Hussen Bashe, muasi ndani ya CCM(?)

Hussen Bashe, muasi ndani ya CCM(?)

mkuu hakuna uhusiano wa kutoa msaada kwenye jamii na uongozi...

Nakubaliana nawe..lakini kama mtu ameonesha mfano mzuri kama kuwasaidia watu kupata mishahara minono,kasaidia vijana mitaji,kasaidia watu ada...basi huo ni mfano tosha kwamba anapenda watu na sio mchoyo kwa kile kidogo anachopata...hasa tukikumbuka kwamba mbunge ni mtumishi wa wananchi na sio kiongozi wa wananchi..ni mwakilishi wao..
 
Ila wengi wanalia kwa uongozi uliopita yaan wabunge wa nzega now wanaiman na Bashe kuliko unavyofikiri,,! "yaweza aweze"
 
Ila wengi wanalia kwa uongozi uliopita yaan wabunge wa nzega now wanaiman na Bashe kuliko unavyofikiri,,! "yaweza aweze"

Yaani hakuna mwenye nguvu za Tsunami kama Bashe.... Tarehe moja watu watashuhudia, atashinda kwa zaidi ya asilimia 98....

Wananchi wa Nzega uwaambii chochote au lolote kuhusu Bashe, wanakupiga mawe...
 
Hivi kweli unajua sheria za nchi ??????.

Bashe alikumbwa na tatizo la uraia mwaka 2010 akatakiwa na uhamiaji kuomba uraia kitu ambacho alifanya hivyo.Sheria ipo wazi ukipewa uraia utatakiwa kikaa miaka 10 ndio ushiriki siasa.Therefore Bashe atatakiwa kwa mujibu wa sheria kusubiri hadi mwaka 2020 ndio ajiingize kwenye siasa kama sheria inavyoelekeza.

Ni wazi Bashe ana uraia wa Tanzania kuanzia mwaka 2010 ana fursa za kushiriki katika maendelea ya nchi katika nyanja nyingine.Wazi wa kukata majina wapo Dodoma wanamsubiri akiingiza kichwa wanakata akivuka kigingi cha mwanzo wapinzani wana taarifa zake za kina wanamgoja akinusa wanamfanyizia mapema.

bashe akishinda kura za maoni huko nzega ajiandae kukatwa dodoma kama lowasa...
 
Nakubaliana nawe..lakini kama mtu ameonesha mfano mzuri kama kuwasaidia watu kupata mishahara minono,kasaidia vijana mitaji,kasaidia watu ada...basi huo ni mfano tosha kwamba anapenda watu na sio mchoyo kwa kile kidogo anachopata...hasa tukikumbuka kwamba mbunge ni mtumishi wa wananchi na sio kiongozi wa wananchi..ni mwakilishi wao..

utumishi sio kusaidia watu..katafute ujue kazi za mwakilishi na kiongozi ni zipi, tucpoteze muda hapa kwa jambo dogo km hili.
 
Nakubaliana nawe..lakini kama mtu ameonesha mfano mzuri kama kuwasaidia watu kupata mishahara minono,kasaidia vijana mitaji,kasaidia watu ada...basi huo ni mfano tosha kwamba anapenda watu na sio mchoyo kwa kile kidogo anachopata...hasa tukikumbuka kwamba mbunge ni mtumishi wa wananchi na sio kiongozi wa wananchi..ni mwakilishi wao..

hivo ni vigezo vya ziada huwezi ukavitumia kama sababu za kuomba uongozi. raia yoyote anaweza kutoa msaada pale inapohitajika....
 
Hivi kweli unajua sheria za nchi ??????.

Bashe alikumbwa na tatizo la uraia mwaka 2010 akatakiwa na uhamiaji kuomba uraia kitu ambacho alifanya hivyo.Sheria ipo wazi ukipewa uraia utatakiwa kikaa miaka 10 ndio ushiriki siasa.Therefore Bashe atatakiwa kwa mujibu wa sheria kusubiri hadi mwaka 2020 ndio ajiingize kwenye siasa kama sheria inavyoelekeza.

Ni wazi Bashe ana uraia wa Tanzania kuanzia mwaka 2010 ana fursa za kushiriki katika maendelea ya nchi katika nyanja nyingine.Wazi wa kukata majina wapo Dodoma wanamsubiri akiingiza kichwa wanakata akivuka kigingi cha mwanzo wapinzani wana taarifa zake za kina wanamgoja akinusa wanamfanyizia mapema.

Bashe ana uraia wa kuzaliwa (refer maelezo ya Masha, wakati huo ni waziri wa wizara husika).... Pamoja na ya kamishna wa uhamiaji....
 
Hivi kweli unajua sheria za nchi ??????.

Bashe alikumbwa na tatizo la uraia mwaka 2010 akatakiwa na uhamiaji kuomba uraia kitu ambacho alifanya hivyo.Sheria ipo wazi ukipewa uraia utatakiwa kikaa miaka 10 ndio ushiriki siasa.Therefore Bashe atatakiwa kwa mujibu wa sheria kusubiri hadi mwaka 2020 ndio ajiingize kwenye siasa kama sheria inavyoelekeza.



Ni wazi Bashe ana uraia wa Tanzania kuanzia mwaka 2010 ana fursa za kushiriki katika maendelea ya nchi katika nyanja nyingine.Wazi wa kukata majina wapo Dodoma wanamsubiri akiingiza kichwa wanakata akivuka kigingi cha mwanzo wapinzani wana taarifa zake za kina wanamgoja akinusa wanamfanyizia mapema.
usingewaambia wajinga hawa..wanajua kusoma na kuandika lakin hawajui kufikiri an kutafsiri..na hata kukumbuka yaliyopita.
 
Yaani hakuna mwenye nguvu za Tsunami kama Bashe.... Tarehe moja watu watashuhudia, atashinda kwa zaidi ya asilimia 98....

Wananchi wa Nzega uwaambii chochote au lolote kuhusu Bashe, wanakupiga mawe...

hayo usemayo ni kweli. ila mwisho wake nzega....
 
Na wewr ni mfanyakazi?kama sio tutolee pumba hizi gamba wewe.
 
Angekuwa anajikomba leo hii angekuwa na cheo kikubwa sana ndani ya serikali hii. Ila kutokana na msimamo wake hasa kwa Edward alijikuta akifanyiwa mizengwe ya kila namna katika maisha yake ya uongozi na hata familia....

Angekuwa anajikomba wala asingethubutu kutofautiana na mtoto wa namba 1. Ambaye katumia muda wake mwingi kumuwekea mizengwe katika maisha yake ya siasa kuanzia kwenye ubunge mpaka U Nec..

Ila bashe ni hatari...ujue kuwa na ugomvi na mtoto wa namba 1 sio mchezo kabisa....hii ni kweli hajikombi hata kidogo...wanaojikomba ni wale walioutafuta ukuu wa wilaya kwa kumfunga kamba za viatu riz....
 
Yaani hakuna mwenye nguvu za Tsunami kama Bashe.... Tarehe moja watu watashuhudia, atashinda kwa zaidi ya asilimia 98....

Wananchi wa Nzega uwaambii chochote au lolote kuhusu Bashe, wanakupiga mawe...
Peleka huko siasa za ujinga na ushabiki wa vijiweni, hapa si mahali pake..huyo aliekusanya wadhamini zaidi ya wale aliotakiwa ameishia wapi? hivi unajua hata unachoandika wewe!
 
Hivi kweli unajua sheria za nchi ??????.

Bashe alikumbwa na tatizo la uraia mwaka 2010 akatakiwa na uhamiaji kuomba uraia kitu ambacho alifanya hivyo.Sheria ipo wazi ukipewa uraia utatakiwa kikaa miaka 10 ndio ushiriki siasa.Therefore Bashe atatakiwa kwa mujibu wa sheria kusubiri hadi mwaka 2020 ndio ajiingize kwenye siasa kama sheria inavyoelekeza.

Ni wazi Bashe ana uraia wa Tanzania kuanzia mwaka 2010 ana fursa za kushiriki katika maendelea ya nchi katika nyanja nyingine.Wazi wa kukata majina wapo Dodoma wanamsubiri akiingiza kichwa wanakata akivuka kigingi cha mwanzo wapinzani wana taarifa zake za kina wanamgoja akinusa wanamfanyizia mapema.

uliyosema ni yaleyale niliyosema. huyu mtu ataishia kwenye kura za maoni tu.
 
utumishi sio kusaidia watu..katafute ujue kazi za mwakilishi na kiongozi ni zipi, tucpoteze muda hapa kwa jambo dogo km hili.

Mi nimekushangaa pale uliposema kama anasaidia watu akafanye red Cross... dah..
 
Peleka huko siasa za ujinga na ushabiki wa vijiweni, hapa si mahali pake..huyo aliekusanya wadhamini zaidi ya wale aliotakiwa ameishia wapi? hivi unajua hata unachoandika wewe!

Tuvute subira tarehe 1.8.2015 sio mbali..... Akipata chini ya asilimia 98 naleft JF milele.....
 
Peleka huko siasa za ujinga na ushabiki wa vijiweni, hapa si mahali pake..huyo aliekusanya wadhamini zaidi ya wale aliotakiwa ameishia wapi? hivi unajua hata unachoandika wewe!

mkuu yale yaliyomtokea lowasa yatatokea pia kwa bashe..
 
Ila bashe ni hatari...ujue kuwa na ugomvi na mtoto wa namba 1 sio mchezo kabisa....hii ni kweli hajikombi hata kidogo...wanaojikomba ni wale walioutafuta ukuu wa wilaya kwa kumfunga kamba za viatu riz....

Kabisa...... Ni ujasiri wa hali ya juu..... Wale wote waliojikomba kwa mtoto wa Namba 1 leo hii wanakula neema.... Kama Bashe angetaka hizo neema angezila sana.....
 
Back
Top Bottom