Hussein Bashe: Ninaamini Mitazamo na Fikra za Lowassa!

Hussein Bashe: Ninaamini Mitazamo na Fikra za Lowassa!

It is too late kumzuia Edward Lowassa kuingia pale Magogoni. Anahesabu miezi tu sasa. Wasiompenda waanze kutafuta maneno ya kujifariji.
 
Halafu we mbona ndio umejunga leo? Umetumwa au ni utashi wako umekuleta jamvini au hii ndio ID yako ya tano hapa JF?
Anyway ngoja nisikushambulie niende moja kwa moja kuishambulia hoja uliyoiwasilisha.

Kwa sababu kama Mungu angehesabu maovu hakuna ambaye angesimama; Lowassa an aweza kutubu kwa waTanzania na akasamehewa na kuendelea kutoa sadaka za shukrani. Ila namshauri kama atatubu ahame CCM aende hata CHADEMA maana kama atajuwa msafi kama theluji baada ya Toba nadhani watampokea tu maana hata baadhi ya wana CHADEMA walikuwa na dhambi za kisiasa kama ambazo jamii yetu inaona kuwa Lowassa anazo.
Nadhani huna Mamlaka kuniuliza kwamba mbona nimejiunga leo,na Nimeileta hii habari!
Je sio kweli Bashe kasema hivyo! Na kama nimejiunga Leo sina haki kuchangia au Kupost Topic hapa JF! Nadhani ungejikita kwenye Hoja iliyoko Mezani na sio kuchunguza nani kajiunga jana au juzi na ni nani kajiunga 2006!!

Huna tofauti na Viongozi wa CCM ambao kukaa ktk madaraka kwa muda mrefu wanachukulia kwamba wao tu ndio wenye haki ya kuongoza,nchi na wengine hawana!
Unataka kusema kwamba kuwa kwako humu kwa muda mrefu ni kwamba wewe Unajuwa zaidi kuliko wanaojiunga leo au kesho?? Shame on you!!

You never know,kwamba humu nimekua labda kwa muda mrefu either kuliko hata wewe Gamba!! labda tu nimeamua kubadili Id!!

CCM HAIKUBALIKI TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA!!
 
Watu wa ajabu sana,unapochagua mahututi dhidi ya ahueni
 
Mwikimbi kumbe nawewe umeliona hilo? Yani watanzania sijui wamepewa dawa gani na huyu jamaa na walivyo wajinga waliamua kumpa cheo eti waziri mkuu mstaafu badala ya waziri mwizi aliye jiuzulu.

Daaa katika hili naungana na Nape Nnauye kumpinga kwa nguvu zote lowasa hila mimi simuogopi kama nape anavyo muogopa na bila shaka akiona kauli hii ya bashe lazima pressure ipande!
Mimvi atakuwa na dawa huyu si bure!

lowasa ni kama ameloga watz, hivi hakuna mtu mwingine kati ya watanzania m44m ?
 
Last edited by a moderator:
Huo utafiti ameufanya wapi na kuona huyo mtu anapendwa na vijana?

-Vijana wasomi tujadili.platform zitakazotoa wagombea bora na sio watu.Tanzania imefikia hapa kutokana na matumaini kuwekwa nyuma ya watu

-Aliibuka mtu 2005 na kujitangaza kuwa mgombea kijana anayependwa na vijana na kilichotokea kila mtu anajua maana juzi mtu huyo ameishia kulalamika kwamba kuna misikiti 3 imefikia hatua ya kumsomea itikafu ili afe.

-Mwl.Nyerere alishakataa baadhi ya watu na kuwauliza walikotoa hizo mali walizonazo.Hawakujieleza kwa ufasaha na hadi leo hawajatoa majibu huku wakikwepa mijadala ya aina hiyo na kujielekeza makanisani ambako hawawezi kuulizwa maswali

-Watu wasio na ujasiri wa kutaja mali zao hata ukiwaangalia usoni hutaona kingine zaidi ya hila na wizi wizi tu

-Vijana wa taifa hili wengi waliathirika na hali mbaya uchumi iliyosababishwa na ukosefu wa nishati ya umeme hivyo viwanda vingi vikashindwa kuajiri wafanyakazi na kufanya vijana wawe jobless huku serikali ikikosa mapato na kishindwa kutoa huduma za kijamii kama shule na hospitali ambazo waathirika wakubwa ni vijana na akina mama.

-Huyo anayetaka urais alisimamia mchakato tata wa RICHMOND na amechangia kuumiza vijana wa taifa hili

Kama mkataba mmoja tena nyeti ameshindwa kuusimamia ataweza kusimamia mikatiba zaidi ya 100 baina ya Serikali na serikali,serikali na makampuni ya ndani na nje?

-Hakuna mgombea bora anayewafaa vijana atakayeyokana na chama chenye mfumo mbovu kama CCM

Vijana hatutaruhusu aingie ikulu mtu mwenye rekodi. inayotiliwa shaka katika wizi na hila

naunga mkono hoja Mh Ben.
 
Huo utafiti ameufanya wapi na kuona huyo mtu anapendwa na vijana?

