Hapa ndipo akiliccm zinapotambulika na tunafahamu kwanini tumefika hapa tulipo!!! Mikataba iliingiwa na CCM leo wanajisahaulisha as if ni Mh. Tundu Lissu ndiye aliyeipitisha kwa hati ya dharula!!!Hivi kwanini hati ya dharula iliyopitisha sheria ya migodi inapitishwa wabunge wa upinzani walifukuzwa bungeni? Kwanini katika hiyo migodi ya wezi wamewekewa ulinzi na serikali? au ni Tundu Lissu ndiye aliyepeleka huo ulinzi wa Polisi Migodini? Muwe mnafikiri kwanza kabla ya "kusema" Hivi kwanini mnatuona watanzania hatuna akili?Kwani unoma wa lidu hapa uko wapi, hakuna jipya alilofanya isipokuwa kubeba maonibya tume mbalimbali na kuanza kisoma bungeni, ili akamilishe ujinga wake wa kutetea wageni. Haya sasa wamekuja wenyewe kuomba radhi Mwambie Lisu awashauri waende mahakamani. Inawezekana lisu siyo mtanzania ni mjaluo huyu hata rafidhi yake siyo ya kinyatulu kabisa.
Wakikujibu mkuu nitagHapa ndipo akiliccm zinapotambulika na tunafahamu kwanini tumefika hapa tulipo!!! Mikataba iliingiwa na CCM leo wanajisahaulisha as if ni Mh. Tundu Lissu ndiye aliyeipitisha kwa hati ya dharula!!!Hivi kwanini hati ya dharula iliyopitisha sheria ya migodi inapitishwa wabunge wa upinzani walifukuzwa bungeni? Kwanini katika hiyo migodi ya wezi wamewekewa ulinzi na serikali? au ni Tundu Lissu ndiye aliyepeleka huo ulinzi wa Polisi Migodini? Muwe mnafikiri kwanza kabla ya "kusema" Hivi kwanini mnatuona watanzania hatuna akili?
Nasubiri mihemko na matusi yao, ila kawaida tutaendelea kuwaamsha labda iko siku wataamka na kujua dude lile ni balaa!Wakikujibu mkuu nitag
Bashe ni mmoja wa wabunge wachache wa ccm wenye akili kubwa ya kiwango cha Lissu, wengine hakuna kitu
Ndicho kinachotetewa bila kujali kwamba walipa kodi si wote ni wa chama kile kitetezi cha wezi kilichohujumu nchi toka uhuru hata sasa! Lakini watu wanajisahaulisha kana kwamba haya ni mambo mapya hayajawahi kuwepo!!!Hivi wabunge wanakwenda Dodoma kwa gharama ya walipa kodi kwenda kushangilia dili za madini kupita wakigonga meza?
Hali itabadilika tukipata wabunge wengi zaidi wa upinzaniNdicho kinachotetewa bila kujali kwamba walipa kodi si wote ni wa chama kile kitetezi cha wezi kilichohujumu nchi toka uhuru hata sasa! Lakini watu wanajisahaulisha kana kwamba haya ni mambo mapya hayajawahi kuwepo!!!
unakatika kushangilia kuwa tutakaa chini tuangalie resolution ambayo ni win win lkn bila kwako ww ni kuwa umeshashinda ! Hii ni step moja tu ngoma bado mbichi,maana wakikomaa sheria na mikataba waliosaini inasemaje basi game imeishana next level ni mahakama ya usuluhishi ambayo wanaangalia sheria na mikataba na sio ngonjera zenu za kibashite !!Tutashitakiwa na kulipa hela nyingi sana bwahahahahahaha
Tukiwa na wabunge 20 kama BASHE kutoka pale ukijani,BUNGE litakuwa eneo salama sana kwa maslahi ya taifa.
Bravo ila soon ataitwa kwenye vikao vya chama ajieleze kwa kuwaunga mkono wapinzaniBashe ni mmoja wa wabunge wachache wa ccm wenye akili kubwa ya kiwango cha Lissu, wengine hakuna kitu