Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,032
- 2,769
Huyu ndio Hussein bashe ,akilitaka lake lazima liwe! Na asipolitaka lako halitakuwa ,huyu ndio bashe! Anapenda kutunisha misuli hata mahali pasipohitaji misuli ,kiongozi asiyetaka kuhojiwa na yeyote isipokuwa rais na makamu wa rais .
kwa maana hiyo hata waliompigia kura hawana ubavu wa kumhoji ,Wala kutaka ufafanuzi wa jambo lolote isipokuwa rais na makamu wa rais .anajaribu kuvaa ngozi ya nungunungu na kujificha nyuma ya rais .viongozi wa aina hii sio tu wana kiburi Bali huwa natabia za ufisadi mkubwa ! Kiongozi yeyote anaejiwekea ukuta kama huu wa Hussein bashe mara zote huwa hawakosi kuwa na makandokando mengi ana miradi mingi ameianzisha mingi kati ya hiyo Ina dhana za kufikirika na upigaji !kwa mfano huo mpango wa kuandaa vijana kuwaweka kambi Dodoma !
Na kutumia mamilioni ya pesa kwa watu 400 tu au miatano ,hayo mabilioni yangepelekwa kwa wakulima vijijini wakakopeshwa hata matrejta madogo ya kulimia ni vijiji vingapi vingenufaika? Hiyo kambi inatumia ghalama za serikali yaani ni kilimo Cha bording hakiwezi kuleta matokeo yoyote katika nchi hii ,hapo uwekezaji ule na pesa yote iliyowekezwa pale haitarudi kabisa! Imepotea! Itarudije kwa kulimia hekari Moja ya hoho na nyanya? Na huku wakulima wanaishi kambini?
Juzi ametoa utaratibu mpya wa wananchi kuwasiliana nae ,anataka wananchi au wakulima waiscani wasapu yake ili waweze kuwasiliana ,hapa napo Kuna shida ni wakulima wangapi Wana smartphone? Kwa nini asiiweke namba yake kama wanavyofanya wengine! Wakulima waanze kuscan ndio wawasiliane na wewe unawapa bando? Hebu acha kujiweka ndani ya chupa mwisho utakosa hewa !
Oscar kambona alikuwa kipenzi Cha mwalimu Nyerere ,alikuwa rafiki kweli kweli wa mwalimu ,lakini yeye Oscar alichaguwa njia ya kutokusikiliza wengine Bali kujisikiliza mwenyewe, Leo Hussein hataki kuhojiwa hata na viongozi wa chama chake anatutumua Misuli ,ninani mwajiri mkuu wa Hussein?
Ni serikali au ni chama? Chama kinawajibu wa kuibana serikali na kuisimamia kwanini anaona viongozi wa chama hawana hadhi ila serikali? Chama kikiamua kumvua uanachama serikali itampata wapi?
Hussein anaheshimu meno na kudharau fizi zilizobeba meno yenyewe! Chama Cha ccm msikibali mtu awaone viongozi wa chama hawana hadhi
kwa maana hiyo hata waliompigia kura hawana ubavu wa kumhoji ,Wala kutaka ufafanuzi wa jambo lolote isipokuwa rais na makamu wa rais .anajaribu kuvaa ngozi ya nungunungu na kujificha nyuma ya rais .viongozi wa aina hii sio tu wana kiburi Bali huwa natabia za ufisadi mkubwa ! Kiongozi yeyote anaejiwekea ukuta kama huu wa Hussein bashe mara zote huwa hawakosi kuwa na makandokando mengi ana miradi mingi ameianzisha mingi kati ya hiyo Ina dhana za kufikirika na upigaji !kwa mfano huo mpango wa kuandaa vijana kuwaweka kambi Dodoma !
Na kutumia mamilioni ya pesa kwa watu 400 tu au miatano ,hayo mabilioni yangepelekwa kwa wakulima vijijini wakakopeshwa hata matrejta madogo ya kulimia ni vijiji vingapi vingenufaika? Hiyo kambi inatumia ghalama za serikali yaani ni kilimo Cha bording hakiwezi kuleta matokeo yoyote katika nchi hii ,hapo uwekezaji ule na pesa yote iliyowekezwa pale haitarudi kabisa! Imepotea! Itarudije kwa kulimia hekari Moja ya hoho na nyanya? Na huku wakulima wanaishi kambini?
Juzi ametoa utaratibu mpya wa wananchi kuwasiliana nae ,anataka wananchi au wakulima waiscani wasapu yake ili waweze kuwasiliana ,hapa napo Kuna shida ni wakulima wangapi Wana smartphone? Kwa nini asiiweke namba yake kama wanavyofanya wengine! Wakulima waanze kuscan ndio wawasiliane na wewe unawapa bando? Hebu acha kujiweka ndani ya chupa mwisho utakosa hewa !
Oscar kambona alikuwa kipenzi Cha mwalimu Nyerere ,alikuwa rafiki kweli kweli wa mwalimu ,lakini yeye Oscar alichaguwa njia ya kutokusikiliza wengine Bali kujisikiliza mwenyewe, Leo Hussein hataki kuhojiwa hata na viongozi wa chama chake anatutumua Misuli ,ninani mwajiri mkuu wa Hussein?
Ni serikali au ni chama? Chama kinawajibu wa kuibana serikali na kuisimamia kwanini anaona viongozi wa chama hawana hadhi ila serikali? Chama kikiamua kumvua uanachama serikali itampata wapi?
Hussein anaheshimu meno na kudharau fizi zilizobeba meno yenyewe! Chama Cha ccm msikibali mtu awaone viongozi wa chama hawana hadhi