1. Walianza na kuidorora dunia kwa covid
2. Sasa ni Ukraine na Taiwan
Ukiangalia player mkuu hapa ni USA.
Huyu jamaa kuna jambo analitafuta si kawaida. Sasa ni dhahiri kuna mpango mkuu unaoendelea ambao sisi watu wa kawaida hatuelewi ila wakubwa wanaelewa.
Hii michezo USA ana uzoefu nayo miaka mingi sana.. hata Ukwasi wake ni kutokana na michezo kama hii
Keshafanya haya kwenye WW1 na WW2, keshafanya kwenye kunyongonyeza eastern hemisphere na middle east
Na kote huku anafanikiwa...
Lengo lake kwa muongo huu sjui ni nini ila kiukwel hali hii inadororesha sana uchumi wa nchi zetu hizi kapuku.
"Shaban kaoneka, shaban kaoneka, shaban kaoneka"
"Mandonga mtu kaazi naongea"
2. Sasa ni Ukraine na Taiwan
Ukiangalia player mkuu hapa ni USA.
Huyu jamaa kuna jambo analitafuta si kawaida. Sasa ni dhahiri kuna mpango mkuu unaoendelea ambao sisi watu wa kawaida hatuelewi ila wakubwa wanaelewa.
Hii michezo USA ana uzoefu nayo miaka mingi sana.. hata Ukwasi wake ni kutokana na michezo kama hii
Keshafanya haya kwenye WW1 na WW2, keshafanya kwenye kunyongonyeza eastern hemisphere na middle east
Na kote huku anafanikiwa...
Lengo lake kwa muongo huu sjui ni nini ila kiukwel hali hii inadororesha sana uchumi wa nchi zetu hizi kapuku.
"Shaban kaoneka, shaban kaoneka, shaban kaoneka"
"Mandonga mtu kaazi naongea"