270,000 kama teacher wa advance mathematics, vipindi 4 kwa wiki. Hii nilidumu nayo kwa miezi minne. Kisha nikapata safari kama research assistant kwa Prof mmoja wa SUA. 400,000 kwa wiki. Baada ya hapo nikapata permanent Job .....
Milion 800 nikadhulumiwa zote.. hela za deal ya petrol..
Deal ya pili nilifoji doc nikapewa tender ya ujenzi wa daraja kama injinia kumbe nimeishia form 4 na ziro nzuri tu.. Nikapewa hela na gari na dereva wa kuniendesha nikapiga zangu Mil 50..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.