Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Mkwe !
Shkamoo !
Nakuomba samahani , kwa hilo , kwani changamoto za hadi kufika hapo hazikua nyepesi kwangu.
Naomba uondoe sintofahamu yoyote juu yangu, na kwa vile nilikua sijakaa na mwanao vya kutosha tukapata muda wa mie kutambulishwa familia yako.
Above all ningekuomba ubariki proposal hii kwani hapa kuna mijitu husda , kuna Wavimbamacho, wapo Wapulizamoto , Vizabizabizana , Wanafik , Mashabik-maandazi , Walambandimu N.k N.k .
Nasubiri tamko lako la ubarikio
Huzuni day...bht jamani... Leo ni furahi day.
Afu wewe angalia hii tindikali ya kumwagia Erick tusije kumwagia wewe lol.Nyie c ndo walewale mapepe mliochangia kuharbu ndoa yake na Uporoto ksha mka m kuwadia kwa JG.
Nimemwona ila si kosa lake....we si unamwona kajiunga lini?
Ina maana alikula bann akaja na ID mpya....mwambie mimi Ban kwangu mwiko na haitatokea....
Yeye aangalie Join Date atajiona 000
Afu wewe angalia hii tindikali ya kumwagia Erick tusije kumwagia wewe lol.
Afadhali M'one, hatujakosea kukufanya baunsa hapa ukumbini...tayari nshamtoa. Ucjali Sweet L
Kongosho nahisi wewe ni Mwenyekiti wa kamati coz naona unatetea sana hii ndoa iwepo...Mie sijivungi
kama boda boda, nikiona hawaji nawasaka mwenyewe.
Huyu Ricky atamwagiwa tindikali muda si mrefu.
My waif,Hehehe!vitambi havikubali kwangu!cha msingi ni ile pua kunenepa tu na kuendelea kunipa raha!papa rejao mme wangu anakupa hi nyingi bado anatafuna kitumbua chake kwa raha zake lol!odm hajambo?
tafuta hata chochote
mie wifi ntakufichia siri
ila ukibambwa tusijuane
Huzuni day...
Mhhh...SL..upo??Afadhali M'one, hatujakosea kukufanya baunsa hapa ukumbini...
haya tuendeleeni na sherehe yetu kwa amani na utulivu..
Nyie c ndo walewale mapepe mliochangia kuharbu ndoa yake na Uporoto ksha mka m kuwadia kwa JG.
Afadhali M'one, hatujakosea kukufanya baunsa hapa ukumbini...
haya tuendeleeni na sherehe yetu kwa amani na utulivu..
Maneno yote hayo ya nini bht? Si umwambie tu HUDANGANYIKI.... Chezeiya mawifi wewe?...atakuruka kama hakujui vile lol.Tena wee 'wifi' nuksi aisee
Unataka niingie mkenge kisha unikane?
Pole kitanda ulicholalia niliamkia hapo na kunguni wake nawajua
MSUKUMA for life.............
Andamana aiseeHuzuni day...
utakufa kwa kijiba. Lol, ole wako ufanye fitna kama ulizofanya kwa x husband.
Duh kweli hamuachani....Mhhh...SL..upo??
hehehe!naona umesahau km uporoto ndio alianza kwa kumtokea kabakabana tena na husni akiwepo,mapepe huwa hawaolewi lkn sie kwetu kila cku ndoa tu tena na wanaume kwa ukweli!achen majungu wenzenu weshapendana nyie huku mijasho inawatoka kutia fitna wataona tu na mpaka mtashangaa!hv ww bado mjane tu mpaka leo?
Nipo kaka Rejao, nimejaa tele. Naona siku hizi wife kakukataza kusalimia hata dada zako...Mhhh...SL..upo??
wee ndo umevunja ndoa yake ya kwanzza
sasa na hii utie maguu yako
atakuvunjwa kwa meno