‘Hustle’ yako ya kwanza ulilipwa Shilingi ngapi?

‘Hustle’ yako ya kwanza ulilipwa Shilingi ngapi?

270,000 kama teacher wa advance mathematics, vipindi 4 kwa wiki. Hii nilidumu nayo kwa miezi minne. Kisha nikapata safari kama research assistant kwa Prof mmoja wa SUA. 400,000 kwa wiki. Baada ya hapo nikapata permanent Job .....
 
Nililipwa laki tatu na nusu na elfu tano ya nauli kila siku. Cha ajabu kazi zilizofuata zilikuwa zinalingana au chini ya hapo
 
180,000/= ukitoa makato ya NSSF inabakia 162,000/=[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na hyo ni kwa mwezi!!
 
laki 1, ila dili za kanjanja inaenda hadi laki 5-7
 
Elfu thelathini kwa siku, kula na kulala free.. kwa miezi minne
 
elfu 8 per day,saidia fundi.tulikua tunajenga nyumba ya ghorofa ya kibopa flani hivi kule moshi. so sisi tukawa ndo wabeba zege..hiyo ilikua 2009.
 
Milion 800 nikadhulumiwa zote.. hela za deal ya petrol..

Deal ya pili nilifoji doc nikapewa tender ya ujenzi wa daraja kama injinia kumbe nimeishia form 4 na ziro nzuri tu.. Nikapewa hela na gari na dereva wa kuniendesha nikapiga zangu Mil 50..
 
6500 ndio ilikuwa ni kazi yangu ya kwanza ofisini kwangu
 
Back
Top Bottom