto huanza kwa kudokoa mboga mboga na mia mia home kabla ya kuwa kibaka wa kuiba boda boda
Kama Sumaye na Diploma yake ya Kilimo!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Ghafla pameibuka mijadala ya CV za Viongozi na namna walivyopata Vyeti vyao vya Elimu mfano Joshua Nassary nk

Niseme tu huu Mjadala hauna Tija yoyote kwa sababu Viongozi wote wa Upinzani CV zao ni za kuungaunga lakini bado Wanafanya vizuri kwenye ustawishaji wa Taifa hili

Angalia kwa mfano Tundu Lisu na Zitto Kabwe hawa Serikali iliwasomesha Vipaji maalumu lakini bado wanatangatanga tu hawana PhD ila Mchango wao kwenye Ujenzi wa Taifa kisiasa ni mkubwa tu

Waangalie Mbowe au Augustine Mrema rip walisoma shule za kawaida sana na waliishia kwenye Diploma tu lakini Mchango wao kwenye Ujenzi wa Taifa ni mkubwa MNO

Tuachane na haya maCV bhana, hasa wewe Boniyai 😂

Mungu wa Mbinguni awabariki
Viongozi wengi, elimu zao ni za kuunga unga kama mnyoro wa baiskeli..
 
Ghafla pameibuka mijadala ya CV za Viongozi na namna walivyopata Vyeti vyao vya Elimu mfano Joshua Nassary nk

Niseme tu huu Mjadala hauna Tija yoyote kwa sababu Viongozi wote wa Upinzani CV zao ni za kuungaunga lakini bado Wanafanya vizuri kwenye ustawishaji wa Taifa hili

Angalia kwa mfano Tundu Lisu na Zitto Kabwe hawa Serikali iliwasomesha Vipaji maalumu lakini bado wanatangatanga tu hawana PhD ila Mchango wao kwenye Ujenzi wa Taifa kisiasa ni mkubwa tu

Waangalie Mbowe au Augustine Mrema rip walisoma shule za kawaida sana na waliishia kwenye Diploma tu lakini Mchango wao kwenye Ujenzi wa Taifa ni mkubwa MNO

Tuachane na haya maCV bhana, hasa wewe Boniyai 😂

Mungu wa Mbinguni awabariki
Nassari(CCM) ni mkuu wa wilaya na mchango wa Nape ni goli la mkono.
 
Ghafla pameibuka mijadala ya CV za Viongozi na namna walivyopata Vyeti vyao vya Elimu mfano Joshua Nassary nk

Niseme tu huu Mjadala hauna Tija yoyote kwa sababu Viongozi wote wa Upinzani CV zao ni za kuungaunga lakini bado Wanafanya vizuri kwenye ustawishaji wa Taifa hili

Angalia kwa mfano Tundu Lisu na Zitto Kabwe hawa Serikali iliwasomesha Vipaji maalumu lakini bado wanatangatanga tu hawana PhD ila Mchango wao kwenye Ujenzi wa Taifa kisiasa ni mkubwa tu

Waangalie Mbowe au Augustine Mrema rip walisoma shule za kawaida sana na waliishia kwenye Diploma tu lakini Mchango wao kwenye Ujenzi wa Taifa ni mkubwa MNO

Tuachane na haya maCV bhana, hasa wewe Boniyai

Mungu wa Mbinguni awabariki
Haya macv si ndo anayoyaponda msukuma kuwa hayana chochote
 
Na akawa waziri mkui fresh wala hakuna aliyemmaindi

Enzi za Sumaye, waalimu wengi tu walikuwa wa UPE, form four au darasa la 12 kwa enzi zao bado alionekana ni msomi na kazi inamfuata darasani.

Nyakati zimebadilika na mahitaji yamebadilika japo sioni mantiki ya kuwakandia sana na wakati kigezo cha ubunge ni kusoma na kuandika
 
Ghafla pameibuka mijadala ya CV za Viongozi na namna walivyopata Vyeti vyao vya Elimu mfano Joshua Nassary nk

Niseme tu huu Mjadala hauna Tija yoyote kwa sababu Viongozi wote wa Upinzani CV zao ni za kuungaunga lakini bado Wanafanya vizuri kwenye ustawishaji wa Taifa hili

Angalia kwa mfano Tundu Lisu na Zitto Kabwe hawa Serikali iliwasomesha Vipaji maalumu lakini bado wanatangatanga tu hawana PhD ila Mchango wao kwenye Ujenzi wa Taifa kisiasa ni mkubwa tu

Waangalie Mbowe au Augustine Mrema rip walisoma shule za kawaida sana na waliishia kwenye Diploma tu lakini Mchango wao kwenye Ujenzi wa Taifa ni mkubwa MNO

Tuachane na haya maCV bhana, hasa wewe Boniyai 😂

Mungu wa Mbinguni awabariki
Hoja siyo hicho unachokiandika wewe , hoja ni udanganyifu
 
enzi za Sumaye, waalimu wengi tu walikuwa wa UPE, form four au darasa la 12 kwa enzi zao bado alionekana ni msomi na kazi inamfuata darasani.

Nyakati zimebadilika na mahitaji yamebadilika japo sioni mantiki ya kuwakandia sana na wakati kigezo cha ubunge ni kusoma na kuandika
Ndio hivyo hakuna haja ya kudanganya kuwa proud kama msukuma na darasa la saba lake
 
Una tija mkuu kuepusha viongozi wenye CV za ujanja ujanja. Kma una kadiploma we sema tu nina diploma. Ukidanganya elimu unadanganya mengi.

Matendo maovu madogo madogo ndio yanayosababisha maovu makubwa.

Mtoto huanza kwa kudokoa mboga mboga na mia mia home kabla ya kuwa kibaka wa kuiba boda boda
Uovu wa taifa huanzia kwenye umoja wa kuiba kura.
Hakuna jambo baya kwa jamii zaidi ya mamlaka ya kiimla.
Mwizi hana ujasiri wa kumkaripia mwizi mwenzie ila wakubaliane kubadilishana vitengo kwa nia ya kulinda siri ya umoja wao wa wizi kuvuja.
Ni kama vile kwa upande wa kiroho shetani hana mamlaka ya kumtoa shetani mwenzie zaidi ya kumtuliza kwa zawadi ya kafara.
Ujasiri wa kiongozi shujaa unaanzia kwenye nafsi isiyoshtakiwa kwa matendo ya haki na unyoofu wa moyo bila makandokando .
Ukiona kiongozi shujaa asiye mtenda haki lazima awe dikteta atakae lipia uovu wake akiwa bado hai au hata baada ya kufa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Viongozi wengi, elimu zao ni za kuunga unga kama mnyoro wa baiskeli..
Sio viongozi watu zamani walikuwa na elimu za mashaka sana ,haswa weny pesa kuna mtu alisoma kibaha shule ya vipaji ila hakuwa na ufaulu wa kipaji kisa baba ake alikuwa na pesa .

Na kuna mtu aliingia BOT akiwa na vyeti vya kawaida walikuwa wanapeana vyeo na elimu za uwiz.

Kuna kiongozi mama ake alikuwa mtu mzito ,akanunua jina mwanae asome sekondari.

Kuna maprofessor wafeli la saba wananunua majina leo hii wanaropoka.

Sign ya kwanza kuwagundua wale wezi wa elimu mwanzoni 👉wengi walienda kusoma degree nje na masters ...Huwezi kuelewa kwa nn walienda kusoma nje .
 
Back
Top Bottom