naona lips kwa avatar yako mkuu...Siyo ubaguzi nasema ukweli
Hahahah apo kwenye uchachu apomimi kuna mwanajeshi yupo sudan kila siku video call akirud atanioa tu kwa kweli ila ana sura chachu kama vichochoro vya mwananyamala
Kwelii mm nimeonaa wanajeshi wanahitaji pongez kwa kweli kwa suala la usafi nawapa hongera hawapendi mambo ovyo ovyoKabisa yani hadi mwanamke anaona aibu wanavaa nguo nyeupe kuanzia boxa vest hadi mashuka ndani kwao huwez kuta pachafuchafu
Adhabu kivipi,fimbo nini hahaaa
Hahaaa!!!!! Mwisho wa siku angekuua mtoto wa watu,hebu njoo kwangu Mimi huwa sina mambo ya kishamba kama hayo,njoo kwangu tafadhali mpenzi mbitiyaza...ananipigisha magoti au kubeba tofali mkonon..dadangu alinikuta na hyo adhabu!palinuka hatar!akanishika mkon tukaondoka toka siku hyo nikaserpa mazima ! alafu nipo nae mkoa m1 ..sina hamu kbs na wajeshi
ananipigisha magoti au kubeba tofali mkonon..dadangu alinikuta na hyo adhabu!palinuka hatar!akanishika mkon tukaondoka toka siku hyo nikaserpa mazima ! alafu nipo nae mkoa m1 ..sina hamu kbs na wajeshi
Sasa usihusishe wote hata TRA wapo std 7 wafagiaji nk kila mtu hupangwa na anakofit mkuuNi kweli wasimo wapo lakini wengi wao ni std seven mbona wengi tunawafahamu wametokea mtaani kwetu
ndo unamsema mshana Jr au?Habari wanajamvi?
Ni ukweli usiopingika kuwa wanaume wanaoongoza kwa kuoa kwa sasa ni wanajeshi.(wadada tuko pamoja)
Nasema hivi kwasababu gani?
-Wanajeshi hawachagui huyu mwanamke kasoma au hajasoma ili mradi kampenda.
-Wadada wengi wanavutiwa na yale magwanda yao na ile misifa mfano "yule mke wa mjeshi"
-Wanajeshi wanajali sana wanawake waliooa (wadada tuko pamoja)
-Wanajeshi wapo vizuri kwenye suala la sita kwa sita siyo wachovu kutokana na mazoezi wanayofanya kila siku.
-Katika suala la kusomesha watoto wanajeshi nawapa salute kwa hilo.
-Kwenye suala la maendeleo mfano nyumba na kumiliki gari hawa watu ni hatari hilo sio la kuuliza.
-Wanajua kupenda balaa asikwambie mtu.
-Miili yao ipo imara na wachapakazi sana.
-Hawana nyodo nyingi za kuchagua mwanamke wana maamuzi ikifika muda wa kuoa anaoa.
-Wanapenda sana kuishi na wanawake zao.
View attachment 706815
Nyongeza kutoka kwa Demiss:
Wanajeshi wana sura mbaya jamani huwezi kujua hapa kanuna au katabasamu kazi kweli kweli sura kama maumbo ya watani wangu wa kike wanaoendaga kuhesabiwa. Wanawake zao ndio wanayajua matabasamu ya waume zao.
Duuuhhh kwaiyo utathubutu na wengine lkn sio mjeshi??Sithubuti kudate na mjeshi nawaogopa hao dk mbili mbele
Nyota na ing'are Mima white cuteToo late jamani...
Account yangu ilihakiwa my....sio mmDuuuhhh kwaiyo utathubutu na wengine lkn sio mjeshi??
Dunia simama nishuke kwanza ninywe maji.
Ahaaaaa sawa kweli naona ilihakiwa sio wwA
Account yangu ilihakiwa my....sio mm