Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,106
Hujipendi eeeh
Hujui nina jeshi imara sana?Tutakusambaratisha aisee ooooh we endelea na mpango wako uone
Hata mi nina jesh kubwa sana. Kweli mwte bas mtoto Amyner hapa
Hujipendi eeeh
Hujui nina jeshi imara sana?Tutakusambaratisha aisee ooooh we endelea na mpango wako uone
Ndondo au usajil wa kudumu?
Rejao achana na Mtei nimegundua mchonganishi sanaDah! kumbe?? bora umenipa hizi taarifa mapema!
Inabidi nimwachishe kibarua leo leo..
Hahahaaa hapa hakuna ndoa wewewatu weweeeeeee!haya sasa unampata wa kukutosheleza!teh!teh!teh!mambo yakiwa tayaritayari nishtueni,mc nipo hapa!nitatoka Arusha hadi mpwapwa kusherehesha hamna shida!
Ngoja Amy aje mwenyewe akupe za Uso hadharani ukomeHata mi nina jesh kubwa sana. Kweli mwte bas mtoto Amyner hapa
Hahahahahaaaaaaaa
Katavi hapa sitii neno
teh teh aiseee kumbe mpo wengi....
Lol teh
Itabidi muanzishe Chama Cha Wanaompenda Husninyo (CCWH)
na Mwenekiti uwe wewe, Msaidizi Mtei
Canta unamsikia Mtei anatupa kashfa?Jaman my wii wala cjamkataza kuwasalimia,sema tu ubize na hane muni,salama my swty wii?
Rejao achana na Mtei nimegundua mchonganishi sana
ndondo...
Ngoja Amy aje mwenyewe akupe za Uso hadharani ukome
Umekuja na wazo zuri sana, tena mlezi wa chama utakuwa wewe!
Ngoja nitaongea na wife akikubali ntakuwa mlezi wenu ila ntajenga uadui mkubwa sana na JG....hatanielewaUmekuja na wazo zuri sana, tena mlezi wa chama utakuwa wewe!
Husny ameni hakikishia kuwa outwork ztaendlea kuwepo.
Pia Amyner naye ameshaeleweka. Ndondo kama kawa.. Au na wewe unataka?
Hebu nenda kaandae walinzi wenzako wa harusi acha kupiga majungu humu...unataka vibaka waibe maua ya bibi harusi?Canta keshanipa habari zako we Erick. Rejao asipokuwa makini atalzwa. Unajdai kuita shemeji huku unkula kmyakmya. Hufai wewe.
ooh mpenzi, kwa sababu H=J na J=H naona uweke tu J ila wapambe nuksi wazidi kuumia. Halafu mwombe aunt msamaha kabla hajamwambia uncle. ujafata utaratibu mzuri wa kuchumbia
Afadhali umwambie coz naona kahamishia majungu kwenye familia zetu...Tena ushindwe namkulegea maeneo yako ya kati lol!niko kwj fundi papa rejao mutu ya pesa mingi na mapnz ya milele nimetoshelezwa sihitaji smal houc!nataman asome andiko lako hapo akutie displin ebo!
Tena ushindwe namkulegea maeneo yako ya kati lol!niko kwj fundi papa rejao mutu ya pesa mingi na mapnz ya milele nimetoshelezwa sihitaji smal houc!nataman asome andiko lako hapo akutie displin ebo!
Unapeleka posa kwa mke wa mtu?Poa mpenzi ,
kitulizo cha mtima wangu !
Kumbe ni Aunty ADI , nikidhani Mum ,
so nnshamuomba apology , basi pale nilipomuita Mama nafuta iwe Aunty.
Na mwambie kama kuna vijisenti alipewa na Uport , naomba aviorodheshe haraka nivilipe.
Utaratibu wa kuleta posa unafata
Hebu nenda kaandae walinzi wenzako wa harusi acha kupiga majungu humu...unataka vibaka waibe maua ya bibi harusi?