Husninyo akiwa na............

Kumbe ndio maana siku hizi braza Uporoto haonekani humu.

una maana kafichwa na husy?

Kuna mahali nilisoma eti.. "binadamu wote.. urefu wa kutoka kiunoni kuja juu twalingana.." na ninavyoitizama hii picha.. jamaa akichukua stuli ku level kiuno na huyo dada..watalingana exactly urefu wa juu...
Nafkiri ni kweli..

hahahaha...ina maana hasi na chanya hapo zinaungana fresh tu
 
Kumbe husninyo ni bonge la mdada
 
Picha inanijia ya kwenye tukio kuna hatari ya mtu kutoka kapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…