jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,604
- 3,753
kabisa mkuujamaa babaishaji balaa,naambiwa yupo kwenye Finance committee hata soksi hajafaa.muulizeni mipaka ya mamlaka yake inaishia wapi,yeye yupo kwenye baraza la mji mdogo na hospital ipo halmashauri ya wilaya.kwa kifupi alikuwa anawahi kushtukiza ili kumuwahi kigwangala