Mjumbe wa Mkutano Mkuu Taifa CCM,na Mjumbe wa Kamati ya Siasa Wilaya ya Nzega,Hussein Mohamed Bashe, amesema kwamba yeye haitumiki na LOWASSA kama ambavyo imekua ikisemekana!
Akijibu swali aliloulizwa,ktk Kipindi kiitwacho MEDANI ZA SIASA na UCHUMI,kinachorushwa na kituo cha Start tv, alisema kwamba yeye hatumiki na Mh,LOWASSA bali yeye binafsi anaamini ktk Mitazamo na Fikra za LOWASSA ndio maana watu wanatafsiri hivyo!
Aliulizwa pia kwamba 2015 utafanyika Uchaguzi Mkuu, je anadhani ni Kiongozi gani anafaa kuwaongoza Watanzania? Akijibu alisema kwamba Watanzania wanamtaka mtu ambae atasimamia kile anacho kiamini na hata ukimtazama usoni na anachokisema utagundua ni kweli!
Mtangazaji anamuuliza, kuna Majina yanatajwa na kwamba hata ukimuuliza Mtoto mdogo anayajua! Mf, Mh,Bernard Membe, Mh Samwel Sitta, Mh, John Magufuli Mh, Edward LOWASSA, nk, je yeye ktk hao ni yupi anaona kwamba anafaa?
Akijibu alisema kwa Mh, LOWASSA ndie anaefaa na kwamba lazima CCM wafanye Uchaguzi wa ndani wa kumpata Mgombea kwa Uhuru na Haki ili kumpata mgombea anaekubalika na Watanzania wote, haswa Vijana kwa kua Uchaguzi ujao kutakua na ongezeko la Vijana Watakao jiandikisha zaidi ya Milioni 6. Na mtu huyo sio mwingine isipokua Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh Edward LOWASSA!
Source: Start tv Medani za Siasa na Uchumi!
Akijibu swali aliloulizwa,ktk Kipindi kiitwacho MEDANI ZA SIASA na UCHUMI,kinachorushwa na kituo cha Start tv, alisema kwamba yeye hatumiki na Mh,LOWASSA bali yeye binafsi anaamini ktk Mitazamo na Fikra za LOWASSA ndio maana watu wanatafsiri hivyo!
Aliulizwa pia kwamba 2015 utafanyika Uchaguzi Mkuu, je anadhani ni Kiongozi gani anafaa kuwaongoza Watanzania? Akijibu alisema kwamba Watanzania wanamtaka mtu ambae atasimamia kile anacho kiamini na hata ukimtazama usoni na anachokisema utagundua ni kweli!
Mtangazaji anamuuliza, kuna Majina yanatajwa na kwamba hata ukimuuliza Mtoto mdogo anayajua! Mf, Mh,Bernard Membe, Mh Samwel Sitta, Mh, John Magufuli Mh, Edward LOWASSA, nk, je yeye ktk hao ni yupi anaona kwamba anafaa?
Akijibu alisema kwa Mh, LOWASSA ndie anaefaa na kwamba lazima CCM wafanye Uchaguzi wa ndani wa kumpata Mgombea kwa Uhuru na Haki ili kumpata mgombea anaekubalika na Watanzania wote, haswa Vijana kwa kua Uchaguzi ujao kutakua na ongezeko la Vijana Watakao jiandikisha zaidi ya Milioni 6. Na mtu huyo sio mwingine isipokua Waziri Mkuu mstaafu na Mbunge wa Monduli Mh Edward LOWASSA!
Source: Start tv Medani za Siasa na Uchumi!