Ni yeye naona mambo ya dada yake Nitonye yamemchengua hadi haoni umuhimu wa Husnyau kuna mtu kaiba pasiwedi ya uporoto?
Mbona kabadilika ghafla?
Teh kitu Comfirmed....tena mimi na yeye mapenzi yetu ni ya uhakina na ya ukweli kuliko watu wote....wengine siasa tu na majungu ila mimi na Amy tunapendana sana na hatutaachana kamweHivi jamani mwaka huu mbona ndoa zimeshamiri saana? Wewe na Amyner sio tetesi tena? Tayari COMFIRMED?? Dah!! lol
Mimi nimenawa mikono.... Inaonesha woote wameridhia kabisa... Huwezi kukimbiza upepo ujue??
Hebu msome Husny hapa chini...
Dah!! Haya bana.... Judgement ana GXmia?? Si wamjua cousin wako Golden Mpolee alivo? lol
Mh hapo katusingizia tu ila kwa kuwa Uporoto ameshakuja na kutoa tamko rasmi mimi sina shida tena labda waulizwe Katavi na Mteibora umewapanda mapande yao hasa huyo mtei na erick
Hahaha, unaikana kazi yako?
Mh hapo katusingizia tu ila kwa kuwa Uporoto ameshakuja na kutoa tamko rasmi mimi sina shida tena labda waulizwe Katavi na Mtei
Ndio ushapewa sasa huna budi kukubali tusio kaz yangu hyo
Katavi akiona wewe umejivua g.amba lazma nayeye atakubali matokeo hata km moyo haukubali wala kuridhiahata mimi cna shda wala pingamizi tena. Labda Katavi
Hahaha, kama namuona na zile nguo lol.Ndio ushapewa sasa huna budi kukubali tu
Teh atakuja nazo tu hana ujanja hapo
Ndio ushapewa sasa huna budi kukubali tu
Katavi akiona wewe umejivua g.amba lazma nayeye atakubali matokeo hata km moyo haukubali wala kuridhia
Hahaha, kama namuona na zile nguo lol.
Ooh wifi, nimeingiwa na huzuni ya ghafla hapa. Nimepata simu mbaya mida hii kuwa rafiki kipenzi anaumwa na khali yake ni mbaya sana, hawezi hata kuongea....ameumwa ghafla eti amepata kajeraha kwenye kidole gumba jana na leo mkono umeparalaizi...na kufunga kauli...daaah.... Furaha yote imeyeyuka..... Nimeshtuka sana wifi angu...
Najisikia kulia jamani, wacha nilog off kwa mda nifanye maombi kwaajili yake!
Hii harusi mimi sihudhirii hata kidogo
Ckubali. Mi nataka kamat ya vinywaji
wivu huo
Thanks honey, nisaidie kumweka kwenye maombi yako usiku wa leo....Darling i'm feeling sorry for you.
Teh teh Mtei atapendeza sana aiseeHahaha, kama namuona na zile nguo lol.
Mimi mambo ya kupeperushiana ndege siyapendi
Ooh wifi, nimeingiwa na huzuni ya ghafla hapa. Nimepata simu mbaya mida hii kuwa rafiki kipenzi anaumwa na khali yake ni mbaya sana, hawezi hata kuongea....ameumwa ghafla eti amepata kajeraha kwenye kidole gumba jana na leo mkono umeparalaizi...na kufunga kauli...daaah.... Furaha yote imeyeyuka..... Nimeshtuka sana wifi angu...
Najisikia kulia jamani, wacha nilog off kwa mda nifanye maombi kwaajili yake!