-Vijana wasomi tujadili.platform zitakazotoa wagombea bora na sio watu.Tanzania imefikia hapa kutokana na matumaini kuwekwa nyuma ya watu

-Aliibuka mtu 2005 na kujitangaza kuwa mgombea kijana anayependwa na vijana na kilichotokea kila mtu anajua maana juzi mtu huyo ameishia kulalamika kwamba kuna misikiti 3 imefikia hatua ya kumsomea itikafu ili afe.

-Mwl.Nyerere alishakataa baadhi ya watu na kuwauliza walikotoa hizo mali walizonazo.Hawakujieleza kwa ufasaha na hadi leo hawajatoa majibu huku wakikwepa mijadala ya aina hiyo na kujielekeza makanisani ambako hawawezi kuulizwa maswali

-Watu wasio na ujasiri wa kutaja mali zao hata ukiwaangalia usoni hutaona kingine zaidi ya hila na wizi wizi tu

-Vijana wa taifa hili wengi waliathirika na hali mbaya uchumi iliyosababishwa na ukosefu wa nishati ya umeme hivyo viwanda vingi vikashindwa kuajiri wafanyakazi na kufanya vijana wawe jobless huku serikali ikikosa mapato na kishindwa kutoa huduma za kijamii kama shule na hospitali ambazo waathirika wakubwa ni vijana na akina mama.

-Huyo anayetaka urais alisimamia mchakato tata wa RICHMOND na amechangia kuumiza vijana wa taifa hili

Kama mkataba mmoja tena nyeti ameshindwa kuusimamia ataweza kusimamia mikatiba zaidi ya 100 baina ya Serikali na serikali,serikali na makampuni ya ndani na nje?

-Hakuna mgombea bora anayewafaa vijana atakayeyokana na chama chenye mfumo mbovu kama CCM

Vijana hatutaruhusu aingie ikulu mtu mwenye rekodi. inayotiliwa shaka katika wizi na hila
personally naipenda sana chadema!
ila mikiangalia jinsi mlivyojipanga kwa 2015, naona wote waliojitokeza hawafai, na wnaofaa hata hawaonekani..
EL ana rekodi yenye utata lakini pia anarekodi ya uongozi uliotukuka..
 
Huo utafiti ameufanya wapi na kuona huyo mtu anapendwa na vijana?

-Vijana wasomi tujadili.platform zitakazotoa wagombea bora na sio watu.Tanzania imefikia hapa kutokana na matumaini kuwekwa nyuma ya watu

-Aliibuka mtu 2005 na kujitangaza kuwa mgombea kijana anayependwa na vijana na kilichotokea kila mtu anajua maana juzi mtu huyo ameishia kulalamika kwamba kuna misikiti 3 imefikia hatua ya kumsomea itikafu ili afe.

-Mwl.Nyerere alishakataa baadhi ya watu na kuwauliza walikotoa hizo mali walizonazo.Hawakujieleza kwa ufasaha na hadi leo hawajatoa majibu huku wakikwepa mijadala ya aina hiyo na kujielekeza makanisani ambako hawawezi kuulizwa maswali

-Watu wasio na ujasiri wa kutaja mali zao hata ukiwaangalia usoni hutaona kingine zaidi ya hila na wizi wizi tu

-Vijana wa taifa hili wengi waliathirika na hali mbaya uchumi iliyosababishwa na ukosefu wa nishati ya umeme hivyo viwanda vingi vikashindwa kuajiri wafanyakazi na kufanya vijana wawe jobless huku serikali ikikosa mapato na kishindwa kutoa huduma za kijamii kama shule na hospitali ambazo waathirika wakubwa ni vijana na akina mama.

-Huyo anayetaka urais alisimamia mchakato tata wa RICHMOND na amechangia kuumiza vijana wa taifa hili

Kama mkataba mmoja tena nyeti ameshindwa kuusimamia ataweza kusimamia mikatiba zaidi ya 100 baina ya Serikali na serikali,serikali na makampuni ya ndani na nje?

-Hakuna mgombea bora anayewafaa vijana atakayeyokana na chama chenye mfumo mbovu kama CCM

Vijana hatutaruhusu aingie ikulu mtu mwenye rekodi. inayotiliwa shaka katika wizi na hila


Acha kuongea hayo yote sisi tunamkubali Lowassa piga ua yeye ndiye anayeweza kuongoza nchi hii. Utasema mengi mara epa mara sijui nini je unauthibitisho wa hivyo unavyovisema.

Wewe maovu mangapi umefanya? Sisi Lowassa ndio chaguo la wengi.
Kuna sababu nyingi sana zinazotufanya tumkubali Lowassa.

Ni pamoja na misimamo chanya na kutokukumbatia umagharibi.
Sisi huku Shinyanga amefanya mambo makubwa sana. Wewe si uko mitandaoni kukaa na kuponda watu.

Unagombanisha watu kwa maslahi ya tumbo lako. Kama kweli wewe ni mpenda maendeleo utaanika mitandaoni mambo ya chama chako je hakuna vikao vya ndani?

Hebu achana na Lowassa Slaa mwenyewe anamjua iweje wewe?

Sipendi unavyofanya kuchafua watu ukijiweka weweni mtakatifu.
Hivi unapata faida gani wewe? Nadhani bado ni kijana na unasafari ndefu ya maisha.
Unajiongeza maadui ukizani unaowatetea utakuwa naosiku zote.
 
Back
Top Bottom