‘Hustle’ yako ya kwanza ulilipwa Shilingi ngapi?

‘Hustle’ yako ya kwanza ulilipwa Shilingi ngapi?

allowance ya elfu 30 kwa mwezi na ilikua inatosha kabisa.
 
Mimi Nilianza kulipwa 49,000/= per month .... Up to now 500,000/= per month ...
 
elfu ishirini kwa siku tatu..
Kulisha mbwa wa mizengo pinda
 
kumbe humu tunakaha na watu wanamiliki pesa mbaya ***** ila kuandika vizuri ni tatizo kwao
 
Milion 800 nikadhulumiwa zote.. hela za deal ya petrol..

Deal ya pili nilifoji doc nikapewa tender ya ujenzi wa daraja kama injinia kumbe nimeishia form 4 na ziro nzuri tu.. Nikapewa hela na gari na dereva wa kuniendesha nikapiga zangu Mil 50..
 
Back
Top Bottom