Smiles
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 1,231
- 107
now what is it Smiles....
We subiri tu....utaona very soon!!:A S-fire1:
now what is it Smiles....
sasa mi mtoto wa mkulima, naenda hivyo hivyo....nadhani ndo 'swagga' zake...
Orait orait...the good thing ni kjwamba msg yangu umeiona....
usiogope bana! tutacheka cheka tu halaf nitaondoka bila kukuzuru. familia yetu sote ni wacha mungu. sema aaaamen!mwenzako mi naogopa.
warning received and accepted. tutaedit post nikiludi dodoma.U have been warned!
usiogope bana! tutacheka cheka tu halaf nitaondoka bila kukuzuru. familia yetu sote ni wacha mungu. sema aaaamen!
warning received and accepted. tutaedit post nikiludi dodoma.
natumia mobile ya kijiji. netweki kavareji inapigwa jeki na nguvu za giza. nipo kwenye kijiji flani hapa, herizi wanaita bastola.kaka tuday tuu mach riched vipi umepanda kwenye nguzo yamawasiliano nini?
Hahaha! watu wanaogopa kuandamana siku hizi polisi hawatumii virungu wala mabomu ya machozi ni risasi tu.huelewi nini smiles?
Mwenzio natafutwa. Na wewe kama wanitafuta andika jina lako kwa kaizer. Nitashughulikia shida zenu kabla hamjaandamana.
natumia mobile ya kijiji. netweki kavareji inapigwa jeki na nguvu za giza. nipo kwenye kijiji flani hapa, herizi wanaita bastola.
kamanda yule mpinzan wetu alkuwa anaumwa leo, ushampa pole kule kwenye sredi lake?Hahaha! watu wanaogopa kuandamana siku hizi polisi hawatumii virungu wala mabomu ya machozi ni risasi tu.
hapa hawaiti ungo wanaita "shetan iblis lucifer airlines"nazani opareta wote wanatumia ungo ukiwahitaji fasta hadi ulipo
hapa hawaiti ungo wanaita "shetan iblis lucifer airlines"
Aah mkubwa pole ya nini ni kumpotezea tu lol.kamanda yule mpinzan wetu alkuwa anaumwa leo, ushampa pole kule kwenye sredi lake?
halaf machale yangu yananiambia uko pm na kaizer. akikuzaliliisha kijinsia usisite kunishtua. sawa sawa?aaamen!
Haleluya!!
halaf machale yangu yananiambia uko pm na kaizer. akikuzaliliisha kijinsia usisite kunishtua. sawa sawa?
Hapa am not sure kama naelewa pia.....................
haahahha